mwasipenjele
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 770
- 451
Masimu ya cheap ndo tatizo alafu utakuta simu zingine kama BlackBerry, Samsung etc zinauzwa bei poa tu ila jitu linang'ang'ania simu la kichina..,
Hv samsung inatengenezwa wapi vile nikumbushe
Masimu ya cheap ndo tatizo alafu utakuta simu zingine kama BlackBerry, Samsung etc zinauzwa bei poa tu ila jitu linang'ang'ania simu la kichina..,
Poleni sana,my NOKIA C3 IS STILL WORKING SINCE 2011 NA IMESHAANGUKA SANA,NASHINDWA KUHESABU MARA NGAPI
mwenzangu na mm tehee,haijawah kuzima,nlwah kununua htc nkaigawa,lakin x2-01 siwez mpa mtu ntaitumia mpaka izime yenyeweNokia x2 yangu hii ninayo toka 2012 na bado inapiga mzigo...na ndio ninayo tumia kujidai hapa JF.
Hv samsung inatengenezwa wapi vile nikumbushe
Eeeemphhhhh!!! Afadhali umenitia moyo mkuuMtoa mada kwanza pole sana,
Najua una hasira ila tecno sio simu mbovu isipokuwa we umepata toleo ambalo lilikuwa na manufacture/factory defect kibaya zaidi hili janga linayakumba karibia makampuni yote yanayozalisha simu.
Na ndio maana hata utaskia gari za Volkswagen nazo zinarudishwa kiwandani zikarekebishwe mfumo.
Ushauri ni we kununua simu nyengine maana hili janga hujitokeza mara chache.Utapata toleo zuri tu awamu nyingine.
Hv samsung inatengenezwa wapi vile nikumbushe
Mkuu hivi mafundi wa apple iPhone wapo bongo hii.
Haha haha me natumia samsung anywy Mc u so my babe soon ntakucheki
Miss you more
Nilidhani na wewe ni team fake 🙈🙈🙈🙈 lol
Teh teh no fake hapa kesho ntashinda masikioni mwako kutwa nzima😂😂😂😂
Karibu sana 😀😀😀😀😀