mafisadi ndio wanapanga nchi iendeshwe vipi wewe tulia tu hadi miaka yenu ifike mje kujiendesha wenyewe subirini hadi kizazi chao kiishe upo wao bado unafanana na ule wa kikoroni poleni sana
MAKAMBA,LOWASSA,KIKWETE,KINANA( msomalia),Rostam (muirani) nawahkikishia hili nalo litapita na nchi yetu itabaki mlaniwe na vizazi vyenu vyote. siku zinakuja mtalia na kusaga meno.
Hapo nimeelewa mkuu!!Hii imedhihirisha mambo mawili kwanza uwezo wa Kikwete kuwa kionmgozi wa nchi ni mdogo sana hakufaa kuwa rais sura ndiyo iliyomsaidia kufika hapo na si uwezo alistahili kuwa waziri wa michezo na utamaduni ni jambo la kushangaza kwake yeye kushindwa kusoma dalili za nyakati na kufuata matakwa ya mafisadi, pili maneno ya Mwalimu Nyerere yametimia mwalimu aliwahi kusema Rais anapowekwa madarakani na kundi la watu wachache hatawatumikia wananchi isipokuwa atawatumikia waliomuweka madarakani Kikwete anawatumikia Edward Lowassa, Rostam Aziz, Nazir Karamagi, Sophia Simba, Andrew Chenge, Yussuf Makamba, Lawrence Masha, Msabaha, Bernard Membe na wengine wengi wanamtandao waliomuweka madarakani badala ya kutumikia taifa.
Ila kuna kitu Kikwete anasahau kuwa Samuel Sitta ndiye aliyekuwa anamsaidia kisheria na kutengeneza kauli mbiu pia kuwaelimisha wazee wa chama kuwa Kikwete anafaa maana watu wengi walimuona ni mhuni na hafai kuwa rais ahata kidogo kwa maneno mengine pasipo yeye pesa za Rostam na Lowassa zisingempleka ikulu.
Kitu kimoja Kikwete na kundi lake waelewe kuwa kwa mafyongo ya kuondoa jina la Sitta kufurahisha mafisadi nchi sasa iko wazi kwa vyama vya upinzani 2015 kwa sababu wananchi wameishajua hila zote za CCM kuwa haiwatakii watanzania maisha mema isipikuwa wao CCM wameigeuza Tanzania kuwa sehemu ya miradi ya familia zao
mhh na anna abdala je huyu si wa msekwa! :a s angry:
Kwa staili hii Mabere marando anaweza kupata nafasi ya Uspika kwani tunahitaji wabunge 72 tu kutoka CCM
Hawa jamaa watatuuwa na wastaafu. Kila spika anayestaafu anapewa gari jipya, na ataendelea kupata 80% ya mshahara wa spika aliyeko madarakani kwa maisha yake yote.... je ileofisi ya spika Urambo itatumika kwa ajili ya nini?
Makinda ni mkoloni yaani tutaludi enzi za Msekwa NIMESEMA KAAA CHINI
Marando anaweza chukua uspeaker bse kama chadema wako 45 then plus CUF NA NCCR na Wabunge wa CCM wasiompenda mama Makinda.
Mkuu nyumba ya sita si ilikuwa 500million?
Kwa kweli Huu ni mwaka wa chadema,MARANDO atakuwa spika,
AKipata za(chadema+CUF+NCCR+TLP+UDP+CCM kambi ya Sitta=46+33+4+1+1+120=205,
Kama kura zinapigwa kwa siri, then Marando anaweza kuibuka mshindi. Lakini kama ni kura za wazi kuwa wanajua nani kampigia kura nani, itakuwa ngumu kuwapata hao wabunge 72 wa CCM. Nina hakika kuna wabunge wa CCM zaidi ya 80 watakuwa hawampendi huyo Makinda kwa sababu ya udikteta wake but kukataa kumpigia kura kwa uwazi ni ngumu, wanaogopa kushughulikiwa. Let us pray.