Ahsante mkuu,
Nimeedit
We are done!! Its all over, its all over... Sasa ni kujipanga kuwang'oa 2015. Wameshajipalia makaa na hasira za wananchi zitawashukia..wakuu!
inavoonekana ni mama Makinda ndie mamlaka za juu zinamtaka,nasoma hapa kwenye gazeti la leo kwamba kalipiwa deni lake la bilioni 1 la kampuni yake,KWELI TUNA SPIKA HAPA??????
Usilaani ili nawe usilaaniwe! Angaliwa mabaya unayowatakia yasikurudie wewe. Mungu akusamehe.
Kikwete na Serikali yake ni chaguo la Mungu na Watanzania.
Mungu hawezi kusikiliza dua mbaya dhidi yao.
Yaani mpaka sasa spika wanamjua bado kutimiza wajibu...Kwani hizo kura za uspika hawawezi chakachuA??
Anna Makinda...??, yaani always CCM chaguo lao Bovu, rooten, rubbish, hadi nakufa i never expect CCM to put a right, a know how personnels in proper positions, Sitta kaachwa walimweka Chenge ili kuzugia ili wamtoe Sitta, Mafisadi everywhere, huyu Anna kuongoza bunge hana lolote utaona anatoa toa MWANYA nje kakunja uso, haswa kwa upinzani hata hoja haijaisha kakatiza hafai, sintashangaa JK akimchagua Mkuchika kuwa Waziri wa Afya, Mwakyusa waziri wa Ngombe, mbuzi, kondoo na kuku pia bata:bathbaby: here we gooo, kila siku:A S thumbs_down: huko vichwani mwao:A S-confused1::A S-heart-2::kiss:😛reggers: najua mafisadi leo ni:tea::clap2: ila Sitta :frusty: nakusihi Sitta usiumize kichwa tupo pamoja:amen:
Subiri? Tumeshasubiri miaka 50. Kazi ishaanza hamna kisubiri hapa tenamafisadi ndio wanapanga nchi iendeshwe vipi wewe tulia tu hadi miaka yenu ifike mje kujiendesha wenyewe subirini hadi kizazi chao kiishe upo wao bado unafanana na ule wa kikoroni poleni sana
huoni kama miaka 5 ni mingi sana pata picha mfumko wa bei itakuwa imefikia wapi...We are done!! Its all over, its all over... Sasa ni kujipanga kuwang'oa 2015. Wameshajipalia makaa na hasira za wananchi zitawashukia..
Kamati Kuu ya CCM imependekezea majina yafuatayo kugombea Uspika:
1. Anna Makinda
2. Anna Abdallah
3. Kate Kamba
tamthiliya ya maigizo ndani ya CCM, wanachojaribu sasa ni kupandikiza spika atakaendeshwa na remote control, hebu tuone mwisho wa tamthiliya hii utaishia wapi
Duduwasha niambie kizazi cha hawa jamaa kitaisha lini wakati wameiunga kama ringi. January Makamba na Riziwani ndio hao wameshaandaliwa kabisa, na wao wanaandaa watoto wao vilevile. Kazi ipo.
Labda tuombe yatokee kwanza mapinduzi ya kijeshi, maana nina imani wapo wanajeshi wengi nao wanaumizwa na hali hii kutokana na baadhi yao kupewa vyeo bila hata kuwa na qualifications, huku wenye sifa wakiachwa.
Mbombo jilipo ana makinda ni dictator ataharibu bunge , mungu isaidie tanzania
mzee gomezi
du! ina maana sitta nae atakaa na kina sugu!
Kikwete na Kishogo Ni chaguo la shetaniUsilaani ili nawe usilaaniwe! Angaliwa mabaya unayowatakia yasikurudie wewe. Mungu akusamehe.
Kikwete na Serikali yake ni chaguo la Mungu na Watanzania.
Mungu hawezi kusikiliza dua mbaya dhidi yao.