fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
kwa hii move CCM (Kikwete) anataka a score points na nchi za ulaya wakati anafanya madudu yake
Naona ni mabifu tuu ccm walau Anna makinda anaweza faa kidogo
Sitta ana nafasi mbona... Tarajia mojawapo ya hizi:Hii habari imenisababishia homa............
kama kuna mtu mtaalamu wa dua jamani tuwasiliane mi ntachangia maana sipo tayari kuishi kwa shida na stress miaka mitano ni bora dua isomwe wapinduke hata na magari tukutane ahera.
Khaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!! CCM mbona hawajuagi kusoma ramani jamani????
Look, in this forum CCM can't do any better. Obviously Chenge wasn't gonna make it. Sitta is an idiot with his personal agenda who would use speakership not for the benefit of the country, but to advance his own ambitions. Anna Abdallah is the real deal. Kama hamtaki si muweke mgombea wenu? kwani mmekatazwa?
Besides, the largest block of voters in our country are women.
Kamati Kuu ya CCM imependekezea majina yafuatayo kugombea Uspika:
1. Anna Makinda
2. Anna Abdallah
3. Kate Kamba
Kwa hivyo Mzee wa Vijisenti out, Sitta out!!!
Source: Channel 10 News Bulletin 3 minutes ago.
[FONT=trebuchet ms,geneva]Kamba, Kate S. M.[/FONT]
Sasa kwanini hakuwaambia wanaume wasiombe hiyo nafasi?
Kamati Kuu ya CCM imependekezea majina yafuatayo kugombea Uspika:
1. Anna Makinda
2. Anna Abdallah
3. Kate Kamba
Kwa hivyo Mzee wa Vijisenti out, Sitta out!!!
Source: Channel 10 News Bulletin 3 minutes ago.