WanaJF,
Mama ANNA ABDALA ndiye speaker wetu kuanzia leo.
PM anabaki MIZENGO PINDA.
Mawaziri wengi mwaka huu ni kinamama tuu, wanaume imekula kwao.
MwanaJF Dodoma.
Hiyo inaitwa comeback ya kipekee kwa mzee Msekwa, manake mke wake akiwa spika, is as good as yeye ndiye spika. Mzee yule bifu lake haliishi, toka Six amtoe kwenye ugali wake amekuwa na bifu naye si mchezo, loh this peole can kill kwa ajili ya madaraka. Naona aliona opportunity akamtonya mkewe achukue fomu, kweli viongozi hawa uchwara wa bongo ni tishio kwa mustakabali wa taifa letu. I am so suprised Six hakuona siasa za maji taka zikija, amekaa hadi zikamzoa na kumtupa kwenye dimbwi la mavi, sasa ananuka na aibu imempaa. Six, you should learn kusoma alama za nyakati. Hata ukipewa uwaziri, huna jina kama ulilokuwa nalo la uspika, ni kuwa umetupwa pwaaa, loh, labda uwe PM, which i rearely doubt it
Ulisema Mrema kafulia, that is politics, leo uko juu kesho uko chini unavaa raba kama mrema, nadhani na wewe unaelekea kufulia