Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,135
Sio mbaya tuligeuze hospitali
Look, in this forum CCM can't do any better. Obviously Chenge wasn't gonna make it. Sitta is an idiot with his personal agenda who would use speakership not for the benefit of the country, but to advance his own ambitions. Anna Abdallah is the real deal. Kama hamtaki si muweke mgombea wenu? kwani mmekatazwa?
Besides, the largest block of voters in our country are women.
Yes, mafisadi wamefanikisha mpango wao. Anna Makinda ndiye mtu wao.Chama kushika hatamu!
Spika hapo ni Mhe Makinda, ...opposition kilio!
Mhe Ndugai naye atachukua umakamu.
Mabere Marando is a questionable character. He is one of the founders of NCCR-MAGEUZI. All of them have question marks on their backs. Wabunge wa CCM walimzawadia Ubunge wa Afrika Mashariki kwa upande wa upinzani ili kumkosesha yule aliyekuwa amependekezwa na upinzani. Kwa shukrani zipi?Inawezekana ni nafasi nzuri kwa upinzani lakini itategemea na nani atasimamishwa>
Sina uhakika sana na Mabere Marando kama anauzika.
Ile ofisi ya Spika (Bil 5) kule Urambo itakuwa Museum?
The Following User Says Thank You to Safari_ni_Safari For This Useful Post:![]()
Sio mbaya tuligeuze hospitali
nimekusa jibu apo:smile-big:CCM imependekeza majina matatu kwa nafasi ya uspika yaani Kate Makamba, Ana Abdalah na Ana Makinda,
Ina maana Chenge na Sitta ndio basi?
source : Chanel Ten
ubinafsi, choyo, uchu wa madaraka, utemi na kuupenda utawala. na kwa hilo dalili za ufisadi wa kinamna namna zipo ndani yake. Ndio maana nasema siku zote HAKUNA MSAFI KATIKA VIONGOZI WA SASA TANZANIA. (simaanishi wote hapo):smile-big:The Following User Says Thank You to Safari_ni_Safari For This Useful Post:
Masikini_Jeuri (Today)
Hivi ni kwanini haikujengwa Idodomya?