Wakati mnampokea hamkujua kuwa katumwa?Membe, wanadai wewe umetumwa na CCM kuja kugawa kura za upinzani. Je, kilichokuondoa CCM ni nini? Na humuwezi Lissu ki ukweli.
Kosa lako ulilofanya ni kumdharau mwenyekiti wako, ilitakiwa kukaa kimya washangae tu umechukua fomu.
Ninao wivu lkn unalijua hilo..?Ha haaaa nalijua
Ahahahahaha.....Membe tena,Da walishamtupa lando waungwana.Yaani bora hata alivyokuwa Mhe. Lowasa, nina wasiwasi usiyo na shaka kabisa Mhe. Membe hakujiandaa kuwa Mgombea wa Urais nje ya CCM.
Nje ya CCM, Benard Membe amekuwa hasikiki kabisa bora hata ya Mgombea wa CHAUMA
Kama imefunguliwa leo mbona uongozi wa jamiiforums wamempa heshima ya verified memberHii account imefunguliwa Leo,yaaani ccm wanatapatapa sana.Hakuna kugawa kura tunamchagua Lissu,na Membe kesho atakuwepo pale Kawe kukamilisha hili zoezi.
Kama imefunguliwa leo mbona uongozi wa jamiiforums wamempa heshima ya verified member
Jasusi anazinguaJasusi Mbombevu Umetisha Naona Dakika ya 90 +5 unaweka Goli kimiani
siku zote hizi hujafanya kampeni kesho ndio ufanye mkutano wa kufunga kampeni. haki umetumwa na ccm uwagawe wapinzani kwenye kura
Watanzania na wapiga kura wenzangu salaam,
Mimi Bernard Kamillius Membe ni mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo.
Tarehe 28/10/2020 ni siku ya kupiga kura ya kurejesha Uhuru uliopotea tangu awamu ya tano iingie madarakani miaka mitano iliyopita.
Ni siku ya kuchagua mtu anayefaa kuliongoza Taifa, Mtu mwenye uzoefu, Mzalendo na mwenye uchungu na maendeleo ya Nchi yetu.
Puuzeni watu wanaosema nmejiondoa kwenye kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano. Twendeni mkanipigie kura mimi Membe Bernard Kamillius ambaye nmekidhi vigezo vyote. Nipigieni kura tuwe na Serikali ya Kazi na Bata.
Mimi nitafunga Kampeni yangu tarehe 27/10/2020 kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Mkoani Lindi.
Nawakaribisha wote.
Asanteni kwa kunisikiliza
Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar
Chama cha ACT–Wazalendo leo tarehe 05 Agust 2020 kinafanya Mkutano wake Mkuu Diamond Jubilee–VIP Hall. #MkutanoMkuuACT2020 #KaziNaBata #TheFutureIsPurple ===== UPDATES ====== #UCHAGUZI2020: MEMBE, MAALIM KUPEPERUSHA BENDERA ZA ACT WAZALENDO URAIS TANZANIA NA ZANZIBAR - Chama hicho...www.jamiiforums.com
Uchaguzi 2020 - Bernard Membe achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo
Leo tarehe 17 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu na Mwanachama wa ACT Wazalendo Ndugu Bernard Membe atazungumza na waandishi wa habari. Ukumbi: Ofisi ya ACT Wazalendo Magomeni, Dar es salaam. Muda: Saa 8.00 Mchana. Waandishi wote mnakaribishwa. Janeth Rithe, Naibu Katibu wa Habari...www.jamiiforums.com
90+9Dakika ya ngapi hii
Barua yako unasema uliwapa tume nakala na uliandikia chama chako barua sasa unagombeaje tena. Umetumwa kuigawa ACT, umefeli.
Watanzania na wapiga kura wenzangu salaam,
Mimi Bernard Kamillius Membe ni mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo.
Tarehe 28/10/2020 ni siku ya kupiga kura ya kurejesha Uhuru uliopotea tangu awamu ya tano iingie madarakani miaka mitano iliyopita.
Ni siku ya kuchagua mtu anayefaa kuliongoza Taifa, Mtu mwenye uzoefu, Mzalendo na mwenye uchungu na maendeleo ya Nchi yetu.
Puuzeni watu wanaosema nmejiondoa kwenye kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano. Twendeni mkanipigie kura mimi Membe Bernard Kamillius ambaye nmekidhi vigezo vyote. Nipigieni kura tuwe na Serikali ya Kazi na Bata.
Mimi nitafunga Kampeni yangu tarehe 27/10/2020 kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Mkoani Lindi.
Nawakaribisha wote.
Asanteni kwa kunisikiliza
Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar
Chama cha ACT–Wazalendo leo tarehe 05 Agust 2020 kinafanya Mkutano wake Mkuu Diamond Jubilee–VIP Hall. #MkutanoMkuuACT2020 #KaziNaBata #TheFutureIsPurple ===== UPDATES ====== #UCHAGUZI2020: MEMBE, MAALIM KUPEPERUSHA BENDERA ZA ACT WAZALENDO URAIS TANZANIA NA ZANZIBAR - Chama hicho...www.jamiiforums.com
Uchaguzi 2020 - Bernard Membe achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo
Leo tarehe 17 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu na Mwanachama wa ACT Wazalendo Ndugu Bernard Membe atazungumza na waandishi wa habari. Ukumbi: Ofisi ya ACT Wazalendo Magomeni, Dar es salaam. Muda: Saa 8.00 Mchana. Waandishi wote mnakaribishwa. Janeth Rithe, Naibu Katibu wa Habari...www.jamiiforums.com
Kwa maana hiyo hapa tunawasiliana na Bernad Membe mwenyewe na halisi yule wa ACT WAZALENDO.Kupewa u verified member lazima uwasilishe kitambulisho na vielelezo vyote ili uwe verified