OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,715
Dakika ya ngapi hii
Upi mchezo wa kitoto? CCM kushinda?Jasusi gani anatumika kucheza michezo ya kitoto?!
Amegeuka kituko cha karne, wamemtumia hata nusu ya kazi hajaimaliza keshapoteza mvuto.
Hapo hakuna Mgombea isipokuwa mvurugaji tu.Jasusi mbobezi. Pamoja sana
Acha unafiki! Wewe unaipigia kura ccm, alafu unawasukumia wenzako ACT?! Na ni kwa sababu ya unyonge wa Membe angekua ndo mwenye hii nguvu ya Lissu, ungekua unamtukana! hypocrisy!Kura zote za ACT na watanzania wengine ni kwa Benard Membe.
Membe unastahili heshima,
Je umerudhika na mchakato wa chama chako ?
Tafadhali Membe jaribu kutulia kidogo. Jifanye haupo kwa siku 2-3. Karibia kunakucha. Watanganyika na Wazanzibar karibu wanapata ukombo. Usiharibu tafadhali.
ZITTO na CCM ndiyo walifanya mipango ya kumleta Membe ili agawe Kura za CHADEMA.Membe, wanadai wewe umetumwa na CCM kuja kugawa kura za upinzani. Je, kilichokuondoa CCM ni nini? Na humuwezi Lissu ki ukweli.
Kosa lako ulilofanya ni kumdharau mwenyekiti wako, ilitakiwa kukaa kimya washangae tu umechukua fomu.
ZITTO na CCM ndiyo walifanya mipango ya kumleta Membe ili agawe Kura za CHADEMA.