leo ndio nimeamini kingereza hakijanikaa sawasawa, bado nahitaji kozi zaidi
Haha huyu dada huwa ana shida kweli ,anapenda sana kujiwasikisha km mtoto wa kitasha hadi anatia kinyaa.Cha kufurahisha ni kwamba kigwangala na kiwango chake duni huku kikijaziwa utasha wake uswahilini kawaacha.Nimeona alipoandika kuwa Hajakipenda kitabu cha Makamba.Huyu dada kwa vile hawezi soma bn lines analazimisha kupendwa yeye na awapendao.Hizi ndizo akili za watawala wetu hata ktk mambo yanayohitaji chance moja ktk life...."an irrelevant person who think he is it"?
Hapo hamna kosa, kosa lipo kwenye..."an irrelevant person who think he is it"?
..."an irrelevant person who think he is it"?
Si bora ww unachochote cha kula mkuu,mie hii mijiz naichukia sana,imetutia umaskini mpaka wa chakula.
Anamuharibia kaka yake.
Kaka yake anajifoji vizuri kama mtu wa watu, aliyelelewa na kufundwa kutoka familia yenye maadili, anaheshimiana na watu etc.
Halafu dada mtu hivi kaka hajapata urais ndiyo nyodo hizi, akiwa rais si watakufa watu hapa?
Kama nilivyoandika hapo juu, bidada ameonyesha ignorance yake tu kwa kuuliza swali ambalo halijakamilika.
There is no such thing as an irrelevant person.
Irrelevant to whom? To what?
Anamuharibia kaka yake.
Kaka yake anajifoji vizuri kama mtu wa watu, aliyelelewa na kufundwa kutoka familia yenye maadili, anaheshimiana na watu etc.
Halafu dada mtu hivi kaka hajapata urais ndiyo nyodo hizi, akiwa rais si watakufa watu hapa?
Kama nilivyoandika hapo juu, bidada ameonyesha ignorance yake tu kwa kuuliza swali ambalo halijakamilika.
There is no such thing as an irrelevant person.
Irrelevant to whom? To what?
kingereza kiko sawa tu..nyie ndo mnataka kingereza kiwe kama unavyotaka nyie! mbona anaeleweka vizuri!! jadilini swali alilouliza!! kama mwenye kuambiwa yupo ajipambanue! Watz bwana kama haelewi concept anakimbilia kukosoa kingereza!!!
Baada ya mjadala mkali jana kwenye mtandao wa twitter, leo dada yake na Januari amemrukia Dr Kigwangalla na kumuita 'irrelevant'. Dada huyu, ambaye aliwahi kuripotiwa kumtafuti Januari dola milioni mbili kwa ajili ya kampeni, alionekana mkali, mwenye hasira kali sana dhidi ya mpinzani mkuu wa kaka yake, ambaye hivi karibuni amejizolea umaarufu mkubwa sana kwa kuonesha uzalendo wake kwenye sakata la escrow.
Huwa najiuliza wanapataje kazi nzuri hivyo na hiyo poor English wanayoongea?Oh yeah it's favoritism!
Kwani nchi hii imeshafikia hapo? yaani familia wanapeana zamu za kutawala?baada ya familia ya mdengereko kumaliza ngwe yake sasa ni zamu ya familia ya n'shambaaa...teh teh