View attachment 224053View attachment 224053
Baada ya mjadala mkali jana kwenye mtandao wa twitter, leo dada yake na Januari amemrukia Dr Kigwangalla na kumuita 'irrelevant'. Dada huyu, ambaye aliwahi kuripotiwa kumtafuti Januari dola milioni mbili kwa ajili ya kampeni, alionekana mkali, mwenye hasira kali sana dhidi ya mpinzani mkuu wa kaka yake, ambaye hivi karibuni amejizolea umaarufu mkubwa sana kwa kuonesha uzalendo wake kwenye sakata la escrow.
shakaza ya kimombo