OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo wakuu ! Kwa walio na access to Radio na Tv cloudz ,taratibu za kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa The Great zinaendelea. Tayari viongozi wa kitaifa wamesha wasili. Vilevile mwili wa marehemu umeshafka. Watu ni wengi sana waliofka, viwanja vya Leaders club vimeshajaa .R.I.P KANUMBA. Amen