THIS IS VERY STUPID kwanini wasifanye live coverage ya mkutano wa bunge? au LIVE coverage ya madini yetu yanavyoibwa
THIS IS VERY STUPID kwanini wasifanye live coverage ya mkutano wa bunge? au LIVE coverage ya madini yetu yanavyoibwa
Kibonde anaalibu mambo hapa siyo muda wa kuhoji watu sasa watu wamekuja kuaga kama wengini na watu macho mbele
Hujalazimishwa kuangalia wala kuckiliza; Kuna Tv ngap hapa Tz kwan kwa clouds kujihusisha na ratiba ya maziko ya SK ni tatizo, kama wataka kuanagalia bunge TBC na Star TV wanarusha angalia huko Clouds ni peoplez choice ukitaka iwe upendavyo wewe anzisha TV au redio yako
acha unafikiTHIS IS VERY STUPID kwanini wasifanye live coverage ya mkutano wa bunge? au LIVE coverage ya madini yetu yanavyoibwa
Unataka kuwapangia kitu cha kutangaza unadhani ni media za taifa hizo?.
Nimemwona anamhoji Mukama na Nape!! There is something cookie!!
....duhhhhhh! Mlimani tv, TBC, etc hawatoshi tu?
boring bunge, talking same nonsense kila siku na kupitisha miswada
ya kumkandamiza mtanzania....
Big up kwa clouds media! ....