Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 338
Ufupi wa mawazo yako ndio yamepelekea haya....naomba unijibu mswali haya rahisi tu
1. Uislamu jina unamaana gani?
2. Umetumia kipimo kipi ukawajua hao ndo waislamu wa kweli?
3. Je kinakufanya uwatoe waislam wa Tanzania ktk uislamu?
1. Uislam unamaana amani kwa waliojisalimisha kwa allah tu (na kifo kwa wanaomkataa allah)
2. Waislam wa kweli wanajulikana kwa matendo yao na mm nimetumia Quran kudhibitisha hili kama hapa chini ninavyonukuu
Mohammed is Allah's apostle said. "Those who follow him are ruthless to the unbelievers but merciful to one another". Qur'aan - 48:29
مُّحَمَّدٌ رَّسُولُ اللَّهِ وَالَّذِينَ مَعَهُ أَشِدَّاء عَلَى الْكُفَّارِ رُحَمَاء بَيْنَهُمْ تَرَاهُمْ رُكَّعًا سُجَّدًا يَبْتَغُونَ فَضْلًا مِّنَ اللَّهِ وَرِضْوَانًا سِيمَاهُمْ فِي وُجُوهِهِم مِّنْ أَثَرِ السُّجُودِ ذَلِكَ مَثَلُهُمْ فِي التَّوْرَاةِ وَمَثَلُهُمْ فِي الْإِنجِيلِ كَزَرْعٍ أَخْرَجَ شَطْأَهُ فَآزَرَهُ فَاسْتَغْلَظَ فَاسْتَوَى عَلَى سُوقِهِ يُعْجِبُ الزُّرَّاعَ لِيَغِيظَ بِهِمُ الْكُفَّارَ وَعَدَ اللَّهُ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ مِنْهُم مَّغْفِرَةً وَأَجْرًا عَظِيمًا
3. Na watoa waislam wa Tanzania katika uislam maana hawaishi kam uislam unavyotaka. Hatuoni wakikata watu miguu na mikoni, hatuoni wakiacha kunywa pombe na kupiga mawe wazinzi. Hatuoni wakikataza vijana wao kuimba music maana uislam umekataza yote hayo. Na mwishi hawajaweza bado kupigana jihad ya kuwaua makafiri na kusimamisha dola ya kiislam kama kule Afghan, Pakistan, Syria, Iraq, Yemen, Northern Nigeria wanavyopambana ili kusimamisha dola ya Kiislam.
Una swali lingine?