TV Imaan Hewani, Hongera

TV Imaan Hewani, Hongera

Status
Not open for further replies.
Si ni Quran hii hii ambayo inadai kuwa rahisi kueleweka?

Sasa kama ni hivyo,yanini tena kutafuta watu wanieleweshe kitu ambacho ni rahisi kueleweka?

Ni rahisi sana tena kuielewa, kwa wale wanaoisoma wakataka kuielewa.

Jee, wewe umeisoma mpaka juzuu ya ngapi?
 
Karibu Tv imani ila natumaini Bwana Yesu atawajalia hekima na nguvu ktk kuendesha vipindi vyenu salama na kwa ufanisi zaidi.

Hongera Tv Imani.
 
Badala ya waislam kuimarisha taasisi
zao ndio kwanza wanazihujumu na kuanzisha maTv yasiyo na msaada kwa maisha yao...........Tazama matokeao ya ISLAMIC SEMINARY SCHOOLS utajichokea..
 
Badala ya waislam kuimarisha taasisi
zao ndio kwanza wanazihujumu na kuanzisha maTv yasiyo na msaada kwa maisha yao...........Tazama matokeao ya ISLAMIC SEMINARY SCHOOLS utajichokea..

Hivi biashara ya kutoana mapepo itaisha lini?
 
Lakini watangaze yanayoelimisha, wasifundishe vijana kuvaa mabomu kama kule uarabuni
 
karibu tv imani - mwangaza wa njia ya imani na ufanisi katika maisha ya raia mwema.
 
Mi napata habari sahihi za kiislam toka kwa Boko haram na al shaabab. Hao wengine sijui tv imani ni waislam jina tu hao. Waislam wa kweli wa kuwasikiliza wapo Yemen, Pakistan na afghanistan
Ufupi wa mawazo yako ndio yamepelekea haya....naomba unijibu mswali haya rahisi tu

1. Uislamu jina unamaana gani?
2. Umetumia kipimo kipi ukawajua hao ndo waislamu wa kweli?
3. Je kinakufanya uwatoe waislam wa Tanzania ktk uislamu?
 
Hongera kwa lipi? Kitu gani cha maana walichofanya mpaka wapewe hongera au ndiyo yaleyale ya Radio Imaan tutaanza kuyashuhudia Live kwenye TV yao.

TCRA ifanye monitoring ya kutosha isije ikawa kama yaleyale ya Radio yao waliyoifungia kwa kueneza chuki.

Watanzania hatutaki kufika huko.

Chuki za nn wewe?
 
Tunashukuru kwa ujio wa Tv Imaan, ila nimeshangazwa na comments za wale wenye chuki. Ama kweli, kheri inapotufikia chuki huwapanda mpk nyoyoni na mafundo ya ghadhabu huwajaa, mnakerekwa kwa Neema yetu 1, mliyonayo mara milioni zaidi!!!. Ila pale nakama, shida, tabu na magagaziko yanapotufika, kwao wao ni starehe na hufurahi Mithli ya binadamu alie jangwani na kuyaona maji yaliyompotea. Enyi wag.alatia msio na .... Ni lini mta rejoice kwa ile kheri ndogo kwetu???. Au mpk pale tutakapoifata mila yenu? Katu, Abadan hilo halitojiri ilaa yaumal saa'at. Huko tutahukumiwa sote na kuulizwa juu ya Neema tulizopewa na vipi tulizitumia. Namshukuru Allaah kwa hii Neema ya Uislam.
 
Sasa mbona unatumia lugha ya makafiri kufikisha ujumbe wako?

Lugha zote ni za ALLAH MTUKUFU, KAFIRI hana lugha, eti lugha ya KAFIRI!!!!!!!!! amiliki lugha na hali hata riziki yake mwenyewe anashindwa kuimiliki!!!
 
Ufupi wa mawazo yako ndio yamepelekea haya....naomba unijibu mswali haya rahisi tu

1. Uislamu jina unamaana gani?
2. Umetumia kipimo kipi ukawajua hao ndo waislamu wa kweli?
3. Je kinakufanya uwatoe waislam wa Tanzania ktk uislamu?

Nyinyi huku mnaigiza uislam, waislam wa kweli ni wale wa ASIA, na ndio maana wako tayari kuvaa bomu na kulipuka. Wamesoma mistari hii wakaielewa. Nyie huku mnahubiri amani utadhani wakristu. Wale wanafuata hizi bwana

"If you should die or be slain in the cause of God, His forgiveness and His mercy would surely be better than all the riches..." (Surah 3:156-)

"If you should die or be slain in the cause of God, His forgiveness and His mercy would surely be better than all the riches..." (Surah 3:156-)

"Fight against such as those to whom the Scriptures were given [Jews and Christians]...until they pay tribute out of hand and are utterly subdued." (Surah 9:27-)

"...make war on the leaders of unbelief...Make war on them: God will chastise them at your hands and humble them. He will grant you victory over them..." (Surah 9:12-)

"If you do not fight, He will punish you sternly, and replace you by other men." (Surah 9:37-)
"Prophet make war on the unbelievers and the hypocrites and deal rigorously with them. Hell shall be their home." (Surah 9:73)

"Believers, make war on the infidels who dwell around you. Deal firmly with them." (Surah 9:121-)
 
Tunashukuru kwa ujio wa Tv Imaan, ila nimeshangazwa na comments za wale wenye chuki. Ama kweli, kheri inapotufikia chuki huwapanda mpk nyoyoni na mafundo ya ghadhabu huwajaa, mnakerekwa kwa Neema yetu 1, mliyonayo mara milioni zaidi!!!. Ila pale nakama, shida, tabu na magagaziko yanapotufika, kwao wao ni starehe na hufurahi Mithli ya binadamu alie jangwani na kuyaona maji yaliyompotea. Enyi wag.alatia msio na .... Ni lini mta rejoice kwa ile kheri ndogo kwetu???. Au mpk pale tutakapoifata mila yenu? Katu, Abadan hilo halitojiri ilaa yaumal saa'at. Huko tutahukumiwa sote na kuulizwa juu ya Neema tulizopewa na vipi tulizitumia. Namshukuru Allaah kwa hii Neema ya Uislam.

Neeema ya ALLAH ni kujiripua?
 
Neeema ya ALLAH ni kujiripua?

Kujilipua si Ktk Neema za Allaah. Suicide bombings has never and will never be part of Islam. Neema ya Allaah is still and will always be Islam hata Kama washirikina, wanafiki na Makafiri wataichukia.
 
Alhamdulillah.....
Ni jambo la kheri sana. Nina uhakika kutakuwa na busara, uwazi na ukweli ili wale wanaopotoshwa na vyanzo visivyo vya kiislam kuhusu uislamu wapate original and authetic version of Islam toka hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom