Hongera kwa lipi? Kitu gani cha maana walichofanya mpaka wapewe hongera au ndiyo yaleyale ya Radio Imaan tutaanza kuyashuhudia Live kwenye TV yao.
TCRA ifanye monitoring ya kutosha isije ikawa kama yaleyale ya Radio yao waliyoifungia kwa kueneza chuki.
Watanzania hatutaki kufika huko.
Ipo sana tu. Ingia Imaan TV wanafundisha hayo.
Watu wanaogopa kweli uislam, punguza woga kaka tenga muda juu ya uislamu utiona nuru iliyowazi
Jitambue wewe, unayakumbuka ya radio Imaan!!
Alhamdulillahi.
hongera kwa lipi? Kitu gani cha maana walichofanya mpaka wapewe hongera au ndiyo yaleyale ya radio imaan tutaanza kuyashuhudia live kwenye tv yao.
Tcra ifanye monitoring ya kutosha isije ikawa kama yaleyale ya radio yao waliyoifungia kwa kueneza chuki.
Watanzania hatutaki kufika huko.
Sio kweliNawaomba Waislam na wasio Waislam waingie na kujifunza mengi kuhusu maisha na fikra za Kiislam, wengi huwa wanapata habari za Waislam kutoka katika vyanzo ambavyo si vya Kiislam na huwa wanapotoshwa sana, sasa kitumieni chombo hicho kupata habari na kuujuwa Uislam kutoka kwa Waislam wenyewe.
Wa bi Llahi Tawfiq.
nimelpenda jna lako
TV station ni teknolojia iliyotokana na Elimu haramu ya Magharibi
Sio kweli
Kuujua Uislam hatuna haja ya kutazama television station yoyote ile bali tunaisoma Quran pamoja na hadith na Sira baasi
Waislam wanaweza kuupotosha Uislam lakini hivyo nilivyovitaja hapo haviwezi kamwe kuupotosha
Labda kama unazungumzia kuwajua Waislam hapo ndipo tutalazimika kuwaangalia Waislam ambao ni pamoja na hicho kituo cha television!
Mi napata habari sahihi za kiislam toka kwa Boko haram na al shaabab. Hao wengine sijui tv imani ni waislam jina tu hao. Waislam wa kweli wa kuwasikiliza wapo Yemen, Pakistan na afghanistan
...cc : ﺣﺮﻛﺔ ﺍﻟﺸﺒﺎﺏ ﺍﻟﻤﺠﺎﻫﺪﻳﻦ ; Ḥ