TV Imaan Hewani, Hongera

TV Imaan Hewani, Hongera

Status
Not open for further replies.
Zote sahihi moja imeanzia mwanzo moja imeanzia kati kati ya sura, tofauti ni maneno ya wafasiri tu. Ukiisoma kwa lugha yake ya asili Kiarabu yote ni hiyo hiyo.

Qur'an ni moja tu, na ndiyo maana nikakuuliza wewe umesoma juzuu ngapi, naona ukakwepa hukujibu.

Jee, umeshaileta hiyo aya uliyotaka kutuaminisha?

Wacha uongo weye. Kuna Kuruani kibao The 20 Versions of the Qur'an today ...
 
Kama hujui Kiingereza wacha kuhororoja.

Umenijibu? mimi nataka uweke aya, sijakuuliza swali, punguani wahed.

Teh teh teh!

Faiza unanivunja mbavu huku!

Kujaribu kumuelekeza Huyu mgalatia ni sawa na kumpigia gitaa mbuzi!
 
mungu huyu wa boko haram, al qaeda, al shabaab kuuwa na kuteka mabinti wasiokuwa na hatia? huyu mungu wenu ni choko kabisa.

mtakapomjuwa almighty God ndio mtarudiwa na akili.

Huyo umuitae almighty ndio yule aliezidiwa hesabu na viumbe wake akapigwa mkong'oto mpaka akafa msalabani! Au kuna mwingine!

Manake nyie wagalatia mna miungu ya kila rangi.!

Hebu tujuze kidogo mwanangu wa kufikia.
 
Sasa hizi lugha za ndani ya msikiti unazileta hapa kwa sababu gani weye?

Hili neno "weye" wanapenda sana kulitumia wale mashoga wapenda taarabu!
Vipi na wewe umeshakuwa mwanachama?
 
Is there any "faith" is Islam?

Poleni sana kwa huu msiba mlio upata...

No! The only faith is in Christianity.

Ambayo inatufundisha tuamini kuwa mungu alipoumba binaadamu akamuumba na mama yake maria halafu akampa mimba kisha akamzaa, kisha alipokuja duniani akawa mungu lkn ktk umbo la mtu, na yule mamake akawa anamuita mwana lkn kiroho anamuita mungu.

Na siku moja akakosea hesabu akadakwa na hao viumbe wake akapigwa mpaka akalia,
Maumivu yakawa makali mpaka akajisahahu kuwa yeye ni mungu, akaanza kumuita MUNGU mkuu aje amsaidie!

Duhh! Yaani imani hii si mchezo!
 
Nipe frequence zake na polarization.

Mimi naipata kwenye startimes tanzania channel 110, startimes hapa Dar tunaipata kwa antennae tu na decoder.

Ngoja wapite wataalam zaidi wakupe hayo mengine.

Pia unaweza kuwasiliana nao Mob: 0737214285
 
No! The only faith is in Christianity.

Ambayo inatufundisha tuamini kuwa mungu alipoumba binaadamu akamuumba na mama yake maria halafu akampa mimba kisha akamzaa, kisha alipokuja duniani akawa mungu lkn ktk umbo la mtu, na yule mamake akawa anamuita mwana lkn kiroho anamuita mungu.

Na siku moja akakosea hesabu akadakwa na hao viumbe wake akapigwa mpaka akalia,
Maumivu yakawa makali mpaka akajisahahu kuwa yeye ni mungu, akaanza kumuita MUNGU mkuu aje amsaidie!

Duhh! Yaani imani hii si mchezo!

Bogus post.
 
Wacha uongo weye. Kuna Kuruani kibao The 20 Versions of the Qur'an today ...

Pumba hizo mchele tunao wenyewe.

BISMILLA.GIF
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU

2_1.gif
Qur'an 2:1. Alif Lam Mim. ***


2_2.gif
2. Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu, ***
 
Tafadhali, amma katazame TV Imaan ama fungua nyuzi zako, wewe wacha kudandia treni kwa mbele.

iishe wapi? Halafu kumbe hii ni family business! Jamaa baada ya yeye na mdogo wake kushtukiwa anajifanya kuvaa msalaba na kutangaza injili ya Petro.
Wakizubaa tu! Kamliza mtu.

Ile michango ya paroko na sadaka za kondoo ndio inampeleka choo.

Halafu hebu mcheki kiongozi wa hilo kundi la matapeli hapa chini.
Padri mkuubwa wa ki Nigeria kumbe Tapeli tu.
Dahh!
 

Attachments

  • 1401424372087.jpg
    1401424372087.jpg
    25.4 KB · Views: 71
Hata makafiri wakichukia TV Imaan itabaki palepale Inshaallah.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom