TV Imaan Hewani, Hongera

Status
Not open for further replies.
Shukran sana

Haya ndio majibu yenu!

Ahsante sasa weka aya uliyokuwa inaisema hapa:

quote_icon.png
By Eiyer
Si ni Quran hii hii ambayo inadai kuwa rahisi kueleweka?

Sasa kama ni hivyo,yanini tena kutafuta watu wanieleweshe kitu ambacho ni rahisi kueleweka?


Tuwekee hiyo aya, kwa ukamilifu wake.

Vipi? imekuwa ngumu kwako?
 
Hongera kwa lipi? Kitu gani cha maana walichofanya mpaka wapewe hongera au ndiyo yaleyale ya Radio Imaan tutaanza kuyashuhudia Live kwenye TV yao.

TCRA ifanye monitoring ya kutosha isije ikawa kama yaleyale ya Radio yao waliyoifungia kwa kueneza chuki.

Watanzania hatutaki kufika huko.

TV ndo iko hewani sasa.
Kama hupendi kalale relini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom