Shukran sana
Haya ndio majibu yenu!
Karibu Tv imani ila natumaini Bwana Yesu atawajalia hekima na nguvu ktk kuendesha vipindi vyenu salama na kwa ufanisi zaidi.
Hongera Tv Imani.
Hongera kwa lipi? Kitu gani cha maana walichofanya mpaka wapewe hongera au ndiyo yaleyale ya Radio Imaan tutaanza kuyashuhudia Live kwenye TV yao.
TCRA ifanye monitoring ya kutosha isije ikawa kama yaleyale ya Radio yao waliyoifungia kwa kueneza chuki.
Watanzania hatutaki kufika huko.
mbona kwenye hizo aya ulizo quote ni kama vile nafsi zaidi ya moja inazungumza! i.e hatukuwatuma...
Kuwa na adabu basi bwana Yesu, Yesu, Yesu, Bwana Yesu ni kitu gani!!!!!!