mungu huyu wa boko haram, al qaeda, al shabaab kuuwa na kuteka mabinti wasiokuwa na hatia? huyu mungu wenu ni choko kabisa.Nimeiangalia tv imaan jumapili nzima huyu ni mkombozi wetu.hima hima watu wema tizameni tv imaan mpate manufaa.nimependa vipindi vyake.najuwa itapigwa vita sana na makafiri.lakini naamin kwa kuwa mungu yupo upande wa watenda mema tutashinda.amiin
Karibu TV Imaan kuna kipindi kinaonesha shule za Kiislam pitia ujionee.
Taifa linaweza ingia machafukoni tena....
Kama ni hivyo basi mfumo kristo umeisha! Mnamiliki shule kama wagala?!
Pitia tu kajionee uje kutupa jibu, usingoje kila kitu kuhadithiwa.
Ni rahisi sana tena kuielewa, kwa wale wanaoisoma wakataka kuielewa.
Jee, wewe umeisoma mpaka juzuu ya ngapi?
Sijui kama unakijua ulichokisema
Hiyo Quran inasema kuwa ni rahisi kueleweka na haijaweka mipaka kuwa ni nani na nani ndio huo wepesi unawahusu,sasa ni kwanini unaongeza maneno yako?
Hata nikisoma na kuishia juzuu ya pili,sio Quran niliyoisoma?
Nia yangu unaweza kuielewa wewe hadi useme nilisoma bila kutaka kuielewa? [japokuwa suala na kutaka au kutotaka halijasemwa]
Sijui kama unakijua ulichokisema
Hiyo Quran inasema kuwa ni rahisi kueleweka na haijaweka mipaka kuwa ni nani na nani ndio huo wepesi unawahusu,sasa ni kwanini unaongeza maneno yako?
Hata nikisoma na kuishia juzuu ya pili,sio Quran niliyoisoma?
Nia yangu unaweza kuielewa wewe hadi useme nilisoma bila kutaka kuielewa? [japokuwa suala na kutaka au kutotaka halijasemwa]
Ni rahisi sana tena kuielewa, kwa wale wanaoisoma wakataka kuielewa.
"And We have revealed the Book to you which has clear explanation of everything, and a guidance, mercy and good news for those who submit." (Qur'an 16:89)