Tuzo zilizoandaliwa na Bongo5 Media

Hivi ni kweli video ya muziki gani imeishinda video ya nje ya box weusi?

Alaf kama naona Salim keke na Godwin Gondwe walifaa kutengenezewa category yao kabisa

hapo kwa Kikeke ndio nimeshindwa kuwaelewa kabisa,mwanzoni nilifikiri hizi zinahusu watu wa burudani pekee sasa kumuona Kikeke ndio wamenichanganya mazima.
 
Awa jamaa wamechemka sana..hii bongo5 sina uhakika ni ya nani haswa ila wahandishi wake wakubwa ni nawafahamu kuna Michael Bundala aka Sky Walker,kuna Kidbwoy na ni watu wanaofahamu vizuri sana ishu za media tena sana kwanza wameenda shule,na kikubwa wana exposure na experience nzuri na aya mambo sijui ni nini kimewasibu mpaka wanajitia aibu kiasi hiki...
Mkuu matumbo hawa jamaa walicho kosea walitakiwa kutengeneza category tuu alaf waache wanachi wapendekeze kama KTMA lakini sikuja na vitu vya aina hii.

Lakini ukiingia kwenye web yao utagundua wana uhusiano na Clouds Media.
 
Last edited by a moderator:
Awa jamaa wamechemka sana..hii bongo5 sina uhakika ni ya nani haswa ila wahandishi wake wakubwa ni nawafahamu kuna Michael Bundala aka Sky Walker,kuna Kidbwoy na ni watu wanaofahamu vizuri sana ishu za media tena sana kwanza wameenda shule,na kikubwa wana exposure na experience nzuri na aya mambo sijui ni nini kimewasibu mpaka wanajitia aibu kiasi hiki...

Boss wa Bongo5 ni Luca mume wa Nancy... Na pia Nancy yupo pale kama mfanyakazi wao pia kumsaidia mumewe.
 
hapo kwa Kikeke ndio nimeshindwa kuwaelewa kabisa,mwanzoni nilifikiri hizi zinahusu watu wa burudani pekee sasa kumuona Kikeke ndio wamenichanganya mazima.
Naona kama Kikeke na Godwin hawakufaa hapo kabisa.
 
Bongo kuna tuzo za kueleweka moja tu,Kili Awards...wengine bado wanababaisha,tunaitaji sana mshindani wa hizi tuzo aje na kitu kizuri tofauti...iwe kama wenzetu kuna Oscar, Grammy, AMA nk ila kwa mwendo huu bora watulie tu wengine wajipange...ukitaja vipindi vinavyosikilizwa zaidi hapa bongo huwezi kukiacha SuperMix ata kwa bahati mbaya,mie sio mshabiki kabisa wa Zembwela ila kiukweli jamaa anasikilizwa sana mtaani..
Mkuu matumbo jamaa ana sikilizwa sana hadi mashabiki wake wana muita rais
 
Last edited by a moderator:
Boss wa Bongo5 ni Luca mume wa Nancy... Na pia Nancy yupo pale kama mfanyakazi wao pia kumsaidia mumewe.

Okay, nimekusoma yule mshikaji nampata kishombe flani alimtosa mke wake kwa ajili ya Nancy,Nancy alipindua ndoa..
 
Mkuu qn of sheba na matumbo hayo mapendekezo ya wananchi ni yapi? Nyie mlisha sikia wananchi wamepewa nafasi ya kupendekeza washiriki kwenye hizi tunzo?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu qn of sheba na matumbo hayo mapendekezo ya wananchi ni yapi? Nyie mlisha sikia wananchi wamepewa nafasi ya kupendekeza washiriki kwenye hizi tunzo?

Walitoa tangazo kwenye web yao nilishaona..ndio maana pale mwanzo nilisema uhenda wamechakachuwa au kuna watu walijioganaiz wakajipigia kura kwa wingi na ivyo kuharibu maana ya mchakato mzima.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani wahusika wanapita humu,ujumbe umewafikia kama tumechoka kuburuzwa.Choice fm inapatikana frequency ipi jamani maana kuuliza si ujinga.
 
Walitoa tangazo kwenye web yao nilishaona..ndio maana pale mwanzo nilisema uhenda wamechakachuwa au kuna watu walijioganaiz wakajipigia kura kwa wingi na ivyo kuharibu maana ya mchakato mzima.

Tuzo za Tz nzima kwann utoe kwenye blog yako tu?? Kwani watz wote tunapenda udaku wa bongo 5 au tuna access majarida yao, kama walitaka ziwe na hadhi ya kitaifa basi wangeitangaza kwenye vyombo vya habari kama ilivyo ktma au tuzo za mwanaspoti bora au za mwandishi bora za cnn na si hiyo blog tu ndo wadai zinetangazwa. Hao wasomaji ndo walewale walio chajichagua.

Cc Ruttashobolwa
 
Last edited by a moderator:
Planet bongo ile ya salama ndo ilikua yenyewe, boarding tulikua tunaangalia jumamosi yale marudio.huyu dulah ameshndwa kuvaa viatu vya salama j.
 
MAJINA YA KUWANIA TUZO ZA WATU TANZANIA 2014 YALIYOPATIKANA KUTOKANA NA MAPENDEKEZO YA WANANCHI YA AWAMU YA KWANZA





1. MTANGAZAJI WA REDIO ANAYEPENDWA

1. Vanessa Mdee – Choice FM
2. Millard Ayo – Clouds FM
3. Hamis Mandi aka B12 – Clouds FM
4. Mariam Kitosi – Times FM
5.Ergon Elly – Mbeya Highlands FM

2. KIPINDI CHA REDIO KINACHOPENDWA

1. The Hitlist – Choice FM
2. Xxl – Clouds FM
3. Amplifaya – Clouds FM
4. Hatua Tatu – Times FM
5. Power Breakfast- Clouds FM




3. MTANGAZAJI WA RUNINGA ANAYEPENDWA


1. Salama Jabir - EATV
2. Sam Misago - EATV
3. Zamaradi Mketema- Clouds TV
4. Salim Kikeke – BBC Swahili
5. Gondwin Gondwe - ITV

4. KIPINDI CHA RUNINGA KINACHOPENDWA

1. Friday Night Live – EATV
2. Mkasi – EATV
3. Planet Bongo - EATV
4. Uswazi - EATV
5. Take One – Clouds TV

5. MWANAMICHEZO ANAYEPENDWA

1. Juma Kaseja – Yanga
2. Mrisho Ngassa – Yanga
3. Mbwana Samatta – TP Mazembe
4. Ramadhan Singano – Simba SC
5. Francis Cheka



6. MUONGOZAJI WA VIDEO ZA MUZIKI ZINAZOPENDWA

1. Nisher
2. Adam Juma
3. Nick Dizzo
4. Mecky Kaloka
5. Jerry Mushala

7. VIDEO YA MUZIKI INAYOPENDWA YA MWANAMUZIKI WA KIUME
1. My Number - Diamond
2. Jikubali – Ben Pol
3. Mirror – Baby
4. Love Me - Izzo Bizness f/ Barnaba & Shaa
5. Muziki Gani - Nay wa Mitego f/ Diamond





8. VIDEO YA MUZIKI INAYOPENDWA YA MWANAMUZIKI WA KIKE


1. Amani ya Moyo – Feza Kessy
2. Closer – Vanessa Mdee
3. Sugua Gaga – Shaa
4. Yahaya – Lady Jaydee
5. Nakomaa na JIJI - Shilole

9. MUIGIZAJI WA KIKE KWENYE FILAMU ANAYEPENDWA

1. Elizabeth ‘Lulu’ Michael
2. Jacqueline Wolper
3. Shamsa Ford
4. Irene Uwoya
5. Wastara Juma

10. MUIGIZAJI WA KIUME KWENYE FILAMU ANAYEPENDWA

1. Jacob Stephen aka JB
2. King Majuto
3. Vincent ‘Ray’ Kigosi
4. Hemedy Suleiman
5. Salim ‘Gabo’ Ahmed

11. FILAMU INAYOPENDWA

1. Foolish Age – Elizabeth Michael
2. Bado Natafuta – Salim Ahmed, Shamsa Ford
3. Shikamoo Mzee – JB, Shamsa Ford, Majuto
4. Ndoa Yangu – Kanumba, Wolper
5. Zawadi Yangu – JB, Irene Uwoya

Kupiga Kura Tembelea www.tuzozetu.com/vote au tuma sms ya neno TUZO kwenda namba 15678.




HIZI NI TUNZO ZINAZO ANDALIWA NA BONGO5 GROUP KUPITIA Bongo5 - The Hottest Blogs, News and Videos.
NA MSHINDI WA HIZI TUNZO ATAONDOKA NA TSH MILLION MOJA.

Huo ndo utabiri wangu ambao nina uhakika nao kwa 90%
 
Kweli kwenye category ya wasanii wa maigizo wameshindwa kuelewa kuwa kuna vichwa Siri Ya Mtungi vyenye uwezo mara 1,000 kuzidi huu uchafu wa Lulu & co?

Hizi tunzo bana! Ni uchafu mwingine tu
 
Tuzo za Tz nzima kwann utoe kwenye blog yako tu?? Kwani watz wote tunapenda udaku wa bongo 5 au tuna access majarida yao, kama walitaka ziwe na hadhi ya kitaifa basi wangeitangaza kwenye vyombo vya habari kama ilivyo ktma au tuzo za mwanaspoti bora au za mwandishi bora za cnn na si hiyo blog tu ndo wadai zinetangazwa. Hao wasomaji ndo walewale walio chajichagua.

Cc Ruttashobolwa
Mkuu ndio maana nimeleta hapa tujadili uhalisia wake kama kweli una hakisi tunzo za kitaifa. Na lienda baada ya kubahati kumsikia Millard akisema nawao wame kumbukwa safari hii kwa kuandaliwa tunzo.
 
Last edited by a moderator:
Mi ht hyo choice siijui na wala sijawahi kusikia Vanessa Mdee anaptangaza,hyo clouds tv hainibariki hata kidogo.
 
MAJINA YA KUWANIA TUZO ZA WATU TANZANIA 2014 YALIYOPATIKANA KUTOKANA NA MAPENDEKEZO YA WANANCHI YA AWAMU YA KWANZA https://www.facebook.com/tuzozawatu...1736/255714701278871/?type=1&relevant_count=1https://www.facebook.com/tuzozawatu...1736/255714701278871/?type=1&relevant_count=1





1. MTANGAZAJI WA REDIO ANAYEPENDWA

1. Vanessa Mdee – Choice FM
2. Millard Ayo – Clouds FM
3. Hamis Mandi aka B12 – Clouds FM
4. Mariam Kitosi – Times FM
5.Ergon Elly – Mbeya Highlands FM

2. KIPINDI CHA REDIO KINACHOPENDWA

1. The Hitlist – Choice FM
2. Xxl – Clouds FM
3. Amplifaya – Clouds FM
4. Hatua Tatu – Times FM
5. Power Breakfast- Clouds FM




3. MTANGAZAJI WA RUNINGA ANAYEPENDWA


1. Salama Jabir - EATV
2. Sam Misago - EATV
3. Zamaradi Mketema- Clouds TV
4. Salim Kikeke – BBC Swahili
5. Gondwin Gondwe - ITV

4. KIPINDI CHA RUNINGA KINACHOPENDWA

1. Friday Night Live – EATV
2. Mkasi – EATV
3. Planet Bongo - EATV
4. Uswazi - EATV
5. Take One – Clouds TV

5. MWANAMICHEZO ANAYEPENDWA

1. Juma Kaseja – Yanga
2. Mrisho Ngassa – Yanga
3. Mbwana Samatta – TP Mazembe
4. Ramadhan Singano – Simba SC
5. Francis Cheka



6. MUONGOZAJI WA VIDEO ZA MUZIKI ZINAZOPENDWA

1. Nisher
2. Adam Juma
3. Nick Dizzo
4. Mecky Kaloka
5. Jerry Mushala

7. VIDEO YA MUZIKI INAYOPENDWA YA MWANAMUZIKI WA KIUME
1. My Number - Diamond
2. Jikubali – Ben Pol
3. Mirror – Baby
4. Love Me - Izzo Bizness f/ Barnaba & Shaa
5. Muziki Gani - Nay wa Mitego f/ Diamond





8. VIDEO YA MUZIKI INAYOPENDWA YA MWANAMUZIKI WA KIKE


1. Amani ya Moyo – Feza Kessy
2. Closer – Vanessa Mdee
3. Sugua Gaga – Shaa
4. Yahaya – Lady Jaydee
5. Nakomaa na JIJI - Shilole

9. MUIGIZAJI WA KIKE KWENYE FILAMU ANAYEPENDWA

1. Elizabeth ‘Lulu’ Michael
2. Jacqueline Wolper
3. Shamsa Ford
4. Irene Uwoya
5. Wastara Juma

10. MUIGIZAJI WA KIUME KWENYE FILAMU ANAYEPENDWA

1. Jacob Stephen aka JB
2. King Majuto
3. Vincent ‘Ray’ Kigosi
4. Hemedy Suleiman
5. Salim ‘Gabo’ Ahmed

11. FILAMU INAYOPENDWA

1. Foolish Age – Elizabeth Michael
2. Bado Natafuta – Salim Ahmed, Shamsa Ford
3. Shikamoo Mzee – JB, Shamsa Ford, Majuto
4. Ndoa Yangu – Kanumba, Wolper
5. Zawadi Yangu – JB, Irene Uwoya

Kupiga Kura Tembelea www.tuzozetu.com/vote au tuma sms ya neno TUZO kwenda namba 15678.




HIZI NI TUNZO ZINAZO ANDALIWA NA BONGO5 GROUP KUPITIA Bongo5 - The Hottest Blogs, News and Videos.
NA MSHINDI WA HIZI TUNZO ATAONDOKA NA TSH MILLION MOJA.
HAPO KWENYE KIPI
NDI CHA TV KINACHOPENDWA hiyo take one waitoe
kwa dar tu hakina mashabiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom