Tuzo zilizoandaliwa na Bongo5 Media

Mi mwenyewe simfahamu....Ruta hizi tunzo si 'official' kama tunavyotaka ziwe..zina wenyewe....Maamuzi yao,Tunzo zao....usizichukulie serious kiviiike....ukikamata fursa...anzisha zitakazokidhi vigezo.
Mkuu Ntakasi wewe unasema tusi chukulie serious wakati wao wanataka tuzichukulie hizo Tunzo serious ndio maana wamesema kuwa wamefanya hivyo baada ya maoni ya wananchi!
Sasa tuna uliza ni lini wananchi walitoa maoni hayo?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ntakasi wewe unasema tusi chukulie serious wakati wao wanataka tuzichukulie hizo Tunzo serious ndio maana wamesema kuwa wamefanya hivyo baada ya maoni ya wananchi!
Sasa tuna uliza ni lini wananchi walitoa maoni hayo?

Mi nadhani huyu mtoto(Hizi Tunzo) bado ni mchanga.....swali ni tuingiilie kati tumlee au tumwachie aliyebeba mimba?....Ubaya nisiouona mie ni kwakuwa kila media (most of them) wana watu wao.....Bongo5 kama chombo binafsi wana haki ya kuchagua watu wa kuwanominate....'Tunzo za Watu' ni jina tu lisikuchanganye sababu at the end of the day wapigaji kura wao nao ni sample ya watu katika jamii...
 
Last edited by a moderator:
Wadau tunawashukuru kwa maoni yenu, kama ilivyoandikwa ktk thread hii Tuzo hizi bado ni changa, na mapungufu hayakosekani ila tutajitahidi kwa kadiri ya uwezo wetu kuziboresha mwaka hadi mwaka. Kutokana na hali ya kiuchumi mwaka huu tumeamua kuwa na categories 11 tu, lakini uwezekano wa ku-zibadilisha/ongeza/punguza/boresha upo.

Kwanza kabisa tungependa kuwafahamisha kwamba Bongo5 Media Group Ltd ni kampuni inayojitegemea na haina uhusiano na kampuni wala media house nyingine yoyote hapa nchini, wenye kampuni ni Luca Neghesti na Nancy Sumari.

Mchakato wa wananchi kupiga kura kupitia tovuti ya Tanzania People Choice Awards na SMS ulianza February 2014, lakini kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu tulilazimika kuusitisha na kuanza tena April 29, ukidumu kwa wiki 3 tu.
Katika kila kipengele tumechukua majina matano yenye kura nyingi zaidi (baada ya kujumlisha SMS na online votes) kisha kuwatangaza top 5 nominees May 20.

Kwa kweli hata sisi tulishangazwa kidogo na baadhi ya kura zilizopigwa lakini tusingeweza kuingilia mchakato kwa vile mashabiki ndio waliyojitolea kupiga kura. Pia ni muhimu kuzingatia muda mchache na mifumo ya upigaji kura.

Tumeshaanza kupanga mikakati ya kuhakikisha tuwafikie watanzania wengi zaidi mwakani, tunakaribisha mawazo yenu pia. Katika uandaaji wa tuzo siyo rahisi kuwaridhisha wadau wote kila mara, ni kazi ngumu, ila maoni yenu ni muhimu sana na feedback inafanyiwa kazi.

Tunawasihi wadau wote wa JF wapige kura mwakani kuhakikisha their favorite matangazaji na kipindi are represented, tunawashukuru kutuunga mkono na kutumia muda wenu kujadili tuzo zetu changa.
 
Wadau tunawashukuru kwa maoni yenu, kama ilivyoandikwa ktk thread hii Tuzo hizi bado ni changa, na mapungufu hayakosekani ila tutajitahidi kwa kadiri ya uwezo wetu kuziboresha mwaka hadi mwaka. Kutokana na hali ya kiuchumi mwaka huu tumeamua kuwa na categories 11 tu, lakini uwezekano wa ku-zibadilisha/ongeza/punguza/boresha upo.

Kwanza kabisa tungependa kuwafahamisha kwamba Bongo5 Media Group Ltd ni kampuni inayojitegemea na haina uhusiano na kampuni wala media house nyingine yoyote hapa nchini, wenye kampuni ni Luca Neghesti na Nancy Sumari.

Mchakato wa wananchi kupiga kura kupitia tovuti ya Tanzania People Choice Awards na SMS ulianza February 2014, lakini kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu tulilazimika kuusitisha na kuanza tena April 29, ukidumu kwa wiki 3 tu.
Katika kila kipengele tumechukua majina matano yenye kura nyingi zaidi (baada ya kujumlisha SMS na online votes) kisha kuwatangaza top 5 nominees May 20.

Kwa kweli hata sisi tulishangazwa kidogo na baadhi ya kura zilizopigwa lakini tusingeweza kuingilia mchakato kwa vile mashabiki ndio waliyojitolea kupiga kura. Pia ni muhimu kuzingatia muda mchache na mifumo ya upigaji kura.

Tumeshaanza kupanga mikakati ya kuhakikisha tuwafikie watanzania wengi zaidi mwakani, tunakaribisha mawazo yenu pia. Katika uandaaji wa tuzo siyo rahisi kuwaridhisha wadau wote kila mara, ni kazi ngumu, ila maoni yenu ni muhimu sana na feedback inafanyiwa kazi.

Tunawasihi wadau wote wa JF wapige kura mwakani kuhakikisha their favorite matangazaji na kipindi are represented, tunawashukuru kutuunga mkono na kutumia muda wenu kujadili tuzo zetu changa.

Umeeleweka.......Pamoja Sana!
 
Wadau tunawashukuru kwa maoni yenu, kama ilivyoandikwa ktk thread hii Tuzo hizi bado ni changa, na mapungufu hayakosekani ila tutajitahidi kwa kadiri ya uwezo wetu kuziboresha mwaka hadi mwaka. Kutokana na hali ya kiuchumi mwaka huu tumeamua kuwa na categories 11 tu, lakini uwezekano wa ku-zibadilisha/ongeza/punguza/boresha upo.

Kwanza kabisa tungependa kuwafahamisha kwamba Bongo5 Media Group Ltd ni kampuni inayojitegemea na haina uhusiano na kampuni wala media house nyingine yoyote hapa nchini, wenye kampuni ni Luca Neghesti na Nancy Sumari.

Mchakato wa wananchi kupiga kura kupitia tovuti ya Tanzania People Choice Awards na SMS ulianza February 2014, lakini kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu tulilazimika kuusitisha na kuanza tena April 29, ukidumu kwa wiki 3 tu.
Katika kila kipengele tumechukua majina matano yenye kura nyingi zaidi (baada ya kujumlisha SMS na online votes) kisha kuwatangaza top 5 nominees May 20.

Kwa kweli hata sisi tulishangazwa kidogo na baadhi ya kura zilizopigwa lakini tusingeweza kuingilia mchakato kwa vile mashabiki ndio waliyojitolea kupiga kura. Pia ni muhimu kuzingatia muda mchache na mifumo ya upigaji kura.

Tumeshaanza kupanga mikakati ya kuhakikisha tuwafikie watanzania wengi zaidi mwakani, tunakaribisha mawazo yenu pia. Katika uandaaji wa tuzo siyo rahisi kuwaridhisha wadau wote kila mara, ni kazi ngumu, ila maoni yenu ni muhimu sana na feedback inafanyiwa kazi.

Tunawasihi wadau wote wa JF wapige kura mwakani kuhakikisha their favorite matangazaji na kipindi are represented, tunawashukuru kutuunga mkono na kutumia muda wenu kujadili tuzo zetu changa.

Shukrani kwa majibu yako mazuri.
 
Na nilitegemea kwa uhalisia Clouds Tv wasingeweza kupata category hapo maana EATV na ITV na STAR TV ndio wange tawala kwa mfano Vipindi kama Dira ya dunia(startv) na Malumbano ya hoja(ITV)

mkumbuke huo mchakato ni wa kutumia mtandao pekee so bongo ndo kuna wajanja wa kutumia net labda ndo mana huko mkoani hakujapata watu
 
MUONGOZAJI WA VIDEO ZA MUZIKI ZINAZOPENDWA.
5. Jerry Mushala.
Chonde chonde wana JF tumpigie kura huyu jamaa kwa sababu anajua sana, mfano wa video nzuri aliyowahi kufanya ni ile ya wimbo wa STIVE RnB- JAMBO JAMBO. Video hii ilikuwa nominated NORWAY(Kama sijakosea) kipengele cha video bora kutoka AFRICA. Tumpigie kura kwa wingi jamani.
 
Wadau tunawashukuru kwa maoni yenu, kama ilivyoandikwa ktk thread hii Tuzo hizi bado ni changa, na mapungufu hayakosekani ila tutajitahidi kwa kadiri ya uwezo wetu kuziboresha mwaka hadi mwaka. Kutokana na hali ya kiuchumi mwaka huu tumeamua kuwa na categories 11 tu, lakini uwezekano wa ku-zibadilisha/ongeza/punguza/boresha upo.

Kwanza kabisa tungependa kuwafahamisha kwamba Bongo5 Media Group Ltd ni kampuni inayojitegemea na haina uhusiano na kampuni wala media house nyingine yoyote hapa nchini, wenye kampuni ni Luca Neghesti na Nancy Sumari.

Mchakato wa wananchi kupiga kura kupitia tovuti ya Tanzania People Choice Awards na SMS ulianza February 2014, lakini kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu tulilazimika kuusitisha na kuanza tena April 29, ukidumu kwa wiki 3 tu.
Katika kila kipengele tumechukua majina matano yenye kura nyingi zaidi (baada ya kujumlisha SMS na online votes) kisha kuwatangaza top 5 nominees May 20.

Kwa kweli hata sisi tulishangazwa kidogo na baadhi ya kura zilizopigwa lakini tusingeweza kuingilia mchakato kwa vile mashabiki ndio waliyojitolea kupiga kura. Pia ni muhimu kuzingatia muda mchache na mifumo ya upigaji kura.

Tumeshaanza kupanga mikakati ya kuhakikisha tuwafikie watanzania wengi zaidi mwakani, tunakaribisha mawazo yenu pia. Katika uandaaji wa tuzo siyo rahisi kuwaridhisha wadau wote kila mara, ni kazi ngumu, ila maoni yenu ni muhimu sana na feedback inafanyiwa kazi.

Tunawasihi wadau wote wa JF wapige kura mwakani kuhakikisha their favorite matangazaji na kipindi are represented, tunawashukuru kutuunga mkono na kutumia muda wenu kujadili tuzo zetu changa.

@Bongo5 asante kwa kukubali makosa na mapungufu na huu ndio ukubwa.
Kuna mambo mnatakiwa kufanyia marekebisho haraka kwenye hizi tunzo.
.Kwanza hamkuzitangaza sana na watu wengi hawakuwa na taarifa, mimi mwenyewe nilikwenda kule baada ya kumsikia Millard Ayo ndio maana nika zileta hapa kwa mjadala mpana na bila shaka mme nufaika.

Pia mlitakiwa kuzifanya za kitaifa zaidi na mnatakiwa kufanya hivyo kwa kuhakisha kituo na kipindi au mtangazaji anaye ingia kwenye ushindani anajulikana na wengi au kitaifa na lazima pai kwenye hili swala mjipe nguvu ya kuamua kumtoa mtu mnayejua hajulikani au redio ambayo mnajua hasikiki kote.

pia mnatakiwa kuangalia kama utaratibu huu wa kupiga kura haumfanyi mtu kuweza kupiga kura zaidi ya mara moja maana kwenye hili unaweza kukuta watu wa dar peke yao au kikundi fulani ndio kinapiga kura zaidi ya mara moja maana mimi nimepiga sijaulizwa mail au chochote.

 
Wadau tunawashukuru kwa maoni yenu, kama ilivyoandikwa ktk thread hii Tuzo hizi bado ni changa, na mapungufu hayakosekani ila tutajitahidi kwa kadiri ya uwezo wetu kuziboresha mwaka hadi mwaka. Kutokana na hali ya kiuchumi mwaka huu tumeamua kuwa na categories 11 tu, lakini uwezekano wa ku-zibadilisha/ongeza/punguza/boresha upo.

Kwanza kabisa tungependa kuwafahamisha kwamba Bongo5 Media Group Ltd ni kampuni inayojitegemea na haina uhusiano na kampuni wala media house nyingine yoyote hapa nchini, wenye kampuni ni Luca Neghesti na Nancy Sumari.

Mchakato wa wananchi kupiga kura kupitia tovuti ya Tanzania People Choice Awards na SMS ulianza February 2014, lakini kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu tulilazimika kuusitisha na kuanza tena April 29, ukidumu kwa wiki 3 tu.
Katika kila kipengele tumechukua majina matano yenye kura nyingi zaidi (baada ya kujumlisha SMS na online votes) kisha kuwatangaza top 5 nominees May 20.

Kwa kweli hata sisi tulishangazwa kidogo na baadhi ya kura zilizopigwa lakini tusingeweza kuingilia mchakato kwa vile mashabiki ndio waliyojitolea kupiga kura. Pia ni muhimu kuzingatia muda mchache na mifumo ya upigaji kura.

Tumeshaanza kupanga mikakati ya kuhakikisha tuwafikie watanzania wengi zaidi mwakani, tunakaribisha mawazo yenu pia. Katika uandaaji wa tuzo siyo rahisi kuwaridhisha wadau wote kila mara, ni kazi ngumu, ila maoni yenu ni muhimu sana na feedback inafanyiwa kazi.

Tunawasihi wadau wote wa JF wapige kura mwakani kuhakikisha their favorite matangazaji na kipindi are represented, tunawashukuru kutuunga mkono na kutumia muda wenu kujadili tuzo zetu changa.

Pa1 mkuu..nafikiri challenges mmeziona.
 
WashindI ni wapi? Alaf ni vyema zihusishe vipengele ambavyo huwa havipatikani kwenye tunzo zingine kuliko kurudia yale
Yale.Ni vyema zikawa na utofauti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom