Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Kwanza naomba nielekeze sehemu nzuri ilotulia isiyo na makelele wa bugudha kwa hapa nikamalizie likizo Yangu vizuri kabla sijarudi kula chakii mie😁😁!!
Mdope ....mama john pale.Ndo kimyaa
 
😂😂😂😂😂
Nitakushangaza pale atakapokuja kukuambia "yo mom is the best thing that ever happened to me".
Sikiliza wewe mende🤣🤣🤣
Msiposhughulikiwa vizuri mnajigeuza wanaharakati.
Unamkumbuka Joyce Kiria alivyoharibu wengi kwa uana harakati fake?

Ona yuko kimya yaani amepata wa kumkata hamu.
Mmeachiwa nyie wajinga tu
Stuka wewe
 
Mahusiano yana heka heka nyingi,, unakuta unampenda mtu kumbe ye anapenda hela zake 🤣

Ama mtu anakupenda kwa hisia ila anashindwa kukupenda na matendo yake.

Mara umependwa na mtu ambaye humfeel

Heee heka heka ni nyingi sana.
Dah kwa sababu Pesa+Projects +Mipango inaanza then Mapenzi yanafuata
 
To yeye upo vizuri na unajitambua hata kama ni single mama, humu id tunaficha ila IQ ya mtu huonekana kwenye maandiko yake hata kama anachangia kwenye uzi pendwa wa rikiboy uandikaji tu unaweza kujua huyu mtu ana character zipi.
 
Sikiliza wewe mende🤣🤣🤣
Msiposhughulikiwa vizuri mnajigeuza wanaharakati.
Unamkumbuka Joyce Kiria alivyoharibu wengi kwa uana harakati fake?

Ona yuko kimya yaani ameata wa kumkata hamu.
Mmeachiwa nyie wajinga tu
Stuka wewe
We kimbinyiko hebu tulia, muache aenjoy. Usimuonee wivu😂😂😂😂
 
Haya na nyie sasa muache kupost against us,

yaan mwaka huu wanaume wa humu wako so against us

It could be fair mmoja wenu akatuappreciate na sisi just a little bit 😃😃😃😃
Bora umewakumbusha cute
 
Back
Top Bottom