Tuwe Wakweli: Kama Wabunge wa CHADEMA wa Viti Maalumu wasingeenda Bungeni ruzuku ingepungua sana chama kingeendeshwaje?

Kwanza nawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania kwa sababu viti vile ni mali yao siyo ya chama.

Pili shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku.

Tatu na mwisho CHADEMA HQ msiwasikilixe hawa makamanda wanaopiga kelele mitandaoni ilhali hawakichangii chama kwa namna yoyote ile na hata mkiitisha maandamano wanajificha nyuma ya kompyuta.

Hongereni chama kikuu cha upinzani.

Maendeleo hayana vyama!
Viti maalum mali ya wanawake kivipi? Si wangeteuliwa hata wa chauma ama wale wasio na vyama.?
 
Kwanza nawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania kwa sababu viti vile ni mali yao siyo ya chama.

Pili shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku.

Tatu na mwisho CHADEMA HQ msiwasikilixe hawa makamanda wanaopiga kelele mitandaoni ilhali hawakichangii chama kwa namna yoyote ile na hata mkiitisha maandamano wanajificha nyuma ya kompyuta.

Hongereni chama kikuu cha upinzani.

Maendeleo hayana vyama!
Ruzuku ya chama inatokana na kura katika uchaguzi mkuu siyo uwepo wa wabunge bungeni.
Faida ya ziada kwa CHADEMA kuwa na wabunge ni michango yao kwa chama
 
Kwanza nawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania kwa sababu viti vile ni mali yao siyo ya chama.

Pili shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku.

Tatu na mwisho CHADEMA HQ msiwasikilixe hawa makamanda wanaopiga kelele mitandaoni ilhali hawakichangii chama kwa namna yoyote ile na hata mkiitisha maandamano wanajificha nyuma ya kompyuta.

Hongereni chama kikuu cha upinzani.

Maendeleo hayana vyama!
Ni wakati wananchi wa tanganyika waelewe kuwa hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote. Hata kama huendi vitani, watie moyo waliopo vitani, sio unawaacha unaenda kula bata unategemea wafie huko kwa ajili yako. Wananchi mjifunze. Chama hakiwapiganii msipojipigania wenyewe

Acheni upumbavu bwana.
 
Unavyodai kuwa unawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania,unaweza kuthibitisha ya kwamba wale wanawake 19 wamepelekwa bungeni kwa baraka zote za chadema na wala siyo kwa njia za panya kutoka kwa mamlaka?
 
Kwanza nawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania kwa sababu viti vile ni mali yao siyo ya chama.

Pili shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku.

Tatu na mwisho CHADEMA HQ msiwasikilixe hawa makamanda wanaopiga kelele mitandaoni ilhali hawakichangii chama kwa namna yoyote ile na hata mkiitisha maandamano wanajificha nyuma ya kompyuta.

Hongereni chama kikuu cha upinzani.

Maendeleo hayana vyama!

Ama kwa kweli wajinga ndi waliwao!!!!!!:mad::mad::mad:
 
Unavyodai ya kwamba shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku, kwani chadema walikuambia kuwa wanahitaji ruzuku kupitia uchaguzi haramu ambao haukuwa uchaguzi bali ni uchafuzi wa demokrasia?
 
Kwanza nawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania kwa sababu viti vile ni mali yao siyo ya chama.

Pili shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku.

Tatu na mwisho CHADEMA HQ msiwasikilixe hawa makamanda wanaopiga kelele mitandaoni ilhali hawakichangii chama kwa namna yoyote ile na hata mkiitisha maandamano wanajificha nyuma ya kompyuta.

Hongereni chama kikuu cha upinzani.

Maendeleo hayana vyama!
sasa katibu mkuu Mnyika mbona anapiga kelele sana!? amenyimwa nini?!
 
Unavyodai kuwa unawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania,unaweza kuthibitisha ya kwamba wale wanawake 19 wamepelekwa bungeni kwa baraka zote za chadema na wala siyo kwa njia za panya kutoka kwa mamlaka?
Kwani katika wale wabunge 19 kuna mwanamme pale?!
 
Unavyodai ya kwamba shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku, kwani chadema walikuambia kuwa wanahitaji ruzuku kupitia uchaguzi haramu ambao haukuwa uchaguzi bali ni uchafuzi wa demokrasia?
Huwezi kuitenganisha Chadema na fedha hata siku moja bwashee!
 
Wewe ni mwekahazina wa chadema hata usemee mambo yahusuyo fedha ya chadema?Unavijua vyanzo vyao vya mapato?What if vyanzo vyao vingine vya mapato vinajitosheleza?
Kwa mujibu wa ripoti ya CAG wale Chadema wanategemea ruzuku na misaada kutoka kwa wazungu.

Hawana miradi kama wenzao CCM!
 
Naomba kufahamu utaratibu wa viti Maalumu kwenye Chama ukoje? Maana nionavyofahamu
Wanaomba na kupigiwa kura kabla hata ya uchaguzi sasa imekuwaje hawa tena au ndiyo waliopita mwanzoni kabla ya kukosa kwenye majimbo?
Utaratibu wa viti maalum unapaswa kuwa hivi.

1. Uchaguzi mkuu ukishafanyika, tume ya uchaguzi inatangaza nafasi za viti maalum kulingana na kila chama kilivyopata kura.

2. Chama husika kinafanya mchakato wake wa ndani kupendekeza majina ya wanawake kutoka chama chao. (Kila chama kina utaratibu wake wa ndani kulingana na katiba ya chama husika, na mchakato huo unaweza kuanza hata kabla ya uchaguzi, lakini hauwezi kukamilika mpaka uchaguzi uishe. Kwanini? Huwezi kujua chama kitapata nafasi ngapi kabla ya uchaguzi)

3. Chama husika kinaweka orodha ya majina iliyoyapendekeza kwa umma.

4. Katibu mkuu wa chama husika anawasilisha orodha ya majina yaliyopendekezwa na chama chake kwenda NEC.

5. NEC inaweka wazi kwa umma orodha ya majina ya wanawake waliopendekezwa kupewa hivyo viti maalum.

6. NEC inawasilisha rasmi hiyo orodha kwa spika wa bunge.

7. Spika wa bunge anaweka wazi kwa umma orodha ya majina ya wanawake wa chama husika walioteuliwa kuwa wabunge wa viti maalum.

8. Wabunge walioteuliwa wanaampa ndani ya bunge mbele ya spika siku ya kikao cha bunge.
 
Back
Top Bottom