Wakili: NEC ndio huteua Wabunge wa viti maalumu. Sifa kuu ni kuwa mwanachama wa chama cha siasa wakati wa uteuzi. Rejea JK kumpendekeza Mbatia wa NCCR

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,591
141,394
Wakili msomi Edward Kufakunoga amesema Halima Mdee amekula kiapo kwa umakini mkubwa.

Mosi ni kweli kabisa Halima Mdee aliteuliwa na NEC kuwa mbunge wa viti maalumu

Pili Halima Mdee wakati anateuliwa alikuwa mwanachama hai wa Chadema

Tatu Halima Mdee wakati anaapishwa mbele ya Spika alikuwa mwanachama hai wa Chadema

Wakili msomi Edward anasema itawapasa Chadema kufungua kesi endapo Spika atapuuzia maamuzi ya Baraza kuu la Chadema wakithibitisha uhalali wa maamuzi yao lakini kea meals 2020 Halima Mdee aliteuliwa akiwa na sifa zote.

Kila chama kina utaratibu wake wa kumpendekeza majina ya Wabunge watarajiwa wa viti maalumu lakini mwisho wa siku NEC huangalia uhalali wa uanachama kea muhusika.

Kikwete alimpendekeza James Mbatia kuwa mbunge wa viti maalumu lakini NEC ilimteua kwa uanachama wake wa Nccr amesema

cc: Pascal Mayalla na.Mselewa
 
Wakili msomi Edward Kufakunoga amesema Halima Mdee amekula kiapo kea umakini mkubwa

Modi ni kweli kabisa Halima Mdee aliteuliwa na NEC kuwa mbunge wa viti maalumu

Pili Halima Mdee wakati anateuliwa alikuwa mwanachama hai wa Chadema

Tatu Halima Mdee wakati anaapishwa mbele ya Spika alikuwa mwanachama hai wa Chadema

Wakili msomi Edward anasema itawapasa Chadema kufungua kesi endapo Spika atapuuzia maamuzi ya Baraza kuu la Chadema wakithibitisha uhalali wa maamuzi yao lakini kea meals 2020 Halima Mdee aliteuliwa akiwa na sifa zote.

Kila chama kina utaratibu wake wa kumpendekeza majina ya Wabunge watarajiwa wa viti maalumu lakini mwisho wa siku NEC huangalia uhalali wa uanachama kea muhusika.

Kikwete alimpendekeza James Mbatia kuwa mbunge wa viti maalumu lakini NEC ilimteua kwa uanachama wake wa Nccr amesema

cc: Pascal Mayalla na.Mselewa
Huyu ni sawa na Dr. Tulia tuu. Maana ili areukiwe lazima adhaminiwe na chama cha siasa. Na aidhinishwe na katibu mkuu wa chama. Huyu wakili ana onekana ni mwanafunzi wa Tulia na alikuwa akidesa.
 
NEC inateua majina ya wabunge wa viti maalum kutoka kwenye orodha ya majina yaliyotoka kwenye Chama husika.

Sasa kama hayo majina hamkuletewa, NEC iliyatoa wapi?. Na wengine walitolewa mahabusu usiku!.

Tusubiri waje Mahakamani wanyooshe maelezo
 
NEC inateua majina ya wabunge wa viti maalum kutoka kwenye orodha ya majina yaliyotoka kwenye Chama husika.

Sasa kama hayo majina hamkuletewa, NEC iliyatoa wapi?. Na wengine walitolewa mahabusu usiku!. waje Mahakamani wanyooshe maelezo
Hao ni wabunge wa Ndugai ndiyo maana walitolewa magereza usiku
 
Wakili msomi Edward Kufakunoga amesema Halima Mdee amekula kiapo kwa umakini mkubwa.

Mosi ni kweli kabisa Halima Mdee aliteuliwa na NEC kuwa mbunge wa viti maalumu

Pili Halima Mdee wakati anateuliwa alikuwa mwanachama hai wa Chadema

Tatu Halima Mdee wakati anaapishwa mbele ya Spika alikuwa mwanachama hai wa Chadema

Wakili msomi Edward anasema itawapasa Chadema kufungua kesi endapo Spika atapuuzia maamuzi ya Baraza kuu la Chadema wakithibitisha uhalali wa maamuzi yao lakini kea meals 2020 Halima Mdee aliteuliwa akiwa na sifa zote.

Kila chama kina utaratibu wake wa kumpendekeza majina ya Wabunge watarajiwa wa viti maalumu lakini mwisho wa siku NEC huangalia uhalali wa uanachama kea muhusika.

Kikwete alimpendekeza James Mbatia kuwa mbunge wa viti maalumu lakini NEC ilimteua kwa uanachama wake wa Nccr amesema

cc: Pascal Mayalla na.Mselewa
Mashaka yangu ni kuwa wote wa cc pamoja na mdau lao ni Moja🤔
 
Wakili msomi Edward Kufakunoga amesema Halima Mdee amekula kiapo kea umakini mkubwa

Modi ni kweli kabisa Halima Mdee aliteuliwa na NEC kuwa mbunge wa viti maalumu

Pili Halima Mdee wakati anateuliwa alikuwa mwanachama hai wa Chadema

Tatu Halima Mdee wakati anaapishwa mbele ya Spika alikuwa mwanachama hai wa Chadema

Wakili msomi Edward anasema itawapasa Chadema kufungua kesi endapo Spika atapuuzia maamuzi ya Baraza kuu la Chadema wakithibitisha uhalali wa maamuzi yao lakini kea meals 2020 Halima Mdee aliteuliwa akiwa na sifa zote.

Kila chama kina utaratibu wake wa kumpendekeza majina ya Wabunge watarajiwa wa viti maalumu lakini mwisho wa siku NEC huangalia uhalali wa uanachama kea muhusika.

Kikwete alimpendekeza James Mbatia kuwa mbunge wa viti maalumu lakini NEC ilimteua kwa uanachama wake wa Nccr amesema

cc: Pascal Mayalla na.Mselewa
Huyu aliyeandika hapa ni mwanasheria au bush lawyer?. Basi Tanzania Kuna tatizo kubwa zaidi ya tunavyofikilia au makusudi ya mwandishi? .Maana mtoa post hajui hata bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania lina wabunge wa aina gani?.l Mimi siyo mwanasheria lakini kuleta hoja ya Ubunge wa Mbatia ukalinganisha na Ubunge wa akina dada Halima inahitaji kujitoa ufahamu. Naomba nitoe maelezo ya kile ninachokijua Mhe James Mbatia aliingia bungeni kwa kuteuliwa na Mhe Jakaya Kikwete Rais wa wakati, hivyo aliingia bungeni kupitia kundi la wabunge wa kuteuliwa na Rais akiwa Mwanachama wa NCCR -mageuzi.Kwa hiyo NEC hawakumteua. Kuhusu dada Halima na Wenzake binafisi sioni sababu ya Bunge kuendelea kusema ni wabunge halali kwa sababu Chama chao kinachopaswa kuwadhamini kimewafuta uanachama hivyo mwandishi hapaswi kulinganisha matukio haya hayafanani.Na kama anataka kufananisha matukio alinganishe issue ya CUF walipofukuza wabunge wa viti maalumu na hili la akina Mdee la CHADEMA. Kwa uelewa wangu sio Bunge Wala Mahakama mwenye uhalali wa kuwaamulia Chadema kuwa ni wanachama gani? Wanapaswa kuwa nao ndani ya chama.
Mwisho turekebishe Katiba yetu iruhusu wagombea binafisi ili tupate wabunge wasiotokana na Chama.
 
Kibatala aje hapa, au nae katekwa na system.. Kuna wakili mwenzio anaharisha hapa
 
Wakili msomi Edward Kufakunoga amesema Halima Mdee amekula kiapo kwa umakini mkubwa.

Mosi ni kweli kabisa Halima Mdee aliteuliwa na NEC kuwa mbunge wa viti maalumu

Pili Halima Mdee wakati anateuliwa alikuwa mwanachama hai wa Chadema

Tatu Halima Mdee wakati anaapishwa mbele ya Spika alikuwa mwanachama hai wa Chadema

Wakili msomi Edward anasema itawapasa Chadema kufungua kesi endapo Spika atapuuzia maamuzi ya Baraza kuu la Chadema wakithibitisha uhalali wa maamuzi yao lakini kea meals 2020 Halima Mdee aliteuliwa akiwa na sifa zote.

Kila chama kina utaratibu wake wa kumpendekeza majina ya Wabunge watarajiwa wa viti maalumu lakini mwisho wa siku NEC huangalia uhalali wa uanachama kea muhusika.

Kikwete alimpendekeza James Mbatia kuwa mbunge wa viti maalumu lakini NEC ilimteua kwa uanachama wake wa Nccr amesema

cc: Pascal Mayalla na.Mselewa
Mjinga sana wewe unaojiita wakili!
Yaani mbunge viti maalum huteuliwa na NEC bila jina kwanza kupendekezwa na chama chake? Yaani NEC hujiamulia kumteuwa yeyote?
Chama ndiyo hupendekeza majina ya wabunge viti maalum ma kuipa NEC orodha yao - in order of preference - wakati wa uchaguzi na matokeo ya kura baada ya uchaguzi ndiyo huamua wabunge viti maalum wangapi chama kimevuna.
Kiini cha sakata hili ni kwamba Chadema haikupeleka orodha hiyo NEC - ilikuwa na orodha yake ambayo tayari walisha ipeleka NEC na ambayo NEC wangeitumia kuteua wabunge.
Chadema isingeweza kupeleka NEC jina mtu ambaye yuko mahabusu, yaani wafanye hivyo wakati wa utawala wa MZ? No way!
 
  • Thanks
Reactions: cmp
Back
Top Bottom