Tuwe makini, hakuna nchi ambayo haikuwa na wanyama pori wake kama sisi

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,309
12,604
Utalii wowote ambao unahusisha kuhamisha wanyama wetu kutokoka Tanzania kwenda nchi nyingine yoyote tuukatae wote bila kujali kabila, dini, jinsia wala elimu ya mtu. hata tukipewa bei gani. Hakuna nchi ambayo haijawahi kuwa na wanyama wake lakini tabia na maendeleo yao ndiyo yaliyosababisha kutoweka kwa wanyama pori wao.

Mtu yeyote awawe yule ambae atabariki kuhamisha wanyama wetu kwa sababu na kisingizio chochote ni Tanzania enemy number one wetu. Haitakii mema nchi yetu kwakuwa kuna siku atapunguza idadi ya watalii watakaotaka kuja kwetu kuona simbahai na twiga hai.

Kama tumewachoka wanyamapori wetu ni bora tuwale sisi wennyewe au tuwabadilishe kwa elimu, yaani ili kupata Simba hai mmoja asomeshe vijana wetu 50 vyuo vikuu vya nje masomo ya maliasili na utalii.

Tuuze zile pembendovu zetu zilizopo kwenye maghala ili ntupate pesa za kufunga mifumo ya kisasa ya ulinzi wa wanyama pori wetu kwenye hifadhi badala ya kuzichoma moto au kupoteza hela nyingine za kuzitunza na kuzilinda zisiibiwe.
 
Hivi nani alikwambia wanyama wanaweza kuisha kwa kuuzwa ujui wanyama wanazaliana uko nyuma binadamu walikuwa wanauzwa ulaya wakitokea africa karne zikapita lakini waafrica awakuisha, samaki, ngombe nk kila cku wanavuliwa lakini awajaisha
 
Hivi nani alikwambia wanyama wanaweza kuisha kwa kuuzwa ujui wanyama wanazaliana uko nyuma binadamu walikuwa wanauzwa ulaya wakitokea africa karne zikapita lakini waafrica awakuisha, samaki, ngombe nk kila cku wanavuliwa lakini awajaisha

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Bila ya kuwa na wise utilization ya wanyama wetu wa asili wanaweza kwisha, usifananishe samaki na wanyama pori, unajua samaki mmoja ana mayai mangapi?
 
Hivi nani alikwambia wanyama wanaweza kuisha kwa kuuzwa ujui wanyama wanazaliana uko nyuma binadamu walikuwa wanauzwa ulaya wakitokea africa karne zikapita lakini waafrica awakuisha, samaki, ngombe nk kila cku wanavuliwa lakini awajaisha

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Kwaiyo unadhani kuzaliana kwa binadamu na wild animals ni sawa?

Ulishawahi kutembelea mbuga za wanyama kuona upungufu wa wanyama tulionao?

Kipi kina faida zaidi sisi kuwa na wanyama kuzidi kiwango au kuwa na upungufu wa wanyama?

Naomba unijibu hayo maswali.
 
Hivi nani alikwambia wanyama wanaweza kuisha kwa kuuzwa ujui wanyama wanazaliana uko nyuma binadamu walikuwa wanauzwa ulaya wakitokea africa karne zikapita lakini waafrica awakuisha, samaki, ngombe nk kila cku wanavuliwa lakini awajaisha

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Historia hiyo inasema slave trade ilisababisha depopulation barani africa
 
Utalii wowote ambao unahusisha kuhamisha wanyama wetu kutokoka Tanzania kwenda nchi nyingine yoyote tuukatae wote bila kujali kabila, dini, jinsia wala elimu ya mtu...
Una elimu yoyote ya wildlife na ikolojia? Ili tukuamini katika haya.
 
Hivi nani alikwambia wanyama wanaweza kuisha kwa kuuzwa ujui wanyama wanazaliana uko nyuma binadamu walikuwa wanauzwa ulaya wakitokea africa karne zikapita lakini waafrica awakuisha, samaki, ngombe nk kila cku wanavuliwa lakini awajaisha
Hivi wewe ni nani kakwambia kuwa huko kwao watalii wanakotoka hakukua na wanyama pori kisha babu zao wakafanya upuuzi hadi wakaisha? Unadhani pale ngorongoro idadi ya binadamu inavyoongezeka na wanyama wanaongezeka pia proportionally? akili nyingine sijui mnakula nini? Kama unataka wanyama waendelee kuwepo ngorongoro ni lazima watu waondoke ngorongoro, nothing less nothing more. Tuache uchochezi
 
Una elimu yoyote ya wildlife na ikolojia? Ili tukuamini katika haya.
Kujua kuwa kuhamisha wanyama, mabadiliko ya mazingira (ecosystem), kuongezeka kwa idadi ya watu na kazi zao ndani ya hifadhi, kuua wanyama na mabadiliko ya hali ya hewa kunamaliza wanyama kwenye hifadhi kunahitaji kuwa na elimu kubwa ya wildlife?
 
Hivi nani alikwambia wanyama wanaweza kuisha kwa kuuzwa ujui wanyama wanazaliana uko nyuma binadamu walikuwa wanauzwa ulaya wakitokea africa karne zikapita lakini waafrica awakuisha, samaki, ngombe nk kila cku wanavuliwa lakini awajaisha
Ruaha national park hakuna Buffalo (Nyati), wameisha wote. Kama kuna mdau alienda huko akawaona aseme. April nilikuwa huko na Tour guide ndio aliyenimbia.
 
Back
Top Bottom