Utalii ni zaidi ya wanyama hai na mazingira mazuri kama Taifa tunapaswa kutengeneza Upekee wetu ili kuvutia watalii

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,627
40,785
Tanzania sio Nchi Pekee duniani yenye wanyama hai na mazingira mazuri ya kuvutia watalii.

Kuna nchi mbali mbali duniani ambazo hazina wanyama wala mazingira mazuri ya kuvutia lakini zinapata watalii kwa mamilioni kwa mwaka.

Mfano Mzuri ni Nchi kama Ufaransa watu wanakwenda pale kuangalia tu ule mnara unaoitwa Eifel Tower wine nzuri na mambo mengine.

Uingereza wana lile daraja lao la London (london bridge) , Makasri ya Zamani ya kifalme (windsor castle), Morocco fukwe za jiji la Cassablanca, Misri Mapiramidi n.k.

Kuna nchi pia zenye mbuga za wanyama kama Kenya, Afrika Kusini, Namibia etc.


Hivyo basi kwakua sisi tuna wanyama hai na mazingira mazuri ya utalii hiki kisiwe kitu pekee cha kujivunia bali tutafute upekee na katika upekee huo tuubrand na kututambulisha katika huo tusibweteke kwa kuwa na wanyama hai tu. Inabidi tufanye zaidi ya hapo.

Sekta ya utalii ni ngumu sana na haiwezi kutufanya washindi kwa kutengeneza filamu pekee.

Nchi kama Thailand haina wanyama lakini ina watalii kwa mamilioni kwa mwaka wanaofuata starehe katika mji wa Pataya.

Misri hawana wanyama ila wana mapiramidi ambayo kwa upekee wake huvutia watalii lukuki.

Sisi Tanzania ukiachana ma Wanyama hai na mazingira mazuri tuna nini cha ziada cha kuwafanya watu wasiende huko kwenye mapiramidi au kuponda raha huko Thailand wakaja kwetu kuangalia wanyama hai.

Ni muda sasa tukatengeneza upekee wetu ili tujitofautishe na wengine na hatimaye kuwin soko la utalii, bila kufanya hivyo tutabakia na wanyama hai na mazingira mazuri yasiyokuwa na msaada kwetu.
 
Tanzania sio Nchi Pekee duniani yenye wanyama hai na mazingira mazuri ya kuvutia watalii.

Kuna nchi mbali mbali duniani ambazo hazina wanyama wala mazingira mazuri ya kuvutia lakini zinapata watalii kwa mamilioni kwa mwaka.

Mfano Mzuri ni Nchi kama Ufaransa watu wanakwenda pale kuangalia tu ule mnara unaoitwa Eifel Tower wine nzuri na mambo mengine.

Uingereza wana lile daraja lao la London (london bridge) , Makasri ya Zamani ya kifalme (windsor castle), Morocco fukwe za jiji la Cassablanca, Misri Mapiramidi n.k.

Kuna nchi pia zenye mbuga za wanyama kama Kenya, Afrika Kusini, Namibia etc.


Hivyo basi kwakua sisi tuna wanyama hai na mazingira mazuri ya utalii hiki kisiwe kitu pekee cha kujivunia bali tutafute upekee na katika upekee huo tuubrand na kututambulisha katika huo tusibweteke kwa kuwa na wanyama hai tu. Inabidi tufanye zaidi ya hapo.

Sekta ya utalii ni ngumu sana na haiwezi kutufanya washindi kwa kutengeneza filamu pekee.

Nchi kama Thailand haina wanyama lakini ina watalii kwa mamilioni kwa mwaka wanaofuata starehe katika mji wa Pataya.

Misri hawana wanyama ila wana mapiramidi ambayo kwa upekee wake huvutia watalii lukuki.

Sisi Tanzania ukiachana ma Wanyama hai na mazingira mazuri tuna nini cha ziada cha kuwafanya watu wasiende huko kwenye mapiramidi au kuponda raha huko Thailand wakaja kwetu kuangalia wanyama hai.

Ni muda sasa tukatengeneza upekee wetu ili tujitofautishe na wengine na hatimaye kuwin soko la utalii, bila kufanya hivyo tutabakia na wanyama hai na mazingira mazuri yasiyokuwa na msaada kwetu.
Huko Pattaya wanafuata ngono , he na sisi tupo tayari kwa hayo?
 
Tufanye kipi cha kipekee sasa? Pendekezeni basi maana viongozi wetu wanawaza kumiliki mahoteli kila mkoa
 
Kupunguza landing fees kwa kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro. Ipo juu sana kulinganisha na uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta.Hali hiyo imefanya mashirika ya ndege ya Qatar, KLM , Turkish Airlines na Ethiopia Airlines kupandisha bei sana kwani hawana washindani wengi kulinganisha na Nairobi ambao ndio washindani wetu wakubwa kwenye kanda hii.
Hali inafanya bei za tiketi kuwa ghali sana ukilinganisha na Nairobi.
Mtalii anaichagua Kenya kwanza kwa bei na wingi wa ndege zinazotua Nairobi.Anakuwa na wigo mpana wa kuchagua.
Bei za kuingia kwenye hifadhi zetu pia ni kikwazo.
Customer care pia ni tatizo na communication skills.
Waongoza watalii wetu na madereva hawana uelewa wa historia ya mbuga zetu na wanyama.
Watalii wanategemea guide tour atakuwa expert wa kuweza kujibu maswali yao.
Kodi pia zinapaswa kuwa rafiki kwa wamiliki wa hoteli na makampuni ya kitalii.
Ndio maana ni nadra sana watalii waliokuja Tanzania kurudi tena kwani wanakuwa hawajaridhishwa licha ya utajiri wetu mkubwa kwenye sekta ya utalii.
 
Kupunguza landing fees kwa kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro. Ipo juu sana kulinganisha na uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta.Hali hiyo imefanya mashirika ya ndege ya Qatar, KLM , Turkish Airlines na Ethiopia Airlines kupandisha bei sana kwani hawana washindani wengi kulinganisha na Nairobi ambao ndio washindani wetu wakubwa kwenye kanda hii.
Hali inafanya bei za tiketi kuwa ghali sana ukilinganisha na Nairobi.
Mtalii anaichagua Kenya kwanza kwa bei na wingi wa ndege zinazotua Nairobi.Anakuwa na wigo mpana wa kuchagua.
Bei za kuingia kwenye hifadhi zetu pia ni kikwazo.
Customer care pia ni tatizo na communication skills.
Waongoza watalii wetu na madereva hawana uelewa wa historia ya mbuga zetu na wanyama.
Watalii wanategemea guide tour atakuwa expert wa kuweza kujibu maswali yao.
Kodi pia zinapaswa kuwa rafiki kwa wamiliki wa hoteli na makampuni ya kitalii.
Ndio maana ni nadra sana watalii waliokuja Tanzania kurudi tena kwani wanakuwa hawajaridhishwa licha ya utajiri wetu mkubwa kwenye sekta ya utalii.
Kwa maelezo yako ili tucompete na Nairobi inapaswa tupunguze landing fees.

Je ni landing fees pekee ndio inachangia kuongezeka kwa gharama ya tiketi toka nje kuja Tanzania au kuna factors nyingine pia??

Tunapaswa kuangalia kwa mapana nini kinasababisha tofauti hii na kuja na suluhisho.
 
Mkuu Statesman
Umbali wa KIA na Nairobi ni mdogo sana lakini tofauti ya nauli ni mpaka dola 250.
Pia licha ya landing fees uwanja wa KIA upanuliwe ili kukidhi mahitaji ya kuweza kuruhusu ndege nyingi kutua mara moja.
Kama tupo serious na sekta ya Utalii ni lazima KIA ibadilike.
Terminal zake ni ndogo sana na hata zikitua ndege mbili tu za kimataifa kunakuwa na msongamano wa watu .
Watalii wengi hawapendi kukalishwa muda mrefu kwenye laini za kungojea visa.
Uwanja una ardhi kubwa ili tuendane na mipango ya kuongeza watalii ni lazima tuubadili Uwanja wa KIA.
Uwanja huu umejengwa 1977 haukidhi mahitaji ya leo.
 
Mkuu Statesman
Umbali wa KIA na Nairobi ni mdogo sana lakini tofauti ya nauli ni mpaka dola 250.
Pia licha ya landing fees uwanja wa KIA upanuliwe ili kukidhi mahitaji ya kuweza kuruhusu ndege nyingi kutua mara moja.
Kama tupo serious na sekta ya Utalii ni lazima KIA ibadilike.
Terminal zake ni ndogo sana na hata zikitua ndege mbili tu za kimataifa kunakuwa na msongamano wa watu .
Watalii wengi hawapendi kukalishwa muda mrefu kwenye laini za kungojea visa.
Uwanja una ardhi kubwa ili tuendane na mipango ya kuongeza watalii ni lazima tuubadili Uwanja wa KIA.
Uwanja huu umejengwa 1977 haukidhi mahitaji ya leo.
Ila tumejenga terminal 3 pale JNIA hiyo haitoshi kuleta ushindani na JKIA?
 
Haitoshi kwa sababu watalii wengi wanaokuja Northern Hub ya utalii (Arusha na Moshi) wanateremkia Nairobi na wengine KIA.
Tungekuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya ku compete kama tukipanua Uwanja wa KIA.
Mtalii ana angalia costs hawezi kuteremkia JNI A halafu afunge safari kwenda Arusha kwa wanaotaka kutalii mbugani na Moshi kwa wenye kupanda Mlima Kilimanjaro.
 
Haitoshi kwa sababu watalii wengi wanaokuja Northern Hub ya utalii (Arusha na Moshi) wanateremkia Nairobi na wengine KIA.
Tungekuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya ku compete kama tukipanua Uwanja wa KIA.
Mtalii ana angalia costs hawezi kuteremkia JNI A halafu afunge safari kwenda Arusha kwa wanaotaka kutalii mbugani na Moshi kwa wenye kupanda Mlima Kilimanjaro.
Hapo sasa nimekuelewa mkuu.

Nimeuona umuhimu wa kupanua uwanja wa KIA.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tanzania sio Nchi Pekee duniani yenye wanyama hai na mazingira mazuri ya kuvutia watalii.

Kuna nchi mbali mbali duniani ambazo hazina wanyama wala mazingira mazuri ya kuvutia lakini zinapata watalii kwa mamilioni kwa mwaka.

Mfano Mzuri ni Nchi kama Ufaransa watu wanakwenda pale kuangalia tu ule mnara unaoitwa Eifel Tower wine nzuri na mambo mengine.

Uingereza wana lile daraja lao la London (london bridge) , Makasri ya Zamani ya kifalme (windsor castle), Morocco fukwe za jiji la Cassablanca, Misri Mapiramidi n.k.

Kuna nchi pia zenye mbuga za wanyama kama Kenya, Afrika Kusini, Namibia etc.


Hivyo basi kwakua sisi tuna wanyama hai na mazingira mazuri ya utalii hiki kisiwe kitu pekee cha kujivunia bali tutafute upekee na katika upekee huo tuubrand na kututambulisha katika huo tusibweteke kwa kuwa na wanyama hai tu. Inabidi tufanye zaidi ya hapo.

Sekta ya utalii ni ngumu sana na haiwezi kutufanya washindi kwa kutengeneza filamu pekee.

Nchi kama Thailand haina wanyama lakini ina watalii kwa mamilioni kwa mwaka wanaofuata starehe katika mji wa Pataya.

Misri hawana wanyama ila wana mapiramidi ambayo kwa upekee wake huvutia watalii lukuki.

Sisi Tanzania ukiachana ma Wanyama hai na mazingira mazuri tuna nini cha ziada cha kuwafanya watu wasiende huko kwenye mapiramidi au kuponda raha huko Thailand wakaja kwetu kuangalia wanyama hai.

Ni muda sasa tukatengeneza upekee wetu ili tujitofautishe na wengine na hatimaye kuwin soko la utalii, bila kufanya hivyo tutabakia na wanyama hai na mazingira mazuri yasiyokuwa na msaada kwetu.
Naunga mkono hoja
P
 
Tanzania sio Nchi Pekee duniani yenye wanyama hai na mazingira mazuri ya kuvutia watalii.

Kuna nchi mbali mbali duniani ambazo hazina wanyama wala mazingira mazuri ya kuvutia lakini zinapata watalii kwa mamilioni kwa mwaka.

Mfano Mzuri ni Nchi kama Ufaransa watu wanakwenda pale kuangalia tu ule mnara unaoitwa Eifel Tower wine nzuri na mambo mengine.

Uingereza wana lile daraja lao la London (london bridge) , Makasri ya Zamani ya kifalme (windsor castle), Morocco fukwe za jiji la Cassablanca, Misri Mapiramidi n.k.

Kuna nchi pia zenye mbuga za wanyama kama Kenya, Afrika Kusini, Namibia etc.


Hivyo basi kwakua sisi tuna wanyama hai na mazingira mazuri ya utalii hiki kisiwe kitu pekee cha kujivunia bali tutafute upekee na katika upekee huo tuubrand na kututambulisha katika huo tusibweteke kwa kuwa na wanyama hai tu. Inabidi tufanye zaidi ya hapo.

Sekta ya utalii ni ngumu sana na haiwezi kutufanya washindi kwa kutengeneza filamu pekee.

Nchi kama Thailand haina wanyama lakini ina watalii kwa mamilioni kwa mwaka wanaofuata starehe katika mji wa Pataya.

Misri hawana wanyama ila wana mapiramidi ambayo kwa upekee wake huvutia watalii lukuki.

Sisi Tanzania ukiachana ma Wanyama hai na mazingira mazuri tuna nini cha ziada cha kuwafanya watu wasiende huko kwenye mapiramidi au kuponda raha huko Thailand wakaja kwetu kuangalia wanyama hai.

Ni muda sasa tukatengeneza upekee wetu ili tujitofautishe na wengine na hatimaye kuwin soko la utalii, bila kufanya hivyo tutabakia na wanyama hai na mazingira mazuri yasiyokuwa na msaada kwetu.
Si fanya wewe, unangoja "tufanye" na nani? Wazo lako wewe unataka nani afanye?

Unaona wengine wameona kuvutia watalii ni kufanya "Royal Tour", wamefanya, hawakukungoja wewe.
 
Haitoshi kwa sababu watalii wengi wanaokuja Northern Hub ya utalii (Arusha na Moshi) wanateremkia Nairobi na wengine KIA.
Tungekuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya ku compete kama tukipanua Uwanja wa KIA.
Mtalii ana angalia costs hawezi kuteremkia JNI A halafu afunge safari kwenda Arusha kwa wanaotaka kutalii mbugani na Moshi kwa wenye kupanda Mlima Kilimanjaro.

Unafikir wanatelemkia Nairobi kwa sababu ya landing fee ya kwetu kuwa kubwa? Ni mipango mibovu tu ya serikali. First destination ni huko kwa sababu ndio wanakoenda kutalii na kwetu ni kumalizia tu.
 
Tanzania sio Nchi Pekee duniani yenye wanyama hai na mazingira mazuri ya kuvutia watalii.

Kuna nchi mbali mbali duniani ambazo hazina wanyama wala mazingira mazuri ya kuvutia lakini zinapata watalii kwa mamilioni kwa mwaka.

Mfano Mzuri ni Nchi kama Ufaransa watu wanakwenda pale kuangalia tu ule mnara unaoitwa Eifel Tower wine nzuri na mambo mengine.

Uingereza wana lile daraja lao la London (london bridge) , Makasri ya Zamani ya kifalme (windsor castle), Morocco fukwe za jiji la Cassablanca, Misri Mapiramidi n.k.

Kuna nchi pia zenye mbuga za wanyama kama Kenya, Afrika Kusini, Namibia etc.


Hivyo basi kwakua sisi tuna wanyama hai na mazingira mazuri ya utalii hiki kisiwe kitu pekee cha kujivunia bali tutafute upekee na katika upekee huo tuubrand na kututambulisha katika huo tusibweteke kwa kuwa na wanyama hai tu. Inabidi tufanye zaidi ya hapo.

Sekta ya utalii ni ngumu sana na haiwezi kutufanya washindi kwa kutengeneza filamu pekee.

Nchi kama Thailand haina wanyama lakini ina watalii kwa mamilioni kwa mwaka wanaofuata starehe katika mji wa Pataya.

Misri hawana wanyama ila wana mapiramidi ambayo kwa upekee wake huvutia watalii lukuki.

Sisi Tanzania ukiachana ma Wanyama hai na mazingira mazuri tuna nini cha ziada cha kuwafanya watu wasiende huko kwenye mapiramidi au kuponda raha huko Thailand wakaja kwetu kuangalia wanyama hai.

Ni muda sasa tukatengeneza upekee wetu ili tujitofautishe na wengine na hatimaye kuwin soko la utalii, bila kufanya hivyo tutabakia na wanyama hai na mazingira mazuri yasiyokuwa na msaada kwetu.
Aseh njereee stroke mtu wangu inakuwaje? Naona full shangwe longido homeboy jambazi sabaya limeachiwa.

Sasa vipi hule mpango wetu wakushinikiza serikali 'itandase" lami toka Sanya juu hadi longido kina mama yeyooo wafurahi.

Lalalayeiyooooh
 
Unafikir wanatelemkia Nairobi kwa sababu ya landing fee ya kwetu kuwa kubwa? Ni mipango mibovu tu ya serikali. First destination ni huko kwa sababu ndio wanakoenda kutalii na kwetu ni kumalizia tu.
Ni kweli mkuu hapa nyumbani mambo mengi mno yako disorganized.

Hakuna mtu anavutiwa kwenda mahali watu hawana mfumo mzuri wa kufanya mambo yao.

Ndio maana watalii wakija ni nadra kurudi tena.
 
Unafikir wanatelemkia Nairobi kwa sababu ya landing fee ya kwetu kuwa kubwa? Ni mipango mibovu tu ya serikali. First destination ni huko kwa sababu ndio wanakoenda kutalii na kwetu ni kumalizia tu.
Kama umeona mipango mibovu ya Serikali kwanini usifanye mipango yako wewe ikawa mizuri? Wakenya wameona kuna fursa wameitumia, wewe unangoja nini?
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom