Nnaona kuna upotoshwaji wa hali ya juu wa hali ya chakula nchini. Si kawaida yangu kuanzisha thread, ila hili imebidi nianzishie thread.
Kwanza kabisa ni declare interest, mimi ni mdau wa kilimo kwa miaka mingi, hivyo nnachoandika hapa ni kutokana na uzoefu wangu kwenye kilimo.
HOJA KUU
Watu wengi wanachanya bei za mazao kuwa juu na upatikanaji wa mazao nchini. Wengi wamejawa na hofu ya kutokea njaa, watu kukosa chakula hasa vijijini, etc....kubwa zaidi ni watu wa mjini kuogopa kununua chakula kwa bei ya juu.
Ikumbukwe mazao yanayolalamikiwa sana hapa ni mahindi na mpunga. Kwa kuwepo field, sioni kama kunaweza tokea njaa yoyote Tanzania, sababu watu walilima, na watu wanaendelea kuvuna.
Swala la kupanda bei lina pande mbili, kubwa ikiwa gharama kubwa za mbolea na mazao kiduchu yaliyotokana na wengu walioshindwa nunua mbolea.
Wengi mtawaza kwamba serikali izuie kuuza nje ili bei za vyakula zishuke, hiyo itakuwa kumuua mkulima at the expense ya walaji. Ikumbukwe mwaka jana mwishoni serikali ilinunua kwa wingi mahindi kwa wakulima na bado hawajaanza toa stock kwenye maghala yao. Hivyo mkulima aendelee uza kwa bei inayomlipa, popote kwenye soko, serikali ina stock ya kutosha kuuza ndani, muda ukifika itoe stock yake.
Kwanza kabisa ni declare interest, mimi ni mdau wa kilimo kwa miaka mingi, hivyo nnachoandika hapa ni kutokana na uzoefu wangu kwenye kilimo.
HOJA KUU
Watu wengi wanachanya bei za mazao kuwa juu na upatikanaji wa mazao nchini. Wengi wamejawa na hofu ya kutokea njaa, watu kukosa chakula hasa vijijini, etc....kubwa zaidi ni watu wa mjini kuogopa kununua chakula kwa bei ya juu.
Ikumbukwe mazao yanayolalamikiwa sana hapa ni mahindi na mpunga. Kwa kuwepo field, sioni kama kunaweza tokea njaa yoyote Tanzania, sababu watu walilima, na watu wanaendelea kuvuna.
Swala la kupanda bei lina pande mbili, kubwa ikiwa gharama kubwa za mbolea na mazao kiduchu yaliyotokana na wengu walioshindwa nunua mbolea.
Wengi mtawaza kwamba serikali izuie kuuza nje ili bei za vyakula zishuke, hiyo itakuwa kumuua mkulima at the expense ya walaji. Ikumbukwe mwaka jana mwishoni serikali ilinunua kwa wingi mahindi kwa wakulima na bado hawajaanza toa stock kwenye maghala yao. Hivyo mkulima aendelee uza kwa bei inayomlipa, popote kwenye soko, serikali ina stock ya kutosha kuuza ndani, muda ukifika itoe stock yake.