King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,711
- 68,697
Ebu afanye hivyo angalau akalete amsha amsha mjengoni
Kwasasa JIWE hayupo uchaguzi utasimamiwa vyema na NEC na sio "TEETH".
Ebu afanye hivyo angalau akalete amsha amsha mjengoni
Mhambwe ipo kibondoKwahiyo kuna Muhambwe na Buhigwe.
Yako wazi.
Sasa Huyu Zito atamaliza MajimBo Ya Mkoa Wa Kigoma, Maana Kama akienda Huko Buhigwe Litakuwa Jimbo La Tatu.
Ukanda wa Ghaza???Nchi yetu ina viongozi Wakuu toka pande zote za Nchi
Rais anatokea Tanzania Visiwani
Makamu wake anatokea Magharibi
PM anatokea Kusini
Spika anatokea katikati mwa nchi
Naibu Spika anatokea Nyanda za juu kusini
Jaji Mkuu anatokea Kaskazin Magharibi
Mkuu wa Usalama wa Taifa anatokea Mashariki mwa nchi
CDF anatokea 'Ukanda wa Ghaza'
Najivunia kuwa Mtanzania Wallahi wabillah wataalah
Ukanda wa Ghaza???
Upotevu wa pesa za Umma.Ndio maana ya Vyama vya Upinzani (Opposition Parties)kudai Katiba Mpya.Moja ya masuala ni hili la Mawaziri kutokuwa Wabunge.BAADA YA DK. PHILIP MPANGO KUWA MAKAMU WA RAIS JIMBO LA UCHAGUZI LA BUHINGWE MKOANI KIGOMA LIKO WAZI.
Mbunge akiteuliwa kuwa Makamu wa Rais anakoma kuwa mbunge.
Hivyobasi, Dk. Philip Isidori Mpango atakapo apishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakoma kuwa mbunge wa Jimbo la Uchaguzi la Buhingwe lililopo Mkoani Kigoma, haya ni matakwa ya masharti ya Ibara ya 47 (6) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.
Hivyobasi, Jimbo la Uchaguzi la Buhingwe lililopo Mkoani Kigoma liko wazi na Uchaguzi Mdogo utaitishwa na Tume ya Uchaguzi kujaza nafasi hiyo kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Uchaguzi.
By Matojo M. Cosatta