Tutalalamika mpaka lini?

Hapa umeongea vizuri na hakuna cha nyongeza..

Inapaswa either wajiuzuru or apatikane kiongozi anaye jali welfare ya wananchi
 
Naunga mkono hoja mkuu umeongea vyema sana πŸ™πŸ™πŸ”₯

Fire πŸ”₯ watu wowoooo πŸ’ͺπŸ˜†
Watu weeweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, lazima tupate nchi tunayoipenda.

Exactly maarifa kidogo taifa linaangamia
Kuna namna inabidi tuondoe vilaza kwenye hizi taasisi zetu.

Hapa umeniacha
Mwalemi ni sawa na kusema Olakoze au wavenja sana.

Maana yake ni ASANTE, mwalemi ni kihehe, Olakoze ni kiha/waha na wavenja ni kisukuma.

Huwa napenda tuu lugha za makabila yetu.

Uliwahi kusema ni mvivu kuandika nakumbuka πŸ˜…
Yaani huwa natamani niandike kitabu ila uvivu ndio unanikosesha hela. Lakini nikiendelea kukoment hivi utaondoka wenyewe.

Shukran kaka
Asante kwa mchango wako makini πŸ™
Asante piaπŸ™β™₯️
Tuko pamoja kulijenga Taifa letu.
 
Watu weeweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, lazima tupate nchi tunayoipenda.
Manifest
Kuna namna inabidi tuondoe vilaza kwenye hizi taasisi zetu.
Exactly bro
Mwalemi ni sawa na kusema Olakoze au wavenja sana.

Maana yake ni ASANTE, mwalemi ni kihehe, Olakoze ni kiha/waha na wavenja ni kisukuma.

Huwa napenda tuu lugha za makabila yetu.
Wewe upo wap hapo?
Yaani huwa natamani niandike kitabu ila uvivu ndio unanikosesha hela. Lakini nikiendelea kukoment hivi utaondoka wenyewe.
Hashtag #tokomeza uvivu
Asante piaπŸ™β™₯️
Tuko pamoja kulijenga Taifa letu.
🧑
 
πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ🀝
Exactly bro
πŸ’―πŸ€
Wewe upo wap hapo?
Mwalemi

Ila Nyerere alikatazaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hashtag #tokomeza uvivu

🧑
Ndio uniseme tena kwa reli πŸ’”πŸ˜‘.

Ila asante sana, thread zako nyingi huwa zinanivutia na kunifanya niandike. Am in JF since 2012 ila sijawahi kureply as I do.

Hata social media zingine ndio kabisa akaunti zangu ni kama mfuπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.

Nikiandika kitabu nitakuweka kwenye DIBAJIπŸ€‘
 
πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ🀝

πŸ’―πŸ€

Mwalemi

Ila Nyerere alikatazaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Ndio uniseme tena kwa reli πŸ’”πŸ˜‘.
Meza dawa acha kudeka hapa πŸ˜…
Ila asante sana, thread zako nyingi huwa zinanivutia na kunifanya niandike. Am in JF since 2012 ila sijawahi kureply as I do.

Hata social media zingine ndio kabisa akaunti zangu ni kama mfuπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.
Shukran mkuu karibu tena kwenye mijadala mingine zaidi 🀝
Nikiandika kitabu nitakuweka kwenye DIBAJIπŸ€‘
🫑🫑 bien
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…