field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,553
- 3,515
Viongozi wote tuliowaamini wakishirikiana na wezi na mafisadi kama akina Rostam Aziz na wengineo wamemaliza utajiri wa nchi, hawana uchungu na nchi yetu, wakati wananchi wa kawaida wanateseka wanakosa hata jinsi ya kupata matibabu.
Hao ndiyo wanaotuua kwa sababu wanaogopa maslahi yao kuingiliwa, japo hatuingilii tunauawa kwa kuhisiwa tu.
Tumeona wananchi wanauawa kwa kupigwa risasi kama wanyama (Random extrajudicial killings)j, wahusika wakubwa wakiwa police na TISS, na huenda wanajeshi wa nchi jirani.
Tumekosa nini hadi tuuawe? Wale waliouawa tutawakumbuka. Tukifa wengine, msichoke kuendeleza mapambano hadi tuwe na haki, tusiwe tunakimbia nchi yetu nzuri inayoharibiwa na watu wachache wabinafsi kama Samia na Kikwete. TUTAWAKUMBUKA WOTE WALIOPOTEA
Hao ndiyo wanaotuua kwa sababu wanaogopa maslahi yao kuingiliwa, japo hatuingilii tunauawa kwa kuhisiwa tu.
Tumeona wananchi wanauawa kwa kupigwa risasi kama wanyama (Random extrajudicial killings)j, wahusika wakubwa wakiwa police na TISS, na huenda wanajeshi wa nchi jirani.
Tumekosa nini hadi tuuawe? Wale waliouawa tutawakumbuka. Tukifa wengine, msichoke kuendeleza mapambano hadi tuwe na haki, tusiwe tunakimbia nchi yetu nzuri inayoharibiwa na watu wachache wabinafsi kama Samia na Kikwete. TUTAWAKUMBUKA WOTE WALIOPOTEA