itakuwa ni mwanamzikiyule nae ni msanii au mbabaishaji tu
Mbona hujataja pombeWanajifanya kutetea kitu ambacho ni hatari
Ni muwako wa macho yake tu ndio unapotosha watu.Zembwela havuti bangi wala hanywi viroba
[HASHTAG]#dumesuruali[/HASHTAG] [HASHTAG]#faiza fox[/HASHTAG] [HASHTAG]#lizabon[/HASHTAG] na [HASHTAG]#faru john[/HASHTAG]Tukimaliza hao..Tutawataja wanajf wanaokula bangi
Yule jamaa hata ukimkata kidole ufukie inaota bange.lile jicho LA baba john A.K.A Adam mchovu sijui kama anaacha ule mti wa arusha
TID viroba
.....bange ndio inamvuta yeye.Juma Necha havuti bangi wala sigara
Mkuu huyo ostadhat unamuonea[HASHTAG]#dumesuruali[/HASHTAG] [HASHTAG]#faiza fox[/HASHTAG] [HASHTAG]#lizabon[/HASHTAG] na [HASHTAG]#faru john[/HASHTAG]
Kabisa mkuu, mtu kama Chege au JCB akikuangalia tu wewe ndio unajihisi umekuwa bange, kwa hiyo kuwataja humu ni kuwafitini tu.Huu uzi umekaa kifitini zaidi...
Bangi haina tatizo waacheni wavute.
adi akaitungia nyimboYule jamaa hata ukimkata kidole ufukie inaota bange.