Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
unavuta ee?Bangi kama majani sioni tatizo lake ila bangi zile wanazochanganya na vitu vingine hzo ndio tatizo bangi kama majani tu aina tatizo ukilinganisha na sigara na ilo wengi na wataalamu hawataki kulisema wapo watu wengi wanavuta bange ni si vichaa au machizi fresh na kama ingekuwa hvyo leo jamaica ndo ingekuwa nchi inayoogoza kwa machizi duniani
Nakupa mtiani tu nenda kanunue leso nyeupe mbili then tafuta mtu anayevuta bangi pia nunua na siga piga pafu moja zito la sigara then chukua leso pulizia ule moshi wa sigara kwenye ile leso fanya hvyo hvyo kwa bangi pia then angalia zile leso mbili moja ya moshi wa sigara na nyingine ya moshi wa bangi hapo utapata jibu kipi kina hatari kwa kuangalia tu