Dah.. Imemtesa na kumharibia future mshikaji wangu... Alikuwa yuko njema kichwani... Toka kwa bibi Rwakatare ....alianza mdogomdogo akiiga kwa kutoka kwa bro wake...sasa hivi hata kuoga kwake ni shida....anatembea na gitaa tu kupiga kwenyewe Hajui....tuliokuwa washkaji tukimuona tunamkimbia... maana stori zake ni za kupigania uhuru tu... sijawahi kujua ni uhuru wa wapi....bange nani anasema haina madhara, acheni kudanganya watu , bange mbaya sana ina madhara makubwa tu ya kisaikolojia kama kuchanganyikiwa
Dah.. Imemtesa na kumharibia future mshikaji wangu... Alikuwa yuko njema kichwani... Toka kwa bibi Rwakatare ....alianza mdogomdogo akiiga kwa kutoka kwa bro wake...sasa hivi hata kuoga kwake ni shida....anatembea na gitaa tu kupiga kwenyewe Hajui....tuliokuwa washkaji tukimuona tunamkimbia... maana stori zake ni za kupigania uhuru tu... sijawahi kujua ni uhuru wa wapi....
UgoroJuma Necha havuti bangi wala sigara
Bangi ina tatizo gani ?Roma mkatoliki anavuta bangi
Ofisi za chadema ??Kuna kijiwe pale Kinondoni Manyanya ambapo daladala za Posta husimama kupakia abiria wa kwenda posta, unafuata barabara kama unaenda Soko la Mtambani nyumba ya 2 au 3 kushoto, pale kuna uwezekano mkubwa sana dawa za kulevya zinauzwa.
Kuna kijiwe pale Kinondoni Manyanya ambapo daladala za Posta husimama kupakia abiria wa kwenda posta, unafuata barabara kama unaenda Soko la Mtambani nyumba ya 2 au 3 kushoto, pale kuna uwezekano mkubwa sana dawa za kulevya zinauzwa.
Ofisi za chadema ??
kuna watu wanavituko sanaZembwela havuti bangi wala hanywi viroba
Dah.. Imemtesa na kumharibia future mshikaji wangu... Alikuwa yuko njema kichwani... Toka kwa bibi Rwakatare ....alianza mdogomdogo akiiga kwa kutoka kwa bro wake...sasa hivi hata kuoga kwake ni shida....anatembea na gitaa tu kupiga kwenyewe Hajui....tuliokuwa washkaji tukimuona tunamkimbia... maana stori zake ni za kupigania uhuru tu... sijawahi kujua ni uhuru wa wapi....
Mbona usemi kuhusu ukinywa pombe inavyokuwa?!mbona ukivuta una sizi kama si madawa nin yani bange inaenda idanganya akili kabisa yan nakujiona wewe ni special sana kw kwel i hate bange
sasa ndugu yangu mada ni bange ama pombe....Mbona usemi kuhusu ukinywa pombe inavyokuwa?!
Ushawahi kumuona mvuta bange kajikojolea barabarani?!
Acheni ujinga bangi kwani inatatizo gani?Roma Mkatoliki. Kama ni kweli unavuta mmea acha. Wewe ni kioo cha jamii