ferre.g
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 2,215
- 327
Wale wanaosambaza kupitia canter, Isuzu, na vibajaji.... Wanasambaza muda gani? Kwann nao wasisambaze jion?... Jibu haya kwanza...Haukuwa wakati muafaka wa kifanya hivyo. By the way,dhana inafahamika kwamba kulikuwa na wauzaji & wanywaji wa pombe wakati ambao ulikuwa sio mujjarab.
Lakini pale ikulu walinz hubeba viloba mifukoni na kunywa je hawa nao vipi?