Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Status
Not open for further replies.
Kweli waislam ni wapuuzi aisee.Kama kuna siku mmewahi kukatazwa kujenga shule,kusoma au kunyang'anywa shule na serikali hebu tuambieni,siyo mnaishia kulalama tu bila sababu nyie si mnadhani kutawaza na kuswali swala tano ndo elimu na tutaendelea kuwakimbiza tu,na hata mkianzisha jihad tutawatonesha washenzi nyie.Clip za kikao chenu cha uchochezi mlichofanya UDOM tunazo na tutazisambaza,kusoma hamtaki mnakalia majungu tu,vimeo kweli nyie!
 
Elimu ya magharibi na huku mnaililia,na mtalia mpaka huyo mtume wenu afufuke.Mnaacha kuingia darasani mnaishia kusoma madrasa tu na mtaishia la saba hivyohivyo...
 
Huo ni ujinga........... Mnalalamikia university nyingi ni za kikristu wakati nyie hamuanzishi zenu...!!!??? Haya sasa kuna mabenki mengi yanaanzishwa na wakristu............Haki ya MUNGU kuna siku mtalalamikia hilo...........Nyie badala ya kuanzisha Benki zenye maadili ya kiislamu wenyewe mnajiingiza kwenye mabenki mengine............. THE SAME TO MAHAKAMA YA KADHI....ANZISHENI WENYEWE
 



You must be sick in the head.
 
Hapo kwenye RED..............Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri
 
JK na Dr Omari Juma kabla hajafa aliwaeleza muache kulalama lalama, rekebisheni mnavyovilalamikia....
 

Hiyo kauli ni ya kweli na kinachonisikitisha nimeanzisha thread ya Ni Jinsi gani Nyerere alivyo umaliza uislamu afrika mashariki ikiwa ni pamoja na Zanzibar na Uganda.

Ninasikitika kusema moderators wenyewe ni "Wadini" kwani hiyo thread ina ushahidi wa kutosha lakini mpaka sasa hawajaiweka hapa Jamvini watu waidiscuss.

Nataka nikuulize unajua maana halisi ya CCM? "Christian Church Movement" halafu Masheikh wakisema nchi inaendeshwa na mfumo kristu mnakataa? Tatizo muislam akizungumza kuhusu masuala ya dini yake "mdini" lakini kwa wasikuwa waislamu ni sawa!!
 
Wakristo ndivyo walivyo hawaishi kuomba msaada kwa serikali iwaokoe dhidi ya imani nyengine hasa uislamu.Hawawezi kujitetea wenyewe kwa hoja.
Eti...Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga..
SI nyinyi mnasema waislamu hawakusoma mbona wanaendesha redio yao kitaalamu mpaka inawatetemesha nyoyo. mnaomba ifungiwe ?.
Tatizo lenu wakristo munajitia mumesoma kumbe hamukuelimika.Wizara karibu zote na mabaraza ya miji na majiji mumeshika nyinyi lakini wenyewe ni mashahidi kwamba Tanzania haina maendeleo na kwamba imezongwa na ufisadi.
.
 

Si busara kumuambatanisha Rais wetu na mashekh wanaotaka kuvuruga amani. kwani mheshimiwa rais ameonesha wazi kuwa yeye ni mzalendo na hana udini. kumhusisha kikwete na wahalifu ni kutibu donda kwa kuongeza chumvi. tuwe makini na mijadala.
 
Kimsingi maneno yako ni ya kweli. Tunahitaji amani. Hatuhitaji midahalo itakayotuondolea amani yetu. Lakini umukosea kuwa waislamu hawakurudishiwa Hospitali wala shule kwa sababu hawakuwa na kitu walichotaifishwa, kwani walikuwa nacho walau kidogo. kwa mfano hospitali ya Muhimbili ilijengwa na Sewahajj ambaye ni mwislamu. Majengo mengi yaliyotaifishwa yalikuwa yakimilikiwa na waislamu na yakachukuliwa na msajili wa majumba. Hata shule zilikuwepo chache kama Ujiji primary iliyoko Ujiji Kigoma
 
Don't panic everything is under control because the God we worship is alive and He is a God of Peace. Just kneel down and pray for this peace to prevail in our country. Wengine mtasema hakuna amani, just think of Libya, Egypt, and all those countries where there are killings of innocent men and women plus children for whatever reason!!!
 
He mnapendana kishenzi!!!! Maana yake nini? Nimetoka kapa bila bila!!!
Hatugombani ng'ooooo kwani sisi wengine familia zetu zimechanganyika waislamu na wakristo tena wakatoliki na tunapendana kishenzi.
 
Udini? Mitaa yote ninayobahatika kwenda siuoni huo udini? Naona hii ni nadharia ya mtu au watu fulani kujustify kitu fulani. Mitaani sijaona vurugu za udini kama zinazotokea Nigeria!! Mbona tunaishi tu vizuri! Watanzania tupuuze hii mijadala ya udini!! Solution to every person's problem is to go to school and study very hard. Yaani, excel in your studies. Faulu uende chuo kikuu na upate degree zote. Inferiority complex itaishi na wewe utaishi a modest life if not a rich man's life. Suala si kusoma shule, bali ni kufaulu ufike "there is no scchool beyond there"!!! Ukisoma ukapata division four au zero ni sawa na kutosoma na hiyo elimu haitakusaidia kitu.
 
Tatizo la ndugu zetu waislam ni kuendekeza dini hata mahali ambapo hapaitaji dini, na iwapo patahitaji dini basi wajifunge mkanda kutatua tatizo badala ya kulalamika na kueneza uongo. Hivi tujiulize hizo shule na hospitali za wakristo zilijengwa na serikali? Ilikotoka dini ya Waislamu ni matajiri sana. Ni Uarabuni. Waislamu wameutumiaje utajiri wa waarabu kujenga shule na mahospitali. Kwa nini misaada ya Waarabu huwa ni tende na misikiti kwa sehemu kubwa? Waislamu wameabiwa tafuteni elimu hadi uchina. Je, wao hilo wanalielewaje? Hakuna sababu ya kuwalalamikia wakristo bali wakafanye kazi ya ujenzi wa shule na mahospitali. Waislamu wenye mtizamo dhabiti huwatoa watoto wao kwenye shule za kiislamu na kuwapeleka kwenye shule za wakristo ambako hakuna ubaguzi wa kidini. Kwa nini hawa wenye mijadala wasijadili hilo? Ni vigumu mno asiye mwislamu kusoma katika shule zao. Ni shule ambazo maendeleo ya elimu ya kawaida huwa hafifu kwani shule hizo huwa kama madrasa. Walimu wao huendekeza dini zaidi ya elimu. Je hili walaumiwe wakristo?
 

Wakristo kabla ya mwaka 1992 mlikuwa na vyuo vingapi? (ZERO)

Baada ya MoU ya kuchota fedha za serikali bila auditing (Ufisadi) tena pesa za umma ndio mkajenga vyuo..mtasema vilikuwa vyenu??? wakristo??

Kabla ya hapo serikali ya kikoloni (kikristo) ilijenga maknisa na hospitali za kanisa kwa kutumia fedha za umma lini nyinyi mmejenga wenyewe?

Baada ya uhuru St. Nyerere alinyang'anya shule, vyuo na hospitali chache za waislamu zilizojengwa na waislamu huku akiacha za kanisa seminari ..ibaguzi uliofikia hatua ya juu naunyang'anyi wa haki

Baadaye MKapa akawarudishia baadhi shule za serikali kwa wakristo mfano mazengo, bugando, etc..lakini hawakurudusha hata shule moja ya waislamu..ubaguzi na unyang'nyanyi wa hali juu...

Hivi wakristo mnapenda sana vya dezo..au mnapenda uwizi..eti kuwahi ..ajabu..
 
bola mmeliona heli wakuu kwani mara nyingi hawa ndugu zetu wamekuwa wachochezi wa kidini, hawatupendi hata kidogo na ni wabaguzi nakumbuka tulivyo kuwa form 6 walijitenga kuanzia kula , story lakini kwenye kusoma wanakaa nasi tuka wapiga mkwala wajitenge nasi hata kwenye kusoma basi tukafanyikiwa kukomesha tabia yao wakaacha na kujumuika pamoja nasi.amen
 

Kama hutaki kusikiliza si usifunguliee hiyo radio fungulia radio maria...yenye mijadala ya kijumuia..

Mbona kwenye jumuia zenu mnahimiza kumchagua slaa hakuna aliyewakemea nyie vipi??
 
Kama hutaki kusikiliza si usifunguliee hiyo radio fungulia radio maria...yenye mijadala ya kijumuia..<br />
<br />
Mbona kwenye jumuia zenu mnahimiza kumchagua slaa hakuna aliyewakemea nyie vipi??
<br />
<br />
ustadh, topical kwa ajili ya upendo wangu kwako kuna tenda mwana, ya kuchinja nguruwe, mshahara mzuri tu manta hofu. naomba jibu.
 
Mara baada ya uchaguzi tulisikia lecture nyingi kutoka kwa JK akitahadharisha jamii madhara ya kuchanganya dini na siasa kwamba hili kulinda umoja wetu ni vizuri viongozi wa kidini wakaacha kuingilia siasa. LEO hii Bakwata inaitisha press conference inawaambia waumini wa dini kiislamu wasipigie kura chadema, JK aliyotuhubiria madhara ya dini kuingilia siasa amekaa kimya.

Najiuliza je akitokea kiongozi wa kikristo akawaambia wakristo wasigie kura CCM je kutakalika nchi hii ? Tume ya uchaguzi ipo kimya, Tendwa yuko wapi kimya? Nchi hii umoja wetu ukivunjika hakuna wa kumlaumu bali ni Jakaya Kikwete kwa kufumba macho udini for political reasons wakati misingi hii ikivunjwa mbele ya macho yake.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…