Ni wajibu wako kama raiya mwema kuvijulisha vyombo vya usalama pale linapotokea tatizo kama ilo. Je ulitoa taarifa polisi?Haina maana kwenda polisi wakati tuna vyombo vinavyotakiwa kufuatilia swala hili, hawa watu wanahatarisha usalama wa taifa, je hao watu wa kijitonyama a.k.a USALAMA WA TAIFA wanafanya nini? au kazi yao ni kuchakachua tu?
Usipotoshe ukweli kwa dai lako la uongo kuwa Uislamu ulienezwa kwa upanga! haya nakuuliza, Uislamu ulipoingia huku kwetu miaka 1000 kabla ya ukristo kuja ni upanga gani huo uliotumika mpaka babu zetu wakasilimu?
Maeneo ya Machame, Usangi, Ugweno, Moshi mjini, Bukoba, Musoma nk, kuna Waislamu pia sasa upanga uliotumika kuwasilimisha umeuhifadhi ktk MUSEUM yako?
2) Indonesia ni nchi yenye idadi kubwa sana ya Waislamu duniani kote, sasa uislamu ulipoingia huko ni upanga upi huo uliotumika?
India, Pakistani, Afganistani, Kosovo, Bosnia, mackedonia, Uzbekistan, Urusi, Chechenia, USA na nchi nyingi duniani wanakoishi waislamu ni upanga gani huo uliotumika?
Labda Ukristo ndio ulioenezwa kwa mtutu wa bunduki ndio maana Wazee wetu akina KINJEKITILE walikataa kudanganywa na Wazungu waliokuja kama Wamisionari kumbe lengo lau ni kuwabatiza na kuwatala!
Usituletee propaganda chafu zilizopitwa na wakati tafuta lingine la kuongea lakini sio upupu!
astakhafirurah!Kama kuna watanzania wanaosikiliza hiyo redio basi hawazidi mia tano. Wengi wao wapo tandale, manzese, tandika, temeke, gongolamboto na mbagala.
Mnajuwa Mkristo wa kwanza kutia nanga pwani ya Kilwa (yeye mwenyewe hajashuka melini), ni Vasco Da Gama, baad ya kushusha wasaidizi wake na kupewa mabaharia wa kuwaendeleza safari yao na waliporudi kwa mara ya pili Kilwa kitu cha kwanza ilikuwa ni kuwapiga wenyeji kwa mizinga kutoka kwenye merikebu zao bila ya huruma! Kisa? CRUSADE!
Na hiyo kurusedi bado inaendelea haijasitishwa. Na sasa ndio inaongeza kasi, kwa sababu tu uIslaam unakuwa kwa haraka kuliko dini yoyote duniani.
Hapa kwetu kinawashngaza nini kuwa tumetawaliwa na mfumo kiristo uliosimikwa na Nyerere? Kama si kweli, kwa lipi zaidi ambalo linamfanya Nyerere awe kwenye safu ya kupewa utakatifu? Utakatifu upi alioufanyia nchi hii? Zaidi ya kuleta mfumo kiristo?
Kwa hiyo Uislam ulivyoingia Tanganyika na Zanzibar, kama sio East Africa uliingia kwa Upanga, kama unavyofikiria... Hivi unaijuwa historia ya nchi yako kweli.Mkuu naona ukweli umekuuma. Ebu niambie jihad maana yake ni nini?? By the way, una taarifa kwamba Ijumaa ijayo kuna mfadhili mmoja kutoka Afghanistan atagawa misaada mbalimbali maeneo ya mtoni kwa aziz alli?? Nasikia hata pilau itakuwepo.
Kama kuna watanzania wanaosikiliza hiyo redio basi hawazidi mia tano. Wengi wao wapo tandale, manzese, tandika, temeke, gongolamboto na mbagala.
viongozi wa nchi hii wanachochea udini..hawalioni hilo, watajidai hawaoni.siku ocampo akija watakuwa wa kwanza kushtakiwahaina maana kwenda polisi wakati tuna vyombo vinavyotakiwa kufuatilia swala hili, hawa watu wanahatarisha usalama wa taifa, je hao watu wa kijitonyama a.k.a usalama wa taifa wanafanya nini? Au kazi yao ni kuchakachua tu?
na kawawa alikuwa mkristo?
mnh...................kuna watu wametumwa kuchochea udini yule ambae kila hotuba anayotoa ni udini tu (mkwere) ili ionekane kuna udini
yaani mimi nikitaka kuongeza kisukari uwa nasikiliza hiyo redio na nyingine iliyoko dar!full upuuzi,mashekhe wawe na degree kama mapadre labda IQ YAO ITAONGEZEKA!MTU UTAFELISHAJE WAKATI MITIHANI INAFANYA KWA NO?
Kama kuna watanzania wanaosikiliza hiyo redio basi hawazidi mia tano. Wengi wao wapo tandale, manzese, tandika, temeke, gongolamboto na mbagala.
Mkuu naona ukweli umekuuma. Ebu niambie jihad maana yake ni nini?? By the way, una taarifa kwamba Ijumaa ijayo kuna mfadhili mmoja kutoka Afghanistan atagawa misaada mbalimbali maeneo ya mtoni kwa aziz alli?? Nasikia hata pilau itakuwepo.