Tusio na nyumba tukutane hapa

Tusio na nyumba tukutane hapa

Je una nyumba?

  • Ndio nina nyumba

    Votes: 23 29.1%
  • Sina nyumba

    Votes: 27 34.2%
  • Kikubwa uzima

    Votes: 29 36.7%

  • Total voters
    79
Kuna wale tumepanga tu matofali hapa pia panatuhusu unajenga nyumba kesho ukiamka unamwambia fundi jiko liwe ipande huu kesho kutwa choo kiwe upande ule kitapendeza zaidi nondo na linta umechanganya size kutokana na hela ya siku hi
😁😁😁
 
Kuna wale tumepanga tu matofali hapa pia panatuhusu unajenga nyumba kesho ukiamka unamwambia fundi jiko liwe ipande huu kesho kutwa choo kiwe upande ule kitapendeza zaidi nondo na linta umechanganya size kutokana na hela ya siku hiyo...
As long pana itwa nyumbani, basi jivunie kuwa sehemu ya hapo.

Hahaha ila ume nikumbusha kipindi mama angu ana jenga sehemu, enzi hizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom