Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,948
- 147,806
Waachie wanao,kugombania Mali ni ushambaWatogamba kuzigombania ukifa
Waachie wanao,kugombania Mali ni ushambaWatogamba kuzigombania ukifa
nakupa tahadhari kabla ya ajaliAaaah😁
Watagombani sasa na wakati huo haupo bora nyumba ya kupangaWaachie wanao,kugombania Mali ni ushamba
Zaidi ya Sana kiukweli, kuna ile uki tazama una sema mbona ka ni impossible mission.Wakina Mama tusiwaseme walijitahidi sana kwa kweli aisee..
Sawia😁nakupa tahadhari kabla ya ajali
Basi hautojenga🥲Watagombani sasa na wakati huo haupo bora nyumba ya kupanga
Wakitoka makaburini kila mtu anatafuta pa kwenda
Sasa una sikitika nini?Basi hautojenga🥲
Huyu mwamba anaogopa kujenga akifa watagombania,Sasa una sikitika nini?
Maamuzi yake, na hapo nadhani ana tania tu.Huyu mwamba anaogopa kujenga akifa watagombania,
😁Maamuzi yake, na hapo nadhani ana tania tu.
Kwani una taka wanao warithi?
Swali gumu🥺Kwani una taka wanao warithi?
Hujui ka utakuwa na watoto 🤔Swali gumu🥺
Yaani, je atarithi nani? Madogo.Hujui ka utakuwa na watoto 🤔
We sema una ogopa kwenda kulia hospital bila kuchapwaYaani, je atarithi nani? Madogo.
🤣🤣🤣🤣,Yaani ma best zangu wananitisha🤣We sema una ogopa kwenda kulia hospital bila kuchapwa
Nili jua tu, wenge la uoga 🤣🤣🤣🤣🤣,Yaani ma best zangu wananitisha🤣
Aisee🤣,,wanasema ni hatari,Nili jua tu, wenge la uoga 🤣
twins is my favorite pia, ila wakija mmoja mmoja sio mbaya.Aisee🤣,,wanasema ni hatari,
Lkn ni lazima haipingiki,tena naomba nipate twins 😍,,,imeishia hiyo🤣