Tusio na kazi tukutane hapa

Tusio na kazi tukutane hapa

Aniva

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2018
Posts
717
Reaction score
798
Nimejikuta nawaza tu, kwanini tusiwe na jukwaa la watu tusiokuwa na kazi rasmi za kufanya.

Wengine tumetumbuliwa hivi karibuni, wengine wamemaliza vyuo bado wanatafuta na wengine wana kazi lakini siyo ya maana ili mladi tuu siku ziende.

Hata mwenye job vacancies anaweza akatupata humu tukasaidiana maana hali hii siyo kabisa.

Vyuma vimekaza kila kona. Tujipigishe zetu story humu tujuzane ilikuwaje ukajikuta huna kazi.

Karibuni wadau.
 
Nimejikuta nawaza tu, kwanini tusiwe na jukwaa la watu tusiokuwa na kazi rasmi za kufanya.

Wengine tumetumbuliwa hivi karibuni, wengine wamemaliza vyuo bado wanatafuta na wengine wana kazi lakini siyo ya maana ili mladi tuu siku ziende.

Hata mwenye job vacancies anaweza akatupata humu tukasaidiana maana hali hii siyo kabisa.

Mimi nipo home tuu nimetumbuliwa maana huko ofisini hakuna deals zaidi ya kuongeza matumizi na hakuna mapato mapya.

Vyuma vimekaza kila kona. Tujipigishe zetu story humu tujuzane ilikuwaje ukajikuta huna kazi.

Karibuni wadau.
Pole mkuu ,unajua kulima?
 
Nimejikuta nawaza tu, kwanini tusiwe na jukwaa la watu tusiokuwa na kazi rasmi za kufanya.

Wengine tumetumbuliwa hivi karibuni, wengine wamemaliza vyuo bado wanatafuta na wengine wana kazi lakini siyo ya maana ili mladi tuu siku ziende.

Hata mwenye job vacancies anaweza akatupata humu tukasaidiana maana hali hii siyo kabisa.

Mimi nipo home tuu nimetumbuliwa maana huko ofisini hakuna deals zaidi ya kuongeza matumizi na hakuna mapato mapya.

Vyuma vimekaza kila kona. Tujipigishe zetu story humu tujuzane ilikuwaje ukajikuta huna kazi.

Karibuni wadau.
Pole sana kwa kutumbuliwa ila maisha ni mapambano na hakuna kukata tamaa.
 
Nimejikuta nawaza tu, kwanini tusiwe na jukwaa la watu tusiokuwa na kazi rasmi za kufanya.

Wengine tumetumbuliwa hivi karibuni, wengine wamemaliza vyuo bado wanatafuta na wengine wana kazi lakini siyo ya maana ili mladi tuu siku ziende.

Hata mwenye job vacancies anaweza akatupata humu tukasaidiana maana hali hii siyo kabisa.

Mimi nipo home tuu nimetumbuliwa maana huko ofisini hakuna deals zaidi ya kuongeza matumizi na hakuna mapato mapya.

Vyuma vimekaza kila kona. Tujipigishe zetu story humu tujuzane ilikuwaje ukajikuta huna kazi.

Karibuni wadau.
Kazi yangu Ni Jf Na muajiri wangu ni maxence mello sina zaidi mshahara wangu ni kununua bando la jero kila siku
 
Aaahh jamani mimi kutumbuliwa ndo imekuwa topic? Naedit post
Wala usi edit ulicho leta ni idea nzuri litapo anzishwa group hilo humo ndani watapatikana watu wa kusaidia na kutoa ushauri ila nadhani ki maudhui baadaye litaanza kufanana na group la kazi/Ajira
 
Wala usi edit ulicho leta ni idea nzuri litapo anzishwa group hilo humo ndani watapatikana watu wa kusaidia na kutoa ushauri ila nadhani ki maudhui baadaye litaanza kufanana na group la kazi/Ajira
Aahhh naona kila mtu ananipa pole asa uzi mzima utajaa pole yangu tuu mimi sipendi na vitu vingine ni personal sema sikuzani kama vitakuwa na impact kubwa
 
Back
Top Bottom