Tusikimbilie kusema fulani hapendi ndugu kisa hawapi nafasi kwenye biashara yake ama kuwapa connection ofisi aliyomo, hizi ndizo sababu kuu/

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,081
Kuna lawama baadhi ya watu huwa tunapewa kwamba tunataka kufanikiwa wenyewe, hatupendi ndugu wafanikiwe, anataka kuonekana peke yake ndie mwenye mafanikio kwao, n.k. ni kweli kuna baadhi ya watu hufanya hivi maksudi lakini sio wote.

Mtu unakuta ana kampuni yake, biashara yake ama yupo shirika /taasisi flani katika chenye mamlaka ama connection za kuweka watu lakini haweki ndugu zake sehemu aliyopo, anaona ni heri awatafutie kwa wengine ama shirika moja tawi jingine.

1. KUEPUKA DOUBLE STANDARDS - Kuna ndugu wakijua wewe ndie boss WANAVIMBA, yani ubishi na wafanyakazi wengine ni wao, ugomvi ni wao, kiburi na jeuri kwa wafanyakazi wengine ni wao, wana ile fikra kwamba "Hii ni kampuni yetu mimi ni sawa na boss". hapa ili kuepuka kuonekana unapendelea ndugu zako unaamua upige BLOCK.

2. KUEPUKA KUPUNGUZA UFANISI - Ndugu unampa kazi anakuja saa tatu asubuhi anawahi kuondoka kuna ufanisi hapo ? Kazi zinakuwa pending, yote haya anayafanya akijua kwamba hata mkifika mbali mtayamaliza kindugu.

3. KUEPUKA KUTENGWA ZAIDI - Hawa ndugu zetu ukianza kuwawawajibisha kwa makosa wanayofanya wanaanza kukuona unawanyanyasa na habari zinaeneoa ukoo mzima kwamba unaroho mbaya,

4. HOSTILE TAKEOVER - Hii inatokea Ndugu umemweka lakini yeye maelengo yake ni kuja kukuharibia / kukupindua achukue nafasi yako ama kukuondoa kabisa abaki yeye, hapo kuna kusagiwa kunguni mpaka kukuroga, n.k.



Mwisho niseme kuna jamii inakuwa rahisi kuweka hata ndugu kwasababu suala la kumwajibisha ndugu halionekani ni kunyanyasa, ndugu wanajiheshimu hawana mambo ya kuvimbia wafanyakazi wengine kisa wewe bosi, ndugu ni wachapakazi hawapunguzi ufanisi, n.k. hapa inakuwa rahisi sana kumweka ndugu yako.
 
Kuna lawama baadhi ya watu huwa tunapewa kwamba tunataka kufanikiwa wenyewe, hatupendi ndugu wafanikiwe, anataka kuonekana peke yake ndie mwenye mafanikio kwao, n.k. ni kweli kuna baadhi ya watu hufanya hivi maksudi lakini sio wote.

Mtu unakuta ana kampuni yake, biashara yake ama yupo shirika /taasisi flani katika chenye mamlaka ama connection za kuweka watu lakini haweki ndugu zake sehemu aliyopo, anaona ni heri awatafutie kwengine kabisa huko, hayupo tayari wafanye kazi pamoja sehemu moja.

1. KUEPUKA DOUBLE STANDARDS - Kuna ndugu wakijua wewe ndie boss WANAVIMBA, yani ubishi na wafanyakazi wengine ni wao, ugomvi ni wao, kiburi na jeuri ni wao, hapa ili kuepuka kuonekana unapendelea ndugu zako unaamua upige BLOCK.

2. KUEPUKA KUPUNGUZA UFANISI - Ndugu unampa kazi anakuja saa tatu asubuhi anawahi kuondoka kuna ufanisi hapo ? Nfugu anatongoza sana wafanyakazi wa kike nao wanaanza kupata kijeuri, yote haya anayafanya akijua kwamba hata mkifika mbali mtayamaliza kindugu.

3. KUEPUKA KUTENGWA ZAIDI - Hawa ndugu zetu ukianza kuwawawajibisha kwa makosa wanayofanya wanaanza kukuona unawanyanyasa na habari zinaeneoa ukoo mzima kwamba unaroho mbaya,

4. HOSTILE TAKEOVER - Hii inatokea Ndugu umemweka lakini yeye maelengo yake ni kuja kukuharibia / kukupindua achukue nafasi yako kwa namna yoyote ile iwe kukusagia kunguni, kukuroga, n.k.



Mwisho niseme kuna jamii inakuwa rahisi kuweka hata ndugu kwasababu suala la accountability halionekani ni kunyanyasa, ndugu wanajiheshimu hawana mambo ya kuvimba, ndugu ni wachapakazi hawapunguzi ufanisi, n.k. hapa inakuwa rahisi sana kumweka ndugu yako.
ndugu nao ni wa kuishi nao kwa akili kama kuishi na mwanamke
 
Kuna lawama baadhi ya watu huwa tunapewa kwamba tunataka kufanikiwa wenyewe, hatupendi ndugu wafanikiwe, anataka kuonekana peke yake ndie mwenye mafanikio kwao, n.k. ni kweli kuna baadhi ya watu hufanya hivi maksudi lakini sio wote.

Mtu unakuta ana kampuni yake, biashara yake ama yupo shirika /taasisi flani katika chenye mamlaka ama connection za kuweka watu lakini haweki ndugu zake sehemu aliyopo, anaona ni heri awatafutie kwa wengine ama shirika moja tawi jingine.

1. KUEPUKA DOUBLE STANDARDS - Kuna ndugu wakijua wewe ndie boss WANAVIMBA, yani ubishi na wafanyakazi wengine ni wao, ugomvi ni wao, kiburi na jeuri ni wao, hapa ili kuepuka kuonekana unapendelea ndugu zako unaamua upige BLOCK.

2. KUEPUKA KUPUNGUZA UFANISI - Ndugu unampa kazi anakuja saa tatu asubuhi anawahi kuondoka kuna ufanisi hapo ? Nfugu anatongoza sana wafanyakazi wa kike nao wanaanza kupata kijeuri, yote haya anayafanya akijua kwamba hata mkifika mbali mtayamaliza kindugu.

3. KUEPUKA KUTENGWA ZAIDI - Hawa ndugu zetu ukianza kuwawawajibisha kwa makosa wanayofanya wanaanza kukuona unawanyanyasa na habari zinaeneoa ukoo mzima kwamba unaroho mbaya,

4. HOSTILE TAKEOVER - Hii inatokea Ndugu umemweka lakini yeye maelengo yake ni kuja kukuharibia / kukupindua achukue nafasi yako kwa namna yoyote ile iwe kukusagia kunguni, kukuroga, n.k.



Mwisho niseme kuna jamii inakuwa rahisi kuweka hata ndugu kwasababu suala la accountability halionekani ni kunyanyasa, ndugu wanajiheshimu hawana mambo ya kuvimba, ndugu ni wachapakazi hawapunguzi ufanisi, n.k. hapa inakuwa rahisi sana kumweka ndugu yako.

Acha roho mbaya wewe saidia ndugu zako acha vijisababu ili kuficha tabia hii mbovu.
 
Bora uonekane huwapendi tu mkuu hawanaga shukurani hao watu kikubwa atataka kushindana na wewe uliyemfanyia hisani na wengi hugeuka maadui wakubwa
 
Roho mbaya tu, Kuna siku huyo ndugu atakusaidia 500 ya nauli, umepigika ulikuwa na kampuni Sasa hivi hate 500 huna.

Wapende wote, amini wachache, usimfanyie ubaya yeyote.

Nidhamu ya kazi n.k ni mambo ya kuwekana wazi Kama ndugu, ku judge mtu kabla ya kumpa nafasi ni roho mbaya, katika race mtu mweusi anaongoza kwa umasikini kwa sababu ya huu ujinga.
 
Kuna lawama baadhi ya watu huwa tunapewa kwamba tunataka kufanikiwa wenyewe, hatupendi ndugu wafanikiwe, anataka kuonekana peke yake ndie mwenye mafanikio kwao, n.k. ni kweli kuna baadhi ya watu hufanya hivi maksudi lakini sio wote.

Mtu unakuta ana kampuni yake, biashara yake ama yupo shirika /taasisi flani katika chenye mamlaka ama connection za kuweka watu lakini haweki ndugu zake sehemu aliyopo, anaona ni heri awatafutie kwa wengine ama shirika moja tawi jingine.

1. KUEPUKA DOUBLE STANDARDS - Kuna ndugu wakijua wewe ndie boss WANAVIMBA, yani ubishi na wafanyakazi wengine ni wao, ugomvi ni wao, kiburi na jeuri ni wao, hapa ili kuepuka kuonekana unapendelea ndugu zako unaamua upige BLOCK.

2. KUEPUKA KUPUNGUZA UFANISI - Ndugu unampa kazi anakuja saa tatu asubuhi anawahi kuondoka kuna ufanisi hapo ? Nfugu anatongoza sana wafanyakazi wa kike nao wanaanza kupata kijeuri, yote haya anayafanya akijua kwamba hata mkifika mbali mtayamaliza kindugu.

3. KUEPUKA KUTENGWA ZAIDI - Hawa ndugu zetu ukianza kuwawawajibisha kwa makosa wanayofanya wanaanza kukuona unawanyanyasa na habari zinaeneoa ukoo mzima kwamba unaroho mbaya,

4. HOSTILE TAKEOVER - Hii inatokea Ndugu umemweka lakini yeye maelengo yake ni kuja kukuharibia / kukupindua achukue nafasi yako kwa namna yoyote ile iwe kukusagia kunguni, kukuroga, n.k.



Mwisho niseme kuna jamii inakuwa rahisi kuweka hata ndugu kwasababu suala la accountability halionekani ni kunyanyasa, ndugu wanajiheshimu hawana mambo ya kuvimba, ndugu ni wachapakazi hawapunguzi ufanisi, n.k. hapa inakuwa rahisi sana kumweka ndugu yako.
Una point mwaisaa

Ahsante kwa kushare
 
Kuna lawama baadhi ya watu huwa tunapewa kwamba tunataka kufanikiwa wenyewe, hatupendi ndugu wafanikiwe, anataka kuonekana peke yake ndie mwenye mafanikio kwao, n.k. ni kweli kuna baadhi ya watu hufanya hivi maksudi lakini sio wote.

Mtu unakuta ana kampuni yake, biashara yake ama yupo shirika /taasisi flani katika chenye mamlaka ama connection za kuweka watu lakini haweki ndugu zake sehemu aliyopo, anaona ni heri awatafutie kwa wengine ama shirika moja tawi jingine.

1. KUEPUKA DOUBLE STANDARDS - Kuna ndugu wakijua wewe ndie boss WANAVIMBA, yani ubishi na wafanyakazi wengine ni wao, ugomvi ni wao, kiburi na jeuri ni wao, hapa ili kuepuka kuonekana unapendelea ndugu zako unaamua upige BLOCK.

2. KUEPUKA KUPUNGUZA UFANISI - Ndugu unampa kazi anakuja saa tatu asubuhi anawahi kuondoka kuna ufanisi hapo ? Nfugu anatongoza sana wafanyakazi wa kike nao wanaanza kupata kijeuri, yote haya anayafanya akijua kwamba hata mkifika mbali mtayamaliza kindugu.

3. KUEPUKA KUTENGWA ZAIDI - Hawa ndugu zetu ukianza kuwawawajibisha kwa makosa wanayofanya wanaanza kukuona unawanyanyasa na habari zinaeneoa ukoo mzima kwamba unaroho mbaya,

4. HOSTILE TAKEOVER - Hii inatokea Ndugu umemweka lakini yeye maelengo yake ni kuja kukuharibia / kukupindua achukue nafasi yako kwa namna yoyote ile iwe kukusagia kunguni, kukuroga, n.k.



Mwisho niseme kuna jamii inakuwa rahisi kuweka hata ndugu kwasababu suala la accountability halionekani ni kunyanyasa, ndugu wanajiheshimu hawana mambo ya kuvimba, ndugu ni wachapakazi hawapunguzi ufanisi, n.k. hapa inakuwa rahisi sana kumweka ndugu yako.
Ndio maana wenzetu wahindi na waarabu wametuacha mbali sana maana wananyanyuana wenyewe kwa wenyewe ila sisi tunakataana .
 
Ndio maana wenzetu wahindi na waarabu wametuacha mbali sana maana wananyanyuana wenyewe kwa wenyewe ila sisi tunakataana .
Tatizo lao ni ubaguzi kwetu watu waafrika, kutukanwa na kuonekaana kama mtumwa ni kawaida, unapewa kazi ya kuwa dereva wa school bus lakini unaanza kupewa kazi za kufyeka majani, kupika yani mpaka kukaa na mtoto, utasikia "Juma, kachambise mtoto"
 
Back
Top Bottom