Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,118
- 49,482
Kimsingi akuwekee quotation,
Nenda kwenye maduka kazunguke uulize bei zao!
Kama ni vifaa waweza pata kwa ma agent nenda kwa hayo maduka,
Utapunguza kwa kiasi fulani upigaji
Pole ndugu
Wenye maduka wakiona tajiri wanamtajia bei juu 95%