Turkish PM: Nothing will prevent us from protecting Jerusalem

Turkish PM: Nothing will prevent us from protecting Jerusalem

Status
Not open for further replies.
Mataifa ya kikristo hayaitaji kuunguna kupigana na mataifa ya kiislam! Labda uliimanisha mataifa ya kikristo yaamua kuyapiga mataifa ya kiislam.
Mataifa ya kikristo hayapiganagi vita mpaka waitane wote.
 
Worlds major economies-G20.
Argentina
Australia
Brazil
Canada
China
European Union
France
Germany
India
Indonesia
Italy
Japan
Mexico
Russia
Saudi Arabia
South Africa
South Korea
Turkey
United Kingdom
United States

One thing to note: Milele hutaikuta Israel katika ranks either za uchumi au kijeshi! Watu hujaribu kuikadiria lakini no one nows exactly. Umewahi kujiuliza uchumi wa dunia unapangwa na nani? E.g kupanda na kushuka kwa sarafu za dunia? Utasema labda world bank or IMF. Okay.. Unajua hizo zote ni entity za watu?!!! Watu hawa unawafahamu? Endeleeni kubwabwaja tu vidata vya kuokota okota.
 
binafsi sikubaliani na ushabiki tunaouonyesha hpa kwa misingi yetu ya kidini kumbukeni wakati c tunaonyesha ushabiki wetu hpa kuna watu wanakufa huko, sasa tutakuwa watu wa ajabu kushabikia binadamu wenzetu kufa,kwa upande wangu siwezi kuthibitisha khs waisrael au wapalestina juu ya madai yao ila ninachokiona ni hali ya upande mmoja kuona wana haki zaid ya upande mwingine, siku wakitambua wote wana haki sawa khs sehemu husika basi tutaanza kuona dalili za amani mashariki ya kati .....jerusalemu ni sehemu muhimu kwa pande zote km kweli wana nia ya kweli ya kuumaliza huu mgogoro wagawane ardhi jambo ambalo linawezekana kbsa kwani kuna kpindi israel walikubali kutoa sehem ya mji huu kwa wapalestina ingawa mazungumzo yalikuja kukwama kwa hyo naamini kbsa inawezekana km kuna masikilizano

Haki sawa kwa misingi ipi? Wapalestina wanataka kuachive goals ambazo wanafahamu wazi wazi kwamba hawawezi kuziachive. Kati ya biblia na Koran ni kipi kilitangulia? Jibu unalo. Sasa biblia inasema yerusalemu ni ya nani? Jibu unalo! Koran inasema chochote kuhusu Jerusalem na umiliki wake. Let's use our brains
 
One thing to note: Milele hutaikuta Israel katika ranks either za uchumi au kijeshi! Watu hujaribu kuikadiria lakini no one nows exactly. Umewahi kujiuliza uchumi wa dunia unapangwa na nani? E.g kupanda na kushuka kwa sarafu za dunia? Utasema labda world bank or IMF. Okay.. Unajua hizo zote ni entity za watu?!!! Watu hawa unawafahamu? Endeleeni kubwabwaja tu vidata vya kuokota okota.
Hujui hata unaongea nini.haya mambo ukiweka ushabiki watu wanakushangaa.israel imeingizwa kinyemelea katika nchi zilizoendelea lakini iko rank za chini ikizidiwa na uturuki na vinchi kama spain,ugiriki etc.
uchumi wa uturuki upo interm of trilion US dollar hulinganishi na israel.
hata kwa standard ya maisha israel hawezi fikia nchi kama qatar.
unaposema eti israel haiwekwi kwenye rank za uchumi maana yake ni kuwa upeo wako mdogo
 
Haki sawa kwa misingi ipi? Wapalestina wanataka kuachive goals ambazo wanafahamu wazi wazi kwamba hawawezi kuziachive. Kati ya biblia na Koran ni kipi kilitangulia? Jibu unalo. Sasa biblia inasema yerusalemu ni ya nani? Jibu unalo! Koran inasema chochote kuhusu Jerusalem na umiliki wake. Let's use our brains
Logic yako inaonyesha bado sana.eti bible na korani ipi imeanza.
yaani watu wafuate maandiko ya bible kuamua mambo.
wewe waijua bible kuliko hata hao wazungu waliopitisha azimio la umoja wa mataifa kutotambua umiliki wa jerusalem kwa israel?.
hata marekan mwenyewe aliabstain na wala hakutumia veto.hiyo bible inakuhusu wewe na si wote
 
Mwezi wa nane wakati wa vita gaza walitabiri uchumi wa israel uta contract ama kushuka.
Gaza War Could Push SlowingIsraeli EconomyInto Contraction...
25 Aug 2014 ... Theeconomy contracted1.4 percent in the third quarter of 2006. Both Hamas and Hezbollah are ...
www.bloomberg.com/news/2014-08-24/g.

Fastforward juzi wanasema uchumi umeshuka kwa sababu ya kile kivita na gaza.
Israel economy contracts by 0.4 percent in Q3The Associated PressNovember 16, 2014 3:06pm
JERUSALEM (AP) ¡ª Israel's government says the country's gross domestic product shrank by 0.4 percent in the third quarter of 2014, the first time the economy has contracted in almost five years.
Sunday's announcement from the Central Bureau of Statistics covers the period when the country fought a 50-day war with Islamic militants in the Gaza Strip. The war ended Aug. 26. Israel estimated its cost at $2.5 billion, slightly less than 1 percent of GDP.
The data comes as tensions flare with Palestinians over a disputed Jerusalem holy site and with the United States over the government's determination to expand settlements in east Jerusalem and the occupied West Bank.
Israel's last economic contraction came during the global financial crisis-impacted first quarter of 2009.
2014 The Associated Press
 
..............wewe jifurahishe tu ! wenzio walimfukuza kazi 'Mkuu wa Majeshi' kwa kipigo cha HIZBULLAH !:boxing: AZUSA STREET
yaani unaita kipigo wakati wenzio majengo waliyokuwa wamejenga kule beirut mengine hadi leo hawajayajenga, na wapo hoi kiuchumi iran inayowasapoti nayo ina vikwazo lukuki juzi ilikuwa inaomba pale Geneva wampunguzie vikwazo kwasababu vinaume ili yeye apunguze uraniam enrichment. upo dunia ya wapi? hivi hata gaza nayo utasema hamas wameshinda....Beirut unasema hezbolah ilishinda? nani aliumia zaidi?
 
Jamani narudia tena; madrasa ni sheeeeeeeda!!!

Nadhani madrassa ina mafundisho mazuri ndiyo maana inawauma na kuona wivu mnaposikia madrassa, sisi tunasoma elimu zote na haya ni kutokana na mtume wetu aliyetufundisha tutafute elimu hata uchina, shemeji yake tony blair , baada ya kupata ukweli kuhusu uislamu aliamua kusilimu wewe unasubiri nini???
 
Haki sawa kwa misingi ipi? Wapalestina wanataka kuachive goals ambazo wanafahamu wazi wazi kwamba hawawezi kuziachive. Kati ya biblia na Koran ni kipi kilitangulia? Jibu unalo. Sasa biblia inasema yerusalemu ni ya nani? Jibu unalo! Koran inasema chochote kuhusu Jerusalem na umiliki wake. Let's use our brains

kwa akili km hizi zako ndyo zinazofanya huu mgogoro usiishe mpk kesho akili za chuki,visasi, na ubinafsi kwa situation iliyopo sasa hta hivyo vitabu vya mungu vimeshindwa kuutatua huu mgogoro, hivi unaanzia vipi kumueleza mpalestina ambaye ni muislam mambo ya kwenye biblia na akakuelewa? na km tukitaka kuumaliza huu mgogoro kwa kutumia vitabu vya mungu huu mgogoro hautoisha kamwe! tunachotka ni solution ya uhakika ya kuumaliza huu ugomvi na wote tunaijua ila kutokana tumejikita zaidi kwny imani ya dini zetu tunajifanya htuioni, SOLUTION YA UHAKIKA C INGINE BALI NI 2 STATES IKIWEMO SEHEM YA JERUSALEM JAMBO AMBALO ISRAEL WALILIKUBALI HPO MWANZO NA C KM WATALIKATAA KM WAKIPEWA PROPOSAL YA AMANI YA UHAKIKA NA WAPALESTINA
 
Hujui hata unaongea nini.haya mambo ukiweka ushabiki watu wanakushangaa.israel imeingizwa kinyemelea katika nchi zilizoendelea lakini iko rank za chini ikizidiwa na uturuki na vinchi kama spain,ugiriki etc.
uchumi wa uturuki upo interm of trilion US dollar hulinganishi na israel.
hata kwa standard ya maisha israel hawezi fikia nchi kama qatar.
unaposema eti israel haiwekwi kwenye rank za uchumi maana yake ni kuwa upeo wako mdogo

Na wewe unachoongea hujui,umewahi kufika uturuki na Israel na ukaweza kutofautisha life style?
 
Jerusalem belongs to Israel together with everything in the Holy City. I think it is a mutual time for Arabs who are Palestine to go back where they came from.

kuna vitu viwili vinaweza kukufanya mpumbavu maisha yako yote ni kupenda sana kitu au kuchukia sana kitu endelea na chuki zako utakataa kuoa mpalestina lakini utakubali uoelewe na muisrael si umeendekeza chuki kuliko ukweli
 
By the way twende mbele turudi nyuma.....if Jerusalemu is Islamic Holy site/city, how come is not mentioned even once in a quran?
 
Na asikudanganye mtu yoyote israel ni mtoto mdogo katika vita isipokuwa kuna basha wake mmarekani ndo anamlinda lakini pamoja na hivyo kikundi cha hizbollah cha lebanon (sio serikali ya lebanon)kilimtoa jasho mpaka wakakubali yaishe(kasome wikipedia ambayo ni wao wenyewe mpaka ukiona wamekubali kuwa ilikuwa draw match jua kuwa alizidiwa). Juzi juzi mgogoro na hamas eti nikaona cnn na al jazeera eti anafanya resupplying ya silaha kama kamgogoro kadogo tu unaomba supplies tena je angekuwa na mgogoro kama wakina assad syria wanapigana miaka na wanashinda tu tumieni akili wakati mwingine kuna wajinga humu wakawa wanasema israel taifa liliobarikiwa na mungu lingekuwa taifa lililobarikiwa lingekua liko australia huko au qatar ambako kuna amani (atleast )sio hapo kwenye migogoro daily..
Unapoitaja nchi kama germany kuna kampuni kubwa za magari nchi iliyoendelea kiteknolojia.ukitaja marekani watu wanakuelewa ,russia,uk,fance, italy, japan lakini israel ana nini cha kusema kuwa eti taifa bora utamsikia muda wa kugombea ardhi za wapalestina tu we lini umesikia israel ikitajwa kwenye mambo yoyote ya kimaendeleo muda wote inapotajwa ni muda wa migogoro tu. Hebu niwaulize nchi yetu tz na israel ipi imebarikiwa na mungu (mjibu ukweli msije mkamuudhi mungu hatutaki histora sijauliza nani alibarikiwa nauliza nani amebarikiwa yaani kwa wakati huu)
 
By the way twende mbele turudi nyuma.....if Jerusalemu is Islamic Holy site/city, how come is not mentioned even once in a quran?
Because its not. Just like a fictional "palestinians"
Hata leo ukibadili Watanzania wakahamia Israel na Wayahudi wakahamia Tanzania amani itapatikana, vita itahamia Tanzania
Trust me, issue sio nchi bala hawatakiwi wayahudi
Soma charter za Hamas and the co utagundua global Jihad against Jews
 
Hii ndo list ya top ten kwa nguvu za kijeshi duniani.
acheni ushabiki mbuzi.
The GFP Top 10:
1. United States
2. Russia
3. China
4. India
5. United Kingdom
6. France
7. Germany
8. Turkey
9. South Korea
10. Japan



MILITARY & DEFENSEMore: Military Defense
[h=1]The 11 Most Powerful Militaries In The World[/h]



  • APR. 23, 2014, 4:00 PM
  • 747,400
  • 94









Asymmetrical wars in Afghanistan, Vietnam, and now in Syria demonstrate all too clearly that relatively small numbers of belligerents can carry out successful military operations against superior forces.
But still, firepower is extremely important. A country's projection of power relies in large part upon its military capabilities. Successfully being able to project and wield that power is a key diplomatic asset.
The website Global Firepower ranks the most powerful militaries in the world based on multiple factors, including available manpower, total labor force, and access to strategic assets. Nuclear capabilities are not included in the calculation.
Below are the 11 most powerful militaries in the world according to the 2014 rankings (click country names to see military assets data).
[h=3]1. The United States[/h]
uss-eisenhower-4.jpg
Stringer . / Reuters
The U.S. defense budget is $612 billion. Despite sequestration and other spending cuts, the United States spends more money on defense than the next ten highest spending countries combined.
America's biggest conventional military advantage is its fleet of 19 aircraft carriers, compared to 12 carriers operated by the rest of the world combined. These massive carriers allow the U.S. to set up forward operating bases anywhere and project power throughout the world.
The super power also has by far the most aircraft of any country, cutting-edge technology like the Navy's new rail gun, a large and well-trained human force — and that's not even counting the world's largest nuclear arsenal.
[h=3]2. Russia[/h]
russia-tank-parade.jpg
Maxim Shemetov/REUTERS
Two decades after the collapse of the Soviet Union, Russia's military is growing again. The Kremlin's military spending has increased by almost a third since 2008 and is expected to grow 44% more in the next three years. Today, the Russian defense budget stands at $76.6 billion.
Russia currently has 766,000 active frontline personnel with a reserve force of 2,485,000 personnel. These troops are backed up by 15,500 tanks, the largest tank force in the world. Russian soldiers generally receive relatively mediocre training, however, and their equipment, like that tank force, is aging.
[h=3]3. China[/h]
ap06072502444-3.jpg
China has embarked upon a relentless policy of massive military spending, with a 12.2% increase in spending over the past year. China's defense budget stands at $126 billion but could unofficially be higher, prompting concern across Asia as China attempts to project its power to settle border disputes with Japan and the Philippines.
The size of the Chinese army is staggering, with 2,285,000 active frontline personnel with an additional 2,300,000 in the reserves. China also has a history of successfully stealing sensitive military technology, such as recently acquiring sensitive information about the new F-35.
[h=3]4. India[/h]
4-india.jpg
India's defense spending is expected to rise as it pursues a modernization drive. Currently, it is estimated that India only spends $46 billion on its budget, and it is slated to become the fourth highest spender by 2020. It is already the world's largest importer of military goods.
India has ballistic missiles with a range capable of hitting all of Pakistan or most of China. Indian military strategy has been dominated by its long-simmering conflict with Pakistan, although there have also been minor wars between China and India in the past.
[h=3]5. The United Kingdom[/h]
british-soldier-afghanistan.jpg
Shamil Zhumatov/REUTERS
British Army Corporal Birendra Limbu of the 2nd Battalion, The Royal Gurkha Rifles, shows his rifle to Afghan children as he secures an area near an Afghan National Police (ANP) checkpoint outside the town of Lashkar Gah in Helmand province, southern Afghanistan, July 13, 2011.
The U.K. is planning on reducing the size of its armed forces by 20% between 2010 and 2018, with smaller cuts to the Royal Navy and RAF. The defense budget stands at $54 billion.
Despite scaling back, the U.K. counts on being able to project its power around the world. The Royal Navy is planning on putting the HMS Queen Elizabeth, an aircraft carrier that has a flight deck measuring at 4.5 acres, into service in 2020. The Queen Elizabeth is planned to carry 40 F-35B joint strike fighters around the world. Thanks to superior training and equipment, Britain could still hold an advantage over emerging powers like China, according to a leading think tank.
[h=3]6. France[/h]
french-soldiers-mali-5.jpg
Joe Penney / Reuters
French soldiers stand on a street during a patrol ahead of Sunday's presidential election in Timbuktu, July 25, 2013.
France effectively froze its military spending in 2013 while cutting 10% of its defense jobs in an effort to save money for purchasing high-tech equipment. The country spends $43 billion a year on defense, which is 1.9% of its GDP, below the spending target set by NATO for member countries.
Despite a leveling off of its military budget, France is still highly capable of projecting force around the globe, with significant deployments in the Central African Republic, Chad, Mali, Senegal and elsewhere around the world.
[h=3]7. Germany[/h]
german-special-forces.jpg
Fabian Bimmer/REUTERS
German military strength falls short of its economic strength on the world stage. Recently, Germany has started considering offering military support to eastern European NATO members. It has also considered a more active international role militarily. Germany spends $45 billion on its military annually, making it the eighth largest spender in the world.
Following the aftermath of World War II, the German population generally became anti-war. The German military was originally limited to a defense force, but has become more accustomed to taking an active international role following the breakup of Yugoslavia. Germany only has 183,000 active frontline personnel with an additional 145,000 members in the reserves. Germany eliminated mandatory service in 2011 in an attempt to create a professional army.
[h=3]8. Turkey[/h]
turkish-military-honor-guard.jpg
Umit Bektas/REUTERS
Turkish military spending is expected to rise 9.4% in 2014 over the 2013 budget. The ongoing conflict in Syria and possible clashes with the Kurdish separatist organization, the PKK, were key reasons for the spending increase. Turkey's defense budget stands at $18.2 billion.
The NATO member has contributed soldiers to various initiatives around the world. The Turkish military took part in operations in Afghanistan, as well as in peacekeeping operations in the Balkans. Turkey also maintains a large military force in Northern Cyprus.
[h=3]9. South Korea[/h]
south-korea-military-exercise-jan-2011-snow.jpg
AP
South Korea has been increasing its defense spending due to both the increasing armament of Japan and China, and the constant threat from North Korea. South Korea spends $34 billion on defense.
South Korea has a relatively large military force for its small size. It has 640,000 active personnel with an additional 2,900,000 personnel in the reserves. South Korea also has 2,346 tanks and 1,393 aircraft. The South Korean military is generally well-trained and routinely takes part in military exercise with the United States. South Korea's air force is also the sixth largest in the world.
[h=3]10. Japan[/h]
japan-army-self-defense-force-2.jpg
Japan increased its defense spending for the first time in 11 years in response to growing disputes with China. It has also started its first military expansion in over 40 years by placing a new military base on its outer islands. Japan spends $49.1 billion on defense, the sixth most in the world.
Japan's military is fairly well-equipped. It currently has 247,000 active personnel with an additional 57,900 in reserve. Japan also has 1,595 aircraft, the world's fifth largest air force, and 131 ships. Japan's military is limited by a peace clause in the constitution that makes it illegal for the country to have an offensive army.
[h=3]11. Israel[/h]
iron-dome-15.jpg
AP
Israel spends significantly more than its neighbors proportionally for defense. In 2009, Israelspent 18.7% of its national budget on defense. Israel's defense budget stands at $15 billion.
A large percentage of the Israeli defense budget goes toward defense technology. One of the best examples of this is Israel's Iron Dome, a missile defense shield that can intercept rockets shot into Israel from the Palestinian territories. Israel aims to replace Iron Dome with a laser defense shield called Iron Beam.
SEE ALSO: Here's the military exercise that has North Korea freaking out
















Read more: 11 Most Powerful Militaries In The World - Business Insider
 
Israeli president: We are not at war with Islam
Rivlin advises leadership to not raise issue of control over Temple Mount, but does not hesitate to label surge of violence an intifada
By Adiv Stermanand Stuart WinerNovember 20, 2014, 12:03 am
President Reuven Rivlin attends the funeral ceremony of Israeli-Druze policeman, Zidan Saif, in the Druze village of Yenuch-Jat, northern Israel, on November 19, 2014. (photo credit: Mark Neyman/GPO)
Seeking to calm tensions in Jerusalem the day after a murderous Pale
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom