juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,040
Sasa mniambie how come chief wa jerusalem enzi za jebusite na kabla hata abrahamu hajazaliwa aitwe ABDI?
Biblia takatifu,Agano la kale,kitabu cha 2chronicles 29;12,"Ndipo wakaondoka Walawi,Mahathi mwana wa Amasai,na Yoeli mwana wa Azaria,wa wana wa Wakohathi;na wa wana wa Merari,Kishi mwana wa ABDI,na Azaria mwana wa Yehaleleli;na wa Wagershoni,Yoa mwana wa Zima,na Edeni mwana wa Yoa..."
Mniambie how come mlawi(mtumishi wa hekalu la Mungu wa Israel) aitwe Abdi?!
Nikitazama Wikipedia hapa kuhusu asili ya jina Abdi,wanasema ni mbili,Hebrew na Arabic,na arabic version zaidi ni Abdu,not much Abdi.. Ntuzu utanisaidia kusoma labda nina usingizi na haka kamvua usiku huu,aargh!
Last edited by a moderator: