Umsolopogas
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 256
- 69
Ndo kusema hata wewe huwezi kupekua na kupata ushahidi wakati nimekuwekea hint.
ok kwa uchache kabla sijaingia kutake shower.
wamoab walikuwepo,wakaanani walikuwepo,wafilisti,waamedian,waasyria ,jebusite etc
hiyo ni hint ukitaka deeply search au la ntakuelekeza kwa mda wangu.
Sasa kama wa me pita wengi na kuondoka. Basi hata waparestina walikuwepo basi. Si wakavamie jordan kama walivyopanga miaka ya sabini au wawatoe waisrael sasa kama uwezo wanao. Tatizo wamezidi kutupigia kelele. Wawo ndiyo waliahidi kuwapiga mayahudi hadi bahari ya Mediterranean. Yako wapi sasa.