Wajaribu tu najua kinawauma pale walipowatuma watu kwenye ile meli ya uchochezi na wakajifanya wababe tisa wakauliwa hasira zao bado hazijaisha na kwenye mahakama ya UN imesema Israel haina hatia walichokozwa na wale waliouwawa ni upumbavu wao tu kutaka kuwanyang'anya silaha wanajeshi na kuwapiga na kuwazuia wasiingie kwenye nchi ya watu kwa visingizio wanakuja kutoa misaada huku hiyo meli haikuwa na hizo bidhaa walizodai wamebeba... Shenz type zao mituruki
uturuki ni sehemu kubwa sana ya usalama wa Israel kwani hata huupango wa sasa ulioundwa na mossad pamoja na cia pale middle east usingefanikiwa bila uturuki, na hata ishu ya kushambulia isil imekuwa ngumu kutokana na kutoshiriki kwa uturuki, israel wanapiga dill za mafuta kutoka kurdistan region kupitia uturuki,