yaani kama wamewafundisha hivi, mtapata shida sana kwasababu ni wrong 100%. nakubaliana na wewe kuwa uturuki ni NATO, lakini haipo ndani ya european union hadi leo hii wanakataliwa kuingia. hiyo ni loss kubwa sana kwao kwasababu wakiwa eu wangefaidika sana kiuchumi na kijamii. hata kama not arab, wanajifanya wazungu lakini sio wazungu, they are more of mediteranian people. na uchumi wao sio mzuri kiviiile, na kijeshi walishatandikana na ugiriki sana wakigombea cyprus hadi wakagawana kisiwa kile, leo northern cyprus ni poorer than africa wakati southern ni modern europe. northern inakaliwa na waturuki southern na wagiriki.
ukija kwenye suala la international law, you no nothing, yaani wewe ni mweupe. which international law are you talking about ambayo inasema israel imekalia makazi yale kinguvu? tell me which one?...unajua kuwa UN inaitambua israel kuwa ni state lakini palestina hadi leo ni authority tu wala si nchi? unajua israel ni member wa UN palestina sio? unajua kama jerusalem ni makao makuu ya nchi inayotambulika na UN? na hakuna hata sheria moja ya kimataifa inayotambua israel as an occupying state.