Ni hatari sana ,samahani mkuu nimeelewa mada yako kinaga ubaga ila nina shida moja kuwa hapa Tanzania watu tuliopewa heshima ya kuitwa Sir ni wanne tu na mimi nikiwepo ,achana na zile habari za shule za upili za kumuita mwalimu wa kiswahili Sir ,hivyo kwa heshima yangu na kuweza kukipoza kimuhemuhe cha haki ya heshima yangu kuchukuliwa naomba ,acha kuwaita wanaume wengine wa hapa Sir ni kunishusha brand ,ahsante .
Natumai utanielewa vyema bila kupata mkanganyiko wowote ,wako Sir
MENEMENE TEKERI NA PERESI