Tupunguze Siri Wakuu

Tupunguze Siri Wakuu

Namshukuru Mungu ninae mtu ninaemwamini ambae ana maelekezo yote likitokea la kutokea pia maandishi yamehifadhiwa mahali salama
 
As long zina majina yake haziwezi kupotea. Msimamizi wa mirathi anatakiwa kufuatilia yote haysimamizi

Kama benki na account vilikuwa siri ya marehemu, msimamizi atapata shida sana kujua kwamba kuna account ya kufuatilia. Huyu wa kwenye mada ni bahati alimwambia rafiki yake, ambaye ataijulisha familia.

Wanaofanya siri kabisa bila kusema popote, wakifa pesa zinabaki kwenye wanayoita dormant account kwa miaka mingi.
Baadhi ya benki, wakishakuwa na dormant account ya muda mrefu, hupeleka emails kwa mhusika mara kwa mara kumtaka aifufue account yake. Au hupeleka monthly statements kwenye email. Ofcourse baadhi wanajaribu simu pia - lakini marehemu hawezi kujibu.
Hivyo ni vema ikiwezekana kumonitor email account na simu za marehemu (japo password zaweza kusumbua) - vyaweza kusaidia.

Hitimisho - tulio hai ni vema tuwe na wosia, au angalau tuhakikishe mtu fulani mwaminifu anajua mali zetu za sirini.
 
Kama benki na account vilikuwa siri ya marehemu, msimamizi atapata shida sana kujua kwamba kuna account ya kufuatilia. Huyu wa kwenye mada ni bahati alimwambia rafiki yake, ambaye ataijulisha familia.

Wanaofanya siri kabisa bila kusema popote, wakifa pesa zinabaki kwenye wanayoita dormant account kwa miaka mingi.
Baadhi ya benki, wakishakuwa na dormant account ya muda mrefu, hupeleka emails kwa mhusika mara kwa mara kumtaka aifufue account yake. Au hupeleka monthly statements kwenye email. Ofcourse baadhi wanajaribu simu pia - lakini marehemu hawezi kujibu.
Hivyo ni vema ikiwezekana kumonitor email account na simu za marehemu (japo password zaweza kusumbua) - vyaweza kusaidia.

Hitimisho - tulio hai ni vema tuwe na wosia, au angalau tuhakikishe mtu fulani mwaminifu anajua mali zetu za sirini.
Good good point.
 
Tuelimishe zaidi kuhusu pesa za benki.Kwani wana wajibu gani wakiona mteja wao hajaonekana muda mrefu.
Na iwapo ajali kama hiyo imetangazwa na benki kuona tangazo la kifo cha mteja wao wakikaa kimya benki kuu inachukua hatua gani
Wafanyakazi wa benki wakijiridhisha umekufa, wanaziiba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom