Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

sidhan kama moyo wangu utakuja kupenda tena., kama itatokea sidhan kama kitakuja kufikia kiasi kile ulichompenda A....,

Alichonifanyia hadi nikimwona mtu anayefanana naye nashtuka, naogopa, nakosa amani. hata anayetumia tu jina kama lake namwogopa pia.

Sahv napendea macho na akili tuu..., nikiona rehema za allah basi nakusogeza karibu, ukizingua nakuacha hata kama tupo katikati ya game nachomoa naondoka zangu nikatafute pesa.. kama Shehe Tito tuu
Pole ila have faith

Be positive
 
Kwa jinsi Miss natafuta ulivyo tune mind yako hata akitokea mtu yuko serious na wewe huku huwez muelwa cuz umeamua kujipenda mwenywe etii as if kuna mtu anajichukia...self love kila mtu anayo ila watu wanapenda pia kupendwa since upendo huja na mengine mengi kama kupanmbana na vhangamoto za kimaisha na kujenga familia.Mimi nahitaji kupenda na kupendwa.
 
Mimi nishapendwa sana na bado napendwa,, kuna mkaka ananipenda sana na juzi kati Hapa ulikuwa kuniona Anafanya kazi UN ni mzuri, Kila kitu anacho nadhan, Ana heshima sana Pamoja na kuwa na kazi kubwa, Nampenda japo mimi kuna mtu Nampenda zaidi yamekuwa Kwenye mgogoro mwaka nadhan sasa, huyu ndio nnaempenda sana Kuzidi Kila kitu japo huniamini amigo Kwa sasa lakin anafaa Kuwa mime kabisa
Wapo wengi tu wanaompenda sema hawezi kuwa nao wote
Kwako wewe anda kujipenda mwenyewe, jifunze kupenda wengine, acha ubinafsi, chagua mtu sahihi wa Kuwa nae Jitahidi umbadilishe asipobadilika tua kule, tafuta mwingine Tena utapata usikate tamaa
Dina
 
huu ni mwezi wa mapenzi
tunaomba kila mtu atoe ushuhuda wa maisha yake ya mapenzi
je upo kwenye mapenzi na mtu?
kama ni mume/mke je ni kweli unampenda mwezako kimapenzi? na yeye je anakupenda au mpo tu kwa ajili ya watoto?

mimi nipo bilabila sina anaenipenda wapo wanaonitamani tu wanile papuchi wasepe ila sijawahi kuona mtu ananipenda sidhani . na mimi nimeacha kupenda penda .
ahahahaha nimecheka sana, huachi best!

MUME WANGU NIMEMPATA KAMA UNATAKA KUJUA KASOME KWENYE HADITHI YA "MONEY PENNY NI NANI LAKINI" HUKU MMU

Tunapendana na Msukuma wangu, sijawahi kuona Mpaka Mungu anatutamania!

Watoto wako chuo last month nimeozesha mwanangu wa kwanza wa kiume... life is good!

Valentine kila siku kwetu sihitaji tar 14 maam!

Mungu alienipa mimi atakupa na wewe ktk jina la Yesu.,..AMEN!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom