Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Shost Miss Natafuta mie nimekufa na kuoza kwenye penzi la mwendesha BODABODA yaani yuko vizuri sana, anajua mambo si kawaida najiona kama niko pepo fulani. Hata harufu ya koti lake chafu siisikii. Acheni jamani bodaboda wako njema. Nikipanda "usafiri" wake huwa namtekenya tekenya.
hongera sana shosti kambi popote endelea kusave nauli ukanywe bia
 
naonaga tu dina ,mambo mengi
Wasikukatishe Tamaa Wenzako washakata Tamaa ya kupenda Ndio maana waona hivyo, kuna Wanaume bora na zaidi kuliko hao ipo Siku Utampata, mim napenda na napendwa sikatagi Tamaa Wanaume wenye upendo Wapo bado wengi tu tena wazuri wanajua thamanii ya mwanamke
Usikatishwe Tamaa na watu wenye stress zao
 
Wasikukatishe Tamaa Wenzako washakata Tamaa ya kupenda Ndio maana waona hivyo, kuna Wanaume bora na zaidi kuliko hao ipo Siku Utampata, mim napenda na napendwa sikatagi Tamaa Wanaume wenye upendo Wapo bado wengi tu tena wazuri wanajua thamanii ya mwanamke
Usikatishwe Tamaa na watu wenye stress zao
dina na wewe unapendwa na wangapi?
 
Wasikukatishe Tamaa Wenzako washakata Tamaa ya kupenda Ndio maana waona hivyo, kuna Wanaume bora na zaidi kuliko hao ipo Siku Utampata, mim napenda na napendwa sikatagi Tamaa Wanaume wenye upendo Wapo bado wengi tu tena wazuri wanajua thamanii ya mwanamke
Anasahau kila jambo na wakati wake, cha msingu uvumilivu na kutokukata tamaa Mungu atamoatia hitaji la moyo wake ana haraka tu
 
wala hjatuko hivo.wanaume mngesimama kwenye nafasi zenu maisha yangekuwa poa sana
Tupo tulio simama kwenye nafasi zetu lakini mwanamke anakufanya ujione mjinga anashindwa kutimiza wajibu wake

Nimeona mapenzi yanavunjika kwa sababu mwanamke anaamini anacho takiwa kumpa mwanaume ni mwili wake tu na si zaidi ya hapo na huku kwenye akili yake anajua kila akionana na mwanaume anatakiwa apewe hela tu

Tujiulize Mimi na wewe je wajibu wa mwanaume kwa mwanamke na nini
Wajibu wa mwanamke kwa mwanaume ni wapi

Kila mmoja akijua wajibu wake lazima upendo utaongezeka mara dufu.......
 
Kuna mtu nataka nianzishe naye mahusiano tena iwe couple imara kama the bold na nifah popote alipo ukipita hapa naomba u like nina upendo wako umejaaa gunia fanya haraka kabla sjabadilisha maamuzi wewe kaka unanitesa sana moyo wang

Nakupenda hata kama una sura mbaya maneno yako tu mm yananikosha mwezio hivi hauoni tu kama nakupenda

Likes zote hizo ninazokupa haujishitukiii wewe mtu gani?

Japo ulininyima kapicha kako kwa kuogopa eti una sura mbaya
Aliyekwambia mm napenda handsome nan mm napenda mtu anayeshuka madini

Hebu acha kunitesa mtoto wa mweziooo wewe kaka jaman

Wacha nilie tu hakuna namna
 
Kuna mtu nataka nianzishe naye mahusiano tena iwe couple imara kama the bold na nifah popote alipo ukipita hapa naomba u like nina upendo wako umejaaa gunia fanya haraka kabla sjabadilisha maamuzi wewe kaka unanitesa sana moyo wang

Nakupenda hata kama una sura mbaya maneno yako tu mm yananikosha mwezio hivi hauoni tu kama nakupenda

Likes zote hizo ninazokupa haujishitukiii wewe mtu gani?

Japo ulininyima kapicha kako kwa kuogopa eti una sura mbaya
Aliyekwambia mm napenda handsome nan mm napenda mtu anayeshuka madini

Hebu acha kunitesa mtoto wa mweziooo wewe kaka jaman

Wacha nilie tu hakuna namna
eheheeheee
 
Kuna mtu nataka nianzishe naye mahusiano tena iwe couple imara kama the bold na nifah popote alipo ukipita hapa naomba u like nina upendo wako umejaaa gunia fanya haraka kabla sjabadilisha maamuzi wewe kaka unanitesa sana moyo wang

Nakupenda hata kama una sura mbaya maneno yako tu mm yananikosha mwezio hivi hauoni tu kama nakupenda

Likes zote hizo ninazokupa haujishitukiii wewe mtu gani?

Japo ulininyima kapicha kako kwa kuogopa eti una sura mbaya
Aliyekwambia mm napenda handsome nan mm napenda mtu anayeshuka madini

Hebu acha kunitesa mtoto wa mweziooo wewe kaka jaman

Wacha nilie tu hakuna namna
Atakuja mda si mrefu mungu amesikia kilio chako
 
dina na wewe unapendwa na wangapi?
Mimi nishapendwa sana na bado napendwa,, kuna mkaka ananipenda sana na juzi kati Hapa ulikuwa kuniona Anafanya kazi UN ni mzuri, Kila kitu anacho nadhan, Ana heshima sana Pamoja na kuwa na kazi kubwa, Nampenda japo mimi kuna mtu Nampenda zaidi yamekuwa Kwenye mgogoro mwaka nadhan sasa, huyu ndio nnaempenda sana Kuzidi Kila kitu japo huniamini amigo Kwa sasa lakin anafaa Kuwa mime kabisa
Wapo wengi tu wanaompenda sema hawezi kuwa nao wote
Kwako wewe anda kujipenda mwenyewe, jifunze kupenda wengine, acha ubinafsi, chagua mtu sahihi wa Kuwa nae Jitahidi umbadilishe asipobadilika tua kule, tafuta mwingine Tena utapata usikate tamaa
 
Kuna mtu nataka nianzishe naye mahusiano tena iwe couple imara kama the bold na nifah popote alipo ukipita hapa naomba u like nina upendo wako umejaaa gunia fanya haraka kabla sjabadilisha maamuzi wewe kaka unanitesa sana moyo wang

Nakupenda hata kama una sura mbaya maneno yako tu mm yananikosha mwezio hivi hauoni tu kama nakupenda

Likes zote hizo ninazokupa haujishitukiii wewe mtu gani?

Japo ulininyima kapicha kako kwa kuogopa eti una sura mbaya
Aliyekwambia mm napenda handsome nan mm napenda mtu anayeshuka madini

Hebu acha kunitesa mtoto wa mweziooo wewe kaka jaman

Wacha nilie tu hakuna namna
kwa mtindo huu haponi mtu hapa
 
Kuna mtu nataka nianzishe naye mahusiano tena iwe couple imara kama the bold na nifah popote alipo ukipita hapa naomba u like nina upendo wako umejaaa gunia fanya haraka kabla sjabadilisha maamuzi wewe kaka unanitesa sana moyo wang

Nakupenda hata kama una sura mbaya maneno yako tu mm yananikosha mwezio hivi hauoni tu kama nakupenda

Likes zote hizo ninazokupa haujishitukiii wewe mtu gani?

Japo ulininyima kapicha kako kwa kuogopa eti una sura mbaya
Aliyekwambia mm napenda handsome nan mm napenda mtu anayeshuka madini

Hebu acha kunitesa mtoto wa mweziooo wewe kaka jaman

Wacha nilie tu hakuna namna
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom