Tupate wadhamini kidogo

Jamaa aaliyepga chale kumuua mjuba, siku ukikuta analalamika katapeliwa na hajui cha kumfanya aliyemtapeli, je inamaana njia zile alizotumia mwanzo za mganga haazipigi kazi kwenye scenario ya utapeli,?

Sisi wengine imani ipo low sana aisee
Kila ulozi na formula yakeπŸ˜†

Mimi hayo mambo nayasikia tu jamani, hayajawahi kunikuta! Huwa nasubiri niwaone hao wanga siwaoni😎
 
Reactions: Lax
Me sinaga noma kabisa, kwanza huwa sipendi bato, naenjoy life, sipendi purukushani😁
We mzungu,
kuna wenzako wanapenda ligi, afe kipa afe beki kudadeki atahakikisha unajuta kumtambua! Kama yule koroe aiseeπŸ™ŒπŸΎ
 
Kila ulozi na formula yakeπŸ˜†

Mimi hayo mambo nayasikia tu jamani, hayajawahi kunikuta! Huwa nasubiri niwaone hao wanga siwaoni😎
Naam na kawaida ya haya mambo karibu kila mtu hua anasikia tu 🀣
 
Kuna mtu ameachana na mumewe anatabia km za huyo mume hapo hivyo hivyo kasoro chale tuuu.
 
Wapo wahusika we si unakaa mjini! Toka kidogo nje huko ukashuhudie mamboπŸ˜†
Miezi kadhaa hapa nikikua ndani ndani huko mkuu, story ni kama zilezile tu, mganga anaingizwa kingi na mteja wake kwenye kilimo na maisha yanaendelea tu kama kawaida 🀣
 
Hiyo ya kutoka na ndugu wa mme ili jamaa aanze kuzika mmoja mmoja nimeipenda,dawa ya moto ni kuongeza petrol tu.
Hadi akija kushtuka,atakuwa kabaki yeye na ndugu walio mikoani
 
Miezi kadhaa hapa nikikua ndani ndani huko mkuu, story ni kama zilezile tu, mganga anaingizwa kingi na mteja wake kwenye kilimo na maisha yanaendelea tu kama kawaida 🀣
Ulienda vijiji vipi nije nikupe location moja kabambeπŸ˜…
 
Reactions: Lax
Ulienda vijiji vipi nije nikupe location moja kabambeπŸ˜…
Tz west,
Naona ushamuona mganga wa kijiji nilichoenda yupo vhini ya kiwango, watu wanamuamini lakini mkuu 🀣
Confidence ya kumtapeli mganga sio kawaida
 
Sepa nikuroge ufe kama huyo mpuuzi mwenzako niliyempatisha ajali akafa 😁😁 hapo vipi mrembo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ huyu mwanamke mwehu naye, huko kuroga anajua bwana tu?
Aje hapa nimpeleke wanakojua sio kuroga ni kuharibu na kutengeneza.
 
kwa hiyo suluhisho ilikuwa ni kutembea na mubabaπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ.......yaani kwenye maisha yako usishindane na mwanaume, ukijaribu kufanya hivyo umeharibu kila kitu, kaeni chini mzungumze ikishindikana kila mmoja apite hivi.
Inategemea mtu na mtu, wako wanawake wana battle na wanaume, na wanashinda vile vile
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…